Lissu ambana Mbowe: Aelezea Historia yake, adai hajawahi omba kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, "Nimekijenga chama kwa jasho na nguvu zangu"

Kweny hili la saccos mnajiaibishaga sana, inaonyesha ni jins gan mlivyo na low thinking chuki na wivu wa kike. Mtu ambae utajiri kazaliwa kaukuta atataka nn pale chadema cha kumuongezea kweny utajir wake?
Si ni SACCOS yake lazima ajitoe kwa moyo.
 
Sasa sehemu inayokupa hela kwanini usijitoe kwa jasho la damu?
Ndo akili hizi hazitakiw kweny nguv kaz ya Taifa, yaan mtu kukurupuka kuongea vitu ambavyo hajui hata amezungumzia ana mali kias gan. Ndo maana hua nawaambia vijana wa CCM mpak mfikie levels za kujenga hoja makin aisee bado sana 🤣🤣🤣🤣
 
Katiba ya CHADEMA inamruhusu kama ambavyo CCM inaruhusu muwe ma wenyeviti kwa miaka 10 tu na hiyo ni sababu Rais akipisha inatakiwa apishe ma uenyekiti so mutually inclusive.

By the way demokrasia sio tu mihula bali mchakato, ssa kma CCM hamruhusiwi kuchukua fomu kugombea uongozi wa chama je sauti ya wengi inasikilizwa wapi? Mbowe anakua challenged kila mwaka irrespective ya mihula anayoruhusiwa.

Sasa hapo Demokrasia imeonekana wapi?
 
NDUGAI na kijiwe chake waendelee kudemka
 
Hii takataka imerudi na matusi yake, utapondwa tena na mods mpaka upate akili kenge wewe.
 
Mbowe ni CHADEMA na CHADEMA ni Mbowe.

Bila Mbowe hakuna CHADEMA.

Ila BAVICHA wakisha kula mirungi, wanasema CHADEMA ni Taasisi.

Labda taasisi ndio Mbowe.
kama alivyo ndugai na katiba,ndugai nikatiba na katiba ni ndugai kwa sasa hakuna wa kumwambia kitu
 
Ahsnt kamanda usiechoka kwa hisani ya watu wa Lumumba!!ingependeza sana kama ungeweka ushahid dhid ya hizo ford ranger jinsi alivyojilipa. Pili.. weka ushahid kwamba alianzisha mtaji wa kujilipa. Jealous ones still envy, keep that!
 
Anzisha chama chako mpuuzi wewe
 
Hatumwondoi ninyi ccm mnataka kupandikiza mwenyekiti wenu mlimtumia Sumaye, nyalandu,mwambe hamjafafaikiwa bado yupo sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kamanda acha ushabiki. Mbowe anatuumiza na hakuna unachopata faida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…