Pre GE2025 Lissu amjibu Wasira. Asema Uchaguzi Mkuu usogezwe mbele kupata Katiba Mpya, vinginevyo watazuia uchaguzi kwa maandamano

Pre GE2025 Lissu amjibu Wasira. Asema Uchaguzi Mkuu usogezwe mbele kupata Katiba Mpya, vinginevyo watazuia uchaguzi kwa maandamano

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu jamaa ni kiande kweli kweli.

Yani yeye azuie uchaguzi kama nani kwenye hii nchi?

Eti tutaaandamana. Ataandamana na nani?

Yani mtanzania wa kuandamana ili kuzuia uchaguzi yupo wapi?

Huyu anachojua ni kuropoka tu hiko chama sio size yake hajui uongozi.

Wewe kama hutaki uchaguzi sisi tunautaka, na ACT pamoja na CCM watu wameshatangaza nia na wagombea.

Asiyetaka uchaguzi aende akapigwe pipe Ubeligiji. Hakuna mtu atazuia uchaguzi nchi hii hizo ni ndoto za mtu mwenye mwezi mchanga.

Yani unafikiri kwa kuwa umefanikiwa kumchafua Mbowe aliyekulea na kuokoa maisha yako ndio utazuia na uchaguzi wewe punguani?

Mpumbavu!
Bado tu watu hamjapona vidonda vya uchaguzi......
 
Msikilize anavyoongea kwanza, Wasira ni debe tupu yeye atapambana na rais, no reform no election itawezekana tuu mlimzoea mbowe kucheka cheka naye na mulifanya juhudi kubwa sana Tundu kumzuia asiwe mwenyekiti sababu ndio hizi sasa mtapambana naye kama mtaweza,

Tanzania ilihitaji kiongozi wa aina hii muda mrefu, kama mnahitaji kufanya uchaguzi na ACT tu mtawaeleza hao washirika wenu wanaokupeni fedha kuendesha nchi yenu na miradi ya maendeleo
Atapambanaje Sasa na Rais? Amesema maandamano watakaoandamana ndio nyie wa humu jf? 😆😆
 
Huyu jamaa ni kiande kweli kweli.

Yani yeye azuie uchaguzi kama nani kwenye hii nchi?

Eti tutaaandamana. Ataandamana na nani?

Yani mtanzania wa kuandamana ili kuzuia uchaguzi yupo wapi?

Huyu anachojua ni kuropoka tu hiko chama sio size yake hajui uongozi.

Wewe kama hutaki uchaguzi sisi tunautaka, na ACT pamoja na CCM watu wameshatangaza nia na wagombea.

Asiyetaka uchaguzi aende akapigwe pipe Ubeligiji. Hakuna mtu atazuia uchaguzi nchi hii hizo ni ndoto za mtu mwenye mwezi mchanga.

Yani unafikiri kwa kuwa umefanikiwa kumchafua Mbowe aliyekulea na kuokoa maisha yako ndio utazuia na uchaguzi wewe punguani?

Mpumbavu!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Hana hiyo jeuri asije kurudi Kwa Amsterdam
 
Samia akiona hiyo video ni Kingi kabisa kama ulivyosema kukaa next 4 yrs bila uchaguzi anakula bata kabisa
Na hayo mabadiliko wala yasije kwa kiwango cha kusaidia upinzani na Samia akashinda uraisi 2030-2035. Halafu 2035 chadema kikataka mwenyekiti mpya.
 
Atafute namna nyingine tuu hii ya maandamano kwa watanzania ni uongo imesha shindwa, serikali inajua kabisa yakitangazwa maandamano wao watatoa vitisho kidogo tuu na hakuna atakae ingia barabarani afikirie upya
Sasa atafanyaje si kasema hataki mazungumzo 😆😆

Hana jeuri niliwaambia haijatoka Jupiter kuwa Mwenyekiti wa Chadema alikuwepo humu humu.na hana jipya ataleta.
 
Nafuu Lissu ana mawazo ta Wakenya, haki na katiba, Lissu anataka kuzika nadharia ya bao la mkono.
 
Huyu jamaa ni kiande kweli kweli.

Yani yeye azuie uchaguzi kama nani kwenye hii nchi?

Eti tutaaandamana. Ataandamana na nani?

Yani mtanzania wa kuandamana ili kuzuia uchaguzi yupo wapi?

Huyu anachojua ni kuropoka tu hiko chama sio size yake hajui uongozi.

Wewe kama hutaki uchaguzi sisi tunautaka, na ACT pamoja na CCM watu wameshatangaza nia na wagombea.

Asiyetaka uchaguzi aende akapigwe pipe Ubeligiji. Hakuna mtu atazuia uchaguzi nchi hii hizo ni ndoto za mtu mwenye mwezi mchanga.

Yani unafikiri kwa kuwa umefanikiwa kumchafua Mbowe aliyekulea na kuokoa maisha yako ndio utazuia na uchaguzi wewe punguani?

Mpumbavu!
Mkuu utakua uhemewi kweli?
 
Tundu Lissu amesema "Sheria zetu za Uchaguzi ni mbovu, haziwezi kurekebishika zinahitaji kuandikwa upya na , tutazuia Uchaguzi kwa maandamano"

Soma, Pia: Wasira: Hoja ya Chadema kutaka Katiba mpya kabla ya uchaguzi mkuu Oktoba 2025 imechelewa

Tunataka sasa uingie barabarani kudai katiba, tume huru n.k kutia mbinyo hii ya kujenga hoja katika press kina Freeman Mbowe tumeisikia kwa miaka mingi

Mwenyekiti mheshimiwa Tundu Lissu itisha maandamano yasiyo na kikomo haya mambo ya kurushiana vijembe muda unakwenda bunge litavunjwa mwezi June bila sheria kurekebishwa na pia October 2025

Tupo tayari kuingia barabarani, itisha maandamano yasiyo na kikomo kila kona . Kiongozi mkuu mpya huja na staili mpya ya kuendesha mambo, staili za uongozi wa chama uliopita zimefeli umetuambia.

Sasa ongoza kwa staili mpya ya CHADEMA hadi CCM wakubali kubadilisha sheria, bunge, uteuzi wa wajumbe wa Tume ya Uchaguzi bila kuwepo hivi vitu vinavyopoteza muda kupitia mazungumzo ya maridhiano, baraza la vyama vya siasa, viongozi wa dini wanafiki au Tume ya Mapendekezo ya Katiba Mpya
 
Tume ya uchaguzi iwe huru kweli kweli. Isiwe tume ya ccm. Pia sheria za uchaguzi zionekane ziko huru.

Sheria ziseme chama kitakacho kamatwa kinaiba kura au kikiwa na viashiria vya kuiba kura kifanywe nini !

Na mengine mengi.

Yeyote anayejaribu kuzuia mabadiliko kwa sababu ana kiburi na tamaa ya madaraka Mwenyezi-Mungu aingilie kati , amuondoe ili mtiririko wa mabadiliko usikwame.
 
Huyu jamaa ni kiande kweli kweli.

Yani yeye azuie uchaguzi kama nani kwenye hii nchi?

Eti tutaaandamana. Ataandamana na nani?

Yani mtanzania wa kuandamana ili kuzuia uchaguzi yupo wapi?

Huyu anachojua ni kuropoka tu hiko chama sio size yake hajui uongozi.

Wewe kama hutaki uchaguzi sisi tunautaka, na ACT pamoja na CCM watu wameshatangaza nia na wagombea.

Asiyetaka uchaguzi aende akapigwe pipe Ubeligiji. Hakuna mtu atazuia uchaguzi nchi hii hizo ni ndoto za mtu mwenye mwezi mchanga.

Yani unafikiri kwa kuwa umefanikiwa kumchafua Mbowe aliyekulea na kuokoa maisha yako ndio utazuia na uchaguzi wewe punguani?

Mpumbavu!
Bado hamjasema.
 
Sawasawa, Hivyo ndivyo inavyotakiwa.
Kuingia katika uchaguzi huku unajua uanenda kuibiwa ni ujinga mtupu/
Kufanya uchaguzi feki usio wa haki ni kupoteza pesa za wananchi!
 
Tume ya uchaguzi iwe huru kweli kweli. Isiwe tume ya ccm. Pia sheria za uchaguzi zionekane ziko huru.

Sheria ziseme chama kitakacho kamatwa kinaiba kura au kikiwa na viashiria vya kuiba kura kifanywe nini !

Na mengine mengi.

Yeyote anayejaribu kuzuia mabadiliko kwa sababu ana kiburi na tamaa ya madaraka Mwenyezi-Mungu aingilie kati , amuondoe ili mtiririko wa mabadiliko usikwame.
Vyote hivyo vimetekelezwa.
 
Back
Top Bottom