Lissu ameshamshinda Mbowe!!

Ndio Lissu ameshamshinda Mbowe kwenye kuropokaropoka !
Lakini kwenye uongozi hamfikii hata nusu !
We unadhani kama Mwamba angepigwa kama risasi vile , Lissu angeweza kumpeleka Nairobi ???
Mwamba akili kubwa wewee !
 
Mkuu, ina maana na hawa Covid 19 wanapiga kura? Kwani wao ni wanachama wa CHADEMA? Tufahamishane!
 
Hili likitokea,manyumbu akili za nyumbu zitakuwa zimewatoka akili za binadamu zimewarudia。
P
 
Lissu ameshaenda ulaya.

Atashinda saa ngapi?
Hii sio dunia analogia boss. Dunia hii ya techology aliyeko New York yuko karibu kuliko aliyeko kwa mtogole. Ccm ndio bado wanaishi kinaanalogia, unakuta kiongozi anasema anakwenda kuongea na wananchi wake, lakini kiuhalisia unakuta haongei nao bali anawahutubia atakacho.
 
Miaka 21 na huna hata kijiji unasema unataka kuendelea kuongoza
Usichanganye uchu wa madaraka wa Mbowe, na chaguzi za kishenzi zinazoendelea hapa nchini. Tunajua udhaifu wa Mbowe ni upi, na ukhanithi wa kwenye chaguzi zetu ni upi. Usidhani hatujui kipi ni kipi.
 
Aibu kuu, mpinga ufisadi naye awa fisadi.

Lisu haihitajiki afanye kampeni Kama wajumbe Wana akili timamu.
Tetesi za ndani uchaguzi huenda usiwe Uhuru. Mjumbe akipiga kura atajipiga picha ili akitoka akapokee kitita Cha pesa sio chini ya milioni moja!!

Tunashauri wajumbe wakae nyuma ya mgombea ili tuwajue wajumbe ambao husema tupo pamoja kumbe wanafiki.

Tuache utani kumpigia MBOWE kwa Sasa ni kuua chadema
 
Hivi mbowe na watu wake huwa hawasomi mitandaoni aone jinsi asivyotakiwa kugombea tena? Anashupaza shingo huku anaona kabisa hatakiwi tena kuwa mwenyekiti. Kama si dikteta ni nani kung'ang'ania madaraka huku hatakiwi?
Kwani kura zinapigwa mitandaoni?
wapiga debe wamihemko ndio wanao taka lissu. Hawo wote huenda siwanachama.

wanachama ndio wanao taka Mbowe aendelee.
 

Naamini degree yako ya siasa ilisup mkuu
Jitahidi ujue inner circle za CDM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…