Lissu amemchakaza Mbowe kura za mabaraza ya CHADEMA

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
Uchaguzi wa Mabaraza yote umekamilika kwa Asilimi 100

Namba zinasema hivi πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½

Mabaraza yote yana Jumla ya kura 99
1. BAZECHA 33
-TAL 15
-FAM 18

2. BAWACHA 33
  • TAL 17
  • FAM 16

3. BAVICHA 33
  • TAL 31
  • FAM 2

Jumla
Tundu Lissu 63
Freeman Mbowe 36.
 
Nilijua Mwenyekiti Bacheza angechukua zote kumbe na wao wamemchoka mzee mwenzao.
 
...Huu ni utafiti au, mbowe anadai yeye anaungwa mkono na wajumbe wengi, eti kwenye mikoa kati ya wenyeviti 33 yeye ni 27,;
 
Duuuuu! BAVICHA wametisha! 🀣 🀣 🀣 πŸ˜† πŸ˜† BAZECHA Wazee wetu wanahofia machafuko.
 
Hahaaaaaa, wenye akili timamu wote wanamuunga FM sasa hao BAVICHA ni mdudu gani hahaaaa
 
Nilijua Mwenyekiti Bacheza angechukua zote kumbe na wao wamemchoka mzee mwenzao.
Bacheza, bawacha hakuna wa kumpa kura lisu.
Haya mabaraza mawili ni ya watu wenye utimamu na ndo asilimia kubwa wataingia kupiga kura sasa tusubiri 21 mwehu mwenza na BAVICHA atapigwa za uso
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…