Pre GE2025 Lissu: Aliyeshika chupa ya damu nikipelekwa Nairobi ni Msigwa (sio Mbowe)

Pre GE2025 Lissu: Aliyeshika chupa ya damu nikipelekwa Nairobi ni Msigwa (sio Mbowe)

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
..hao wameleta clip imekatwa ili kufanikisha malengo yao ya kumchafua Lissu na Mbowe.

..Mbowe huyu hapa akieleza nini kilitokea wakati wa kumsafirisha Lissu kwenda Nairobi.

..ktk clip Mbowe anaeleza Msigwa alibeba chupa ya damu.


View: https://www.youtube.com/watch?v=fyDrDx9HHAQ

Watu kweli wazushi kaongea wazi na ukweli sababu sio rahisi kudanganya tukio limeshuhudiwa na wote.
 
..Mbowe alishaeleza suala hilo tangu zamani.

..hebu msikilize hapa chini.


View: https://www.youtube.com/watch?v=fyDrDx9HHAQ

Mtiririko wa bahati ya watu tofauti aliokutana nao Lissu waliopigania aishi toka anapigwa risasi kila mtu kipekee mpaka anafika Nairobi. Mambo kama haya yanakufanya ufikirie uwepo wa higher powers zilizoamua afi siku hiyo, it’s a miracle Lissu is alive today.
 
Kamanda Tundu Lissu amekanusha madai yaliyotolewa hapo nyuma kidogo na Lema kwamba Mbowe ndio aliyeshika chupa ya damu wakati akipelekwa Nairobi kwa matibabu.

Amesema aliyeshika chupa ya damu aliyokuwa akiongezewa ni Mchungaji Peter Msigwa mwanasiasa nguli asiyeogopa hila na figisu.

Wataalam wa mambo ya siasa za kusini mwa jangwa la sahara wanasema hii kauli imebeba maana kubwa sana.

View attachment 3010311

View attachment 3010310
Mbona lema anaeleweka ccm wanadhani watafanikiwa kumtenganidha mbowe na lissu

Hii project yao mbona imeshafeli

Badala ya kuilaumu serekali kutofanya uchunguzi eti wako bize. Kuonyesha nani anamjali zaidi lissu
 
Aliyemuua chacha wangwe ndio muuaji mkubwa zaidi
Una ujinga uliochanganyika na upumbavu kama hii ndio recruit mpya ya tiss basi tumeumia

Hii project yenu itafelii tu hamtumii akili nyie wapumbavu
 
Aisee watanzania wala hatuna mpango wa kusikiliza hiz habar za kijinga jinga za kushikiana chupa za damu mkiwa kwenye ndege.

Watanzania masikini hata hizo blood bags tu hawana huko vijijin wapendwa wao wanakufa mikonon mwao huku madaktari waki wakejeli, hawana hata 10 mbovu kugharamia matibabubya msingi kisa ubovu wa utawala wa nchi hii.

Please please CHADEMA and the company, achaneni na hiz agenda za kitoto na za kijinga, si vitu tunahitaji kuvisikia kama watanzania. Mmekua wapumbuvu sana kushikilia mijadala isio na tija yoyote kwa watanzania
 
Ukiandika habari moja ya kuchafua Chadema jf, Unalipwa Laki 1 kutoka kwa Pedeshee, ndio maana wanapishana humu na muda si mrefu wataanza kulogana
Video Ina UKWELI hiyo, mbona imekatwa?
 
Kamanda Tundu Lissu amekanusha madai yaliyotolewa hapo nyuma kidogo na Lema kwamba Mbowe ndio aliyeshika chupa ya damu wakati akipelekwa Nairobi kwa matibabu.

Amesema aliyeshika chupa ya damu aliyokuwa akiongezewa ni Mchungaji Peter Msigwa mwanasiasa nguli asiyeogopa hila na figisu.

Wataalam wa mambo ya siasa za kusini mwa jangwa la sahara wanasema hii kauli imebeba maana kubwa sana.

View attachment 3010311

View attachment 3010310
Wote wapo.
Mbowe anasemaje, ni yeye?
Na Msigwa yupo, ni yeye kweli aliyebeba chuapa?
Lissu hakuwa katika hali ya kujuwa nani kabeba chupa.
Hayo maneno kwenye kundi hilo yatakuwa ni hisia tu za wakati huo wa kikao hicho kwa mazingira ya kikao kilivyokuwa.
 
Kajichanganya sana kuingia kumi na nane za team lissu.
 
Aisee watanzania wala hatuna mpango wa kusikiliza hiz habar za kijinga jinga za kushikiana chupa za damu mkiwa kwenye ndege.
Watanzania masikini hata hizo blood bags tu hawana huko vijijin wapendwa wao wanakufa mikonon mwao huku madaktari waki wakejeli, hawana hata 10 mbovu kugharamia matibabubya msingi kisa ubovu wa utawala wa nchi hii.

Please please CHADEMA and the company, achaneni na hiz agenda za kitoto na za kijinga, si vitu tunahitaji kuvisikia kama watanzania. Mmekua wapumbuvu sana kushikilia mijadala isio na tija yoyote kwa watanzania
Ni nani hasa anayeingiza na kuchochea mijadala hiyo kwa sasa? Inawezekana huyo ndiye anayenufaika na hayo yanayoendelea ndani ya CHADEMA.

Kazia hoja hii nzuri uliyoiibua huko huko kunakohusika.
 
Wote wapo.
Mbowe anasemaje, ni yeye?
Na Msigwa yupo, ni yeye kweli aliyebeba chuapa?
Lissu hakuwa katika hali ya kujuwa nani kabeba chupa.
Hayo maneno kwenye kundi hilo yatakuwa ni hisia tu za wakati huo wa kikao hicho kwa mazingira ya kikao kilivyokuwa.

..Mbowe alishasema kuwa ni Msigwa tena akiwa kijijini kwa kina Lissu. Na kauli hiyo aliitoa wakati Lissu bado hajarejea nchini.
 
Kuelekea uchaguzi mkuu Kuna mengi sana tutayajua
 
Back
Top Bottom