Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..Mbowe huyu hapa anaeleza kila kitu.hii clip imekatwa kihuni
..Mbowe huyu hapa anaeleza kila kitu.
..Na anasema aliyeshika chupa ya damu ni Msigwa.
..Mbowe hajawahi kusema kuwa yeye ndiye alishika chupa ya damu.
View: https://www.youtube.com/watch?v=fyDrDx9HHAQ
Hapana mimi sijasema hivyo, kuhusu Chadema kila mtu anajuwa ukimgusa Mbowe unaondoka wala sio siri, yalimkuta Kabwe lakini kina Lissu walikaa kimyaa. Point yangu Lissu yeye asimame agombee kuwa mwenyekiti matokeo akubali ila kama anaona ngumu basi badala ya kutafuta huruma aseme tu mimi nahama chama kama mwanamme bila malalamiko sijui sijashikiwa damu, sijui hajanipigia simu haya hayana umuhimu kwa kweli. amua moja tu.Kwa hiyo mtu yoyote uko Chadema akiwa tofauti na fikra za Mbowe anakuwa hataki chama anaoneshwa mlango wa kuondoka?
Msimfunge mdomo ana haki ya kujieleza. Mbowe sio Mungu.Hapana mimi sijasema hivyo, kuhusu Chadema kila mtu anajuwa ukimgusa Mbowe unaondoka wala sio siri, yalimkuta Kabwe lakini kina Lissu walikaa kimyaa. Point yangu Lissu yeye asimame agombee kuwa mwenyekiti matokeo akubali ila kama anaona ngumu basi badala ya kutafuta huruma aseme tu mimi nahama chama kama mwanamme bila malalamiko sijui sijashikiwa damu, sijui hajanipigia simu haya hayana umuhimu kwa kweli. amua moja tu.
Hapa sio suala la kuamini...wewe umemnukuu Lema.
..Na Lema hakuwepo kwenye ndege iliyomsafirisha Lissu.
..mimi nimemnukuu Mbowe mwenyewe akisema Msigwa ndiye aliyebeba chupa ya damu.
..sasa hapa wewe unataka kumuamini Mbowe, au Lema?
..Na unataka wasomaji wako wamuamini nani?
CCM oyee pasua Chadema, wajinga ndiyo waliwao....Kwa hiyo Lissu anaichafua chadema kusema ukweli aliyemsaidia kushika chupa ni msigwa sio mbowe
Hapa sio suala la kuamini.
Ishu ni Lissu katolea ufafanuzi kauli ya uongo ya Lema. Nothing else
Kamanda Tundu Lissu amekanusha madai yaliyotolewa hapo nyuma kidogo na Lema kwamba Mbowe ndio aliyeshika chupa ya damu wakati akipelekwa Nairobi kwa matibabu.
Amesema aliyeshika chupa ya damu aliyokuwa akiongezewa ni Mchungaji Peter Msigwa mwanasiasa nguli asiyeogopa hila na figisu.
Wataalam wa mambo ya siasa za kusini mwa jangwa la sahara wanasema hii kauli imebeba maana kubwa sana.
View attachment 3010310
Sijawahi kuona watu wajinga kama Chadema badala ya kupigania masuala ya kitaifa wanajikita kwenye chupa ya damu kubebwa inawasaidia nino wananchi,Lissu,Mbowe,Lema,Msigwa wote ziro. Hamna kitu hapo
..mtoa mada ni anapotosha.Sijawahi kuona watu wajinga kama Chadema badala ya kupigania masuala ya kitaifa wanajikita kwenye chupa ya damu kubebwa inawasaidia nino wananchi,Lissu,Mbowe,Lema,Msigwa wote ziro. Hamna kitu hapo
..mtoa mada ni anapotosha.
..wanajaribu kutengeneza ugomvi kati ya Mbowe na Lissu.
..Msikilize Mbowe hapa chini akieleza kwamba aliyebeba chupa ya damu ni Msigwa.
..Na hii video ya Mbowe ni ya kabla hata Lissu hajarejea hapa nchini.
View: https://www.youtube.com/watch?v=fyDrDx9HHAQ
Mnaanza kujihami eee mdogo mdogo tutafika kwenye ukweli khs aliyempiga risasi bwana LissuUkiona CCM wanazidisha uchochezi ujue kuna mtu atauliwa halafu jumba bovu aangushiwe Mbowe
Nafikiri ulimaanisha Lema anasema uongo ni muongo, uzuri Lissu ameshaweka clear kila kitu.
Hivi kabla hujajibu huwa unasoma nimeandika nini? wapi namtetea Mbowe, nimesema kila mtu anajua Mbowe anaamini chama mali yake haguswi na mimi sijawahi kumuamini kama mpinzani ile Ngo yake tu. Nachosema Lissu asilete story za chupa ya damu. Atangaze tu mimi nagombea uwenyekiti wazi hakuna haja ya kulalamika.Msimfunge mdomo ana haki ya kujieleza. Mbowe sio Mungu.
Hivi kabla hujajibu huwa unasoma nimeandika nini? wapi namtetea Mbowe, nimesema kila mtu anajua Mbowe anaamini chama mali yake haguswi na mimi sijawahi kumuamini kama mpinzani ile Ngo yake tu. Nachosema Lissu asilete story za chupa ya damu. Atangaze tu mimi nagombea uwenyekiti wazi hakuna haja ya kulalamika.