Lissu ameshamshinda Mbowe!!

Kimahesabu ndio hivyo ila kimatokeo ndio tunasubiria
 
Ndiyo maana Mbowe anaweza kujibadili kuwa shetani kamili kwa kushirikiana na samia na ccm hili kubaki madarakani kwa gharama yoyote hata kwa damu...maana tayari kesha poteza utukufu hivyo ni kujiunga na MJALAANA SAMIA BUSHIRI NA ABDUL NA KUUNDA KUNDI LA KISHETANI NDANI YA CHADEMA HIKI KINAKWENDA KUTOKEA KAMA MBOWE ATAENDELEA KUWA KITINI BAADA YA HUU UCHAGUZI ....GENIUS SIKOSEI NINACHO SEMA 100%
 
Mbowe akitaka abakiwe na heshima kidogo iliyobaki kwa Watanzania akubali kushindwa.
 
Hoja ya kingese kabisa. Lissu kuwa hai ni mpango wa Mungu, acha kuja na hoja za KITOTO unajiabisha bure
 
Kwani kura zinapigwa mitandaoni?
wapiga debe wamihemko ndio wanao taka lissu. Hawo wote huenda siwanachama.

wanachama ndio wanao taka Mbowe aendelee.
Magonjwa Mtambuka
Stuxnet
MamaSamia2025
USSR

Hao hapo juu kwa uchache ni wana CHADEMA !!?
Hao na wengine wengi ambao ni wana Lumumba kindakindaki ndio wanaompigia Mbowe aendelee!
Common sense yako haikuambii kitu hapo!!??
 
NDIO AMESHAMSHINDA MBOWE KWA MANENO KWENYE MITANDAO YA KIJAMII !
BAHATI NZURI MBOWE SI MPENZI WA MITANDAO YA KIJAMII
 
Nakubaliana na wewe
 
Mbowe na master sana kwenye kuzisaka faranga aongezewe miaka 5 ya mwisho
 
Bwanabwana ,umeasahau ile picha ya liidude likubwa kabiisa?
Sema LISU ni kiboko ya mbambamba.
 
Kinara cha Taa kimeshatoka kwa Mbowe na amepewa Lisu hata Mbowe afanye Figisu na kushinda ila Kama kinara cha Taa kimetoka kwako na Mungu amempaka mwingine awe Mfalme ata utumie Pesa na mali zako yatakuwa tu kama yale ya Mfalme Sauli na Daudi. Mbowe aelewe kuwa ufalme wake umepimwa ktk minzani nakuonekana ni mwepesi kama karatasi anashupaza shingu tu kwakuwa uenyekiti unampatia yeye binafsi exposure kubwa ktk shughuli zake binafsi kwahiyo sababu ya kung'ang'ania ni maslai yake binafsi na si ya Chama. Angekuwa na malengo mazuri angejitahidi kuwaunganisha wanachama na mashabiki wachama lakini yeye anajiita siyo Mbangaizaji wakati wanachama wako asilimia kubwa wanapata misuko suko kibao kwenye shughuli zzao za kutafuta maisha kwa sababu yakukipigania chama. Mbowe ashinde au ashindwe hana nafasi tena ya uongozi CDM wala hatakuwa na ujasiri wowote wakusimama mbele za watu kuwaambia chochote atabaki kama kasha tupu, Ila CDM haitakufa ila itaparalise.
 
Mbowe akirudi kuwa mwenyekiti imani yangu na CHADEMA itakuwa imefikia kikomo Lissu ndo kipenzi cha watu maana huyu icon ya Taifa.
 
Acheni unafiki , tuache kura ziongee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…