Wewe unaweza kuuza nyumba yako ukose pa kulala? Chama hicho ni cha mtu binafsiKatika vetting bora Kuwai kufanyika Tanzania ni hii ya mbowe kuwa mwenyekiti
Other wise chadema ingekuwa tayari ni historia.
Kama ilivyo kwa CUF, NCCR, TADEA, UDP na ACT
Kwa mfano nani kama una akili timamu?je kwanini kila aonyeshaye nia ya kuuhitaji uenyekiti hutimuliwa?
aaaa dada mboweeeeee! kama nakuona vile unaishi milele dada mboweUkoo wako woote
Ushamba hauwezi kumuwacha mshamba salama
je kwanini kila aonyeshaye nia ya kuuhitaji uenyekiti hutimuliwa?
Bwashee umekuwa kama sigara kali sasaNi kweli kabisa!
Hivi NCCR na CUF ilikua na kura hta 5% hapo Karatu? Huo mchango wa CUF ulikuwa visiwani, pwani, na mikoa ya kusini. But Karatu ni kama CUF pemba kipindi kile ni absolute majority ya CHADEMA kwa zaidi ya miaka 25 so sio kweli walitegemea na kura za NCCR-CUF ili washinde.Mkuu kwanza nikusahihishe.. Kura nyingi zilizopatikana huko Karatu mwaka 2015, hazikuwa za Chadema pekee bali ni za wanachama wote wa vyama vilivyojiunga na kujiita Ukawa. Sasa unapo compare chaguzi ambazo Chadema ilisimama yenyewe na hii ambayo ilisimama na vyama vingine (zaidi ya kimoja) vya siasa unakosea.
Mbowe ahonge Illemela nzima kumshangilia? Ila Dr Slaa alishindwa kuhamasisha bila hongo yale maandamano ya Ubungo? Ama una compare nini hasa. Maana ya Dr.Slaa yalifeli sasa kma ana ushawishi mbona alikosa watu? Ilihali polisi walijitolea kuwalinda.Pili Mbowe ana pesa ya kuweza kuwahonga wanywa viloba, mateja nk wakampokee kwa shangwe na vigeregere ili kulaghai umma kuwa anapendwa, wakati dr Slaa yeye ni mtu wa uwezo wa kawaida tu kama mimi na ww, hawezi kuhonga watu wa kumpokea. La mwisho kbs kama mwenyekiti anakiri kuwa ktk watu waliojenga chama kwa gharama zao dr Slaa nae alikuwepo ni nini kilichomfanya abadili gia angani kwa kuruhusu mafisadi na mamluki wengine kutoka CCM waje kugombea nafasi mbali mbali za uraisi, ubunge na udiwani huku akiwaacha wafia chama kama kina dr Slaa eti waje wampigie deki Lowasa barabarani apite
Acha ujinga we pimbi.Katika vetting bora Kuwai kufanyika Tanzania ni hii ya mbowe kuwa mwenyekiti
Other wise chadema ingekuwa tayari ni historia.
Kama ilivyo kwa CUF, NCCR, TADEA, UDP na ACT
Lowassa alikuwa right person kuleta challenge? Upepo ukabadilika, kwa hiyo wewe furaha yako kuona nyomi ya watu mkutanoni?Hivi NCCR na CUF ilikua na kura hta 5% hapo Karatu? Huo mchango wa CUF ulikuwa visiwani, pwani, na mikoa ya kusini. But Karatu ni kama CUF pemba kipindi kile ni absolute majority ya CHADEMA kwa zaidi ya miaka 25 so sio kweli walitegemea na kura za NCCR-CUF ili washinde.
Mbowe ahonge Illemela nzima kumshangilia? Ila Dr Slaa alishindwa kuhamasisha bila hongo yale maandamano ya Ubungo? Ama una compare nini hasa. Maana ya Dr.Slaa yalifeli sasa kma ana ushawishi mbona alikosa watu? Ilihali polisi walijitolea kuwalinda.
Mbowe hakumsaliti Dr.Slaa it was clear asingeweza mshinda JPM ilihitajika nguvu ya ziada na bila hivyo JPM angetupoteza ile 2015 but Lowassa alikua right person kuleta ile challenge hadi upepo kubadilika kabisa. Na waliopitisha ni kamati kuu kwa kushirikiana na UKAWA sio Mbowe pekee.
Dr.Slaa is a traitor haiwezi badilika mbona Mnyika, Lissu walibaki CHADEMA same to kigaila and Marando licha ya kwamba hawakuafiki Lowassa kuwa mgombea? It was wrong msitafute justification
Hivi NCCR na CUF ilikua na kura hta 5% hapo Karatu? Huo mchango wa CUF ulikuwa visiwani, pwani, na mikoa ya kusini. But Karatu ni kama CUF pemba kipindi kile ni absolute majority ya CHADEMA kwa zaidi ya miaka 25 so sio kweli walitegemea na kura za NCCR-CUF ili washinde.
Mbowe ahonge Illemela nzima kumshangilia? Ila Dr Slaa alishindwa kuhamasisha bila hongo yale maandamano ya Ubungo? Ama una compare nini hasa. Maana ya Dr.Slaa yalifeli sasa kma ana ushawishi mbona alikosa watu? Ilihali polisi walijitolea kuwalinda.
Mbowe hakumsaliti Dr.Slaa it was clear asingeweza mshinda JPM ilihitajika nguvu ya ziada na bila hivyo JPM angetupoteza ile 2015 but Lowassa alikua right person kuleta ile challenge hadi upepo kubadilika kabisa. Na waliopitisha ni kamati kuu kwa kushirikiana na UKAWA sio Mbowe pekee.
Dr.Slaa is a traitor haiwezi badilika mbona Mnyika, Lissu walibaki CHADEMA same to kigaila and Marando licha ya kwamba hawakuafiki Lowassa kuwa mgombea? It was wrong msitafute justification
Lowassa alikuwa right person kuleta challenge? Upepo ukabadilika, kwa hiyo wewe furaha yako kuona nyomi ya watu mkutanoni?
Bora Slaa angegombea mwaka 2015 lakini sifa ya Chadema kama chama cha ukombozi na kinachopinga ufisadi ingebaki.
Chama kipi? Kile ambacho Mwenyekiti anagombea na kivuli? Ni lini CCM wamefanya uchaguzi wa kidemokrasia kama CHADEMA au Mbowe amepita bila kupingwa? Get realHapa utaona watu wakipongeza na kusifu,ingetokea kwenye chama kingine wale wanywa gongo wangetoa povu balaa,hapa hutawasikia kuhusu democracy
Inategemea unataka vipi... Kama unaingia kwa namna ya kukigawa chama ni lazima utimuliwe.... Hata CCM tumeyaona hayo wakati akina Shibuda na Membe walipojaribu kuwa challenge Wenyeviti. Hata CUF tulikoma Maalim akitimuliwa kwenye chama alichokiasisi.je kwanini kila aonyeshaye nia ya kuuhitaji uenyekiti hutimuliwa?
Mkuu ukubali au ukatae ila ukweli utabaki pale pale kuwa uchaguzi wa mwaka 2015 ungekuwa mgumu sana na hata pengine kupoteza ushindi kwa CCM kama dr Slaa angegombea uraisi na kuungwa mkono na Ukawa, hilo hata CCM wenyewe walilifaham hili (kumbuka hata ndan ya CCM yenyewe kuna watu tayari walikuwa washajua kuwa Kikwete mwaka 2015 CCM itamfia mikononi, na tishio kubwa kwao ilikuwa ni dr Slaa na sera yake ya ufisadi). Ndio maana wajuzi wakatengeneza vigisu wakijua kuwa litawasaidia kuendelea kubaki madarakani. Na kweli ukasukwa mpango Lowasa akajifanya kutimkia Chadema ili akamalize kazi aliyopewa na Chama baada ya hapo arejee chamani kama ilivyotokea. Kuhusu Mbowe naona unaongelea upande mmoja tu wa furaha ila haugusi upande mungine wa kilio hapa namaanisha unazungumzia ya Karatu nk lkn hauzungumzii yale ya kuzomewa na kurushiwa chupa za maji jimboni kwake mwenyewe. Sikuwahi kuliona hili kwa dr Slaa hata siku moja.Hivi NCCR na CUF ilikua na kura hta 5% hapo Karatu? Huo mchango wa CUF ulikuwa visiwani, pwani, na mikoa ya kusini. But Karatu ni kama CUF pemba kipindi kile ni absolute majority ya CHADEMA kwa zaidi ya miaka 25 so sio kweli walitegemea na kura za NCCR-CUF ili washinde.
Mbowe ahonge Illemela nzima kumshangilia? Ila Dr Slaa alishindwa kuhamasisha bila hongo yale maandamano ya Ubungo? Ama una compare nini hasa. Maana ya Dr.Slaa yalifeli sasa kma ana ushawishi mbona alikosa watu? Ilihali polisi walijitolea kuwalinda.
Mbowe hakumsaliti Dr.Slaa it was clear asingeweza mshinda JPM ilihitajika nguvu ya ziada na bila hivyo JPM angetupoteza ile 2015 but Lowassa alikua right person kuleta ile challenge hadi upepo kubadilika kabisa. Na waliopitisha ni kamati kuu kwa kushirikiana na UKAWA sio Mbowe pekee.
Dr.Slaa is a traitor haiwezi badilika mbona Mnyika, Lissu walibaki CHADEMA same to kigaila and Marando licha ya kwamba hawakuafiki Lowassa kuwa mgombea? It was wrong msitafute justification
Kwani ni lini CHADEMA imeacha kupinga ufisadi? Huyo Lowassa si yupo CCM na alipokelewa na JPM kwa heshima zote kwani ilibadili credibility ya CCM na JPM (whether positive or negative)??Lowassa alikuwa right person kuleta challenge? Upepo ukabadilika, kwa hiyo wewe furaha yako kuona nyomi ya watu mkutanoni?
Bora Slaa angegombea mwaka 2015 lakini sifa ya Chadema kama chama cha ukombozi na kinachopinga ufisadi ingebaki.