Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaha Mkuu unarusha kombora la Hamas1200- 99 = 1101 ni za nani?
801-Lissu1200- 99 = 1101 ni za nani?
Nilijua Mwenyekiti Bacheza angechukua zote kumbe na wao wamemchoka mzee mwenzao.View attachment 3205243
Uchaguzi wa Mabaraza yote umekamilika kwa Asilimi 100
Namba zinasema hivi 👇🏽👇🏽
Mabaraza yote yana Jumla ya kura 99
1. BAZECHA 33
-TAL 15
-FAM 18
2. BAWACHA 33
- TAL 17
- FAM 16
3. BAVICHA 33
- TAL 31
- FAM 2
Jumla
Tundu Lissu 63
Freeman Mbowe 36.
Kwenye kura za Jumanne kuweni makini angalieni mkao wa hizo nambaJumla
Tundu Lissu 63
Freeman Mbowe 36.
...Huu ni utafiti au, mbowe anadai yeye anaungwa mkono na wajumbe wengi, eti kwenye mikoa kati ya wenyeviti 33 yeye ni 27,;View attachment 3205243
Uchaguzi wa Mabaraza yote umekamilika kwa Asilimi 100
Namba zinasema hivi 👇🏽👇🏽
Mabaraza yote yana Jumla ya kura 99
1. BAZECHA 33
-TAL 15
-FAM 18
2. BAWACHA 33
- TAL 17
- FAM 16
3. BAVICHA 33
- TAL 31
- FAM 2
Jumla
Tundu Lissu 63
Freeman Mbowe 36.
Umeingia ktk mioyo yao?View attachment 3205243
Uchaguzi wa Mabaraza yote umekamilika kwa Asilimi 100
Namba zinasema hivi 👇🏽👇🏽
Mabaraza yote yana Jumla ya kura 99
1. BAZECHA 33
-TAL 15
-FAM 18
2. BAWACHA 33
- TAL 17
- FAM 16
3. BAVICHA 33
- TAL 31
- FAM 2
Jumla
Tundu Lissu 63
Freeman Mbowe 36.
Duuuuu! BAVICHA wametisha! 🤣 🤣 🤣 😆 😆 BAZECHA Wazee wetu wanahofia machafuko.View attachment 3205243
Uchaguzi wa Mabaraza yote umekamilika kwa Asilimi 100
Namba zinasema hivi 👇🏽👇🏽
Mabaraza yote yana Jumla ya kura 99
1. BAZECHA 33
-TAL 15
-FAM 18
2. BAWACHA 33
- TAL 17
- FAM 16
3. BAVICHA 33
- TAL 31
- FAM 2
Jumla
Tundu Lissu 63
Freeman Mbowe 36.
Anatengeneza mazingira ya kuiba kura....Huu ni utafiti au, mbowe anadai yeye anaungwa mkono na wajumbe wengi, eti kwenye mikoa kati ya wenyeviti 33 yeye ni 27,;
Haha kwanza huyu aliyezileta tunamwamini?Kwenye kura za Jumanne kuweni makini angalieni mkao wa hizo namba
1101>>>>1200- 99 = 1101 ni za nani?
Hahaaaaaa, wenye akili timamu wote wanamuunga FM sasa hao BAVICHA ni mdudu gani hahaaaaView attachment 3205243
Uchaguzi wa Mabaraza yote umekamilika kwa Asilimi 100
Namba zinasema hivi [emoji1427][emoji1427]
Mabaraza yote yana Jumla ya kura 99
1. BAZECHA 33
-TAL 15
-FAM 18
2. BAWACHA 33
- TAL 17
- FAM 16
3. BAVICHA 33
- TAL 31
- FAM 2
Jumla
Tundu Lissu 63
Freeman Mbowe 36.
Uliza BAWACHA wanamtaka nani halafu rudi hukuNamba zitaendelea kuzungumza
Mwenyekiti si unamuona ameamua kupiga media tour?
Hali ni mbaya sana ground. Watu wanachotaka ni Lissu tu.
Bacheza, bawacha hakuna wa kumpa kura lisu.Nilijua Mwenyekiti Bacheza angechukua zote kumbe na wao wamemchoka mzee mwenzao.