Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuuKazi imeanza ✌️
yaani hapo ndiyo huwa mnafeli kuna vyama vingi vya siasa siyo vyama viwili vya siasa hivi agome chadema vyama vingine vishiriki mtasema uchaguzi usimame kwaajili ya chama kimoja chadema?> who is chadema by the way ? wasuse wenzao wanashiriki na uchaguzi ukiisha wasubiri mpaka uchaguzi mwingine nao wakisusa tunaendelea hivyo hivyo watabaki kuwa chama cha upinzan mileleMsikilize anavyoongea kwanza, Wasira ni debe tupu yeye atapambana na rais, no reform no election itawezekana tuu mlimzoea mbowe kucheka cheka naye na mulifanya juhudi kubwa sana Tundu kumzuia asiwe mwenyekiti sababu ndio hizi sasa mtapambana naye kama mtaweza,
Tanzania ilihitaji kiongozi wa aina hii muda mrefu, kama mnahitaji kufanya uchaguzi na ACT tu mtawaeleza hao washirika wenu wanaokupeni fedha kuendesha nchi yenu na miradi ya maendeleo
Watazuiaje?Anataka katiba itakayowasaidia kushika dola, kama kutakuwa na viashiria vya kushindwa watazuia uchaguzi. Hapa ndio penye shida.
Ni sawa kama ni kweli.Vyote hivyo vimetekelezwa.
Eti swaga!!!Unataka nikushikishe ukuta? Mbona sielewi swaga zako
(1) Si Kiande,,,Kiande ni wewe mwenye Mtazamo wa Kichawa,Huyu jamaa ni kiande kweli kweli.
Yani yeye azuie uchaguzi kama nani kwenye hii nchi?
Eti tutaaandamana. Ataandamana na nani?
Yani mtanzania wa kuandamana ili kuzuia uchaguzi yupo wapi?
Huyu anachojua ni kuropoka tu hiko chama sio size yake hajui uongozi.
Wewe kama hutaki uchaguzi sisi tunautaka, na ACT pamoja na CCM watu wameshatangaza nia na wagombea.
Asiyetaka uchaguzi aende akapigwe pipe Ubeligiji. Hakuna mtu atazuia uchaguzi nchi hii hizo ni ndoto za mtu mwenye mwezi mchanga.
Yani unafikiri kwa kuwa umefanikiwa kumchafua Mbowe aliyekulea na kuokoa maisha yako ndio utazuia na uchaguzi wewe punguani?
Mpumbavu!
Kumbuka anaeongea hapo ni survivor wa risasi 16Atafute namna nyingine tuu hii ya maandamano kwa watanzania ni uongo imesha shindwa, serikali inajua kabisa yakitangazwa maandamano wao watatoa vitisho kidogo tuu na hakuna atakae ingia barabarani afikirie upya
Mwambie kipigo chake ni cha mbwa koko. Ataishia kuandamana na familia yakeTundu Lissu amesema "Sheria zetu za Uchaguzi ni mbovu, haziwezi kurekebishika zinahitaji kuandikwa upya na , tutazuia Uchaguzi kwa maandamano"
Soma, Pia: Wasira: Hoja ya Chadema kutaka Katiba mpya kabla ya uchaguzi mkuu Oktoba 2025 imechelewa
Hazijatengenezwa ku msuit Lisu Bali Wananchi wengi.Ni sawa kama ni kweli.
Basi mapema hii Tundu Antipas Lissu mwanasheria nguli inatakiwa akae na wanasheria wake wa chama wazipitie hizo sheria mpya za uchaguzi kama zinafaa na ni huru kweli kweli wajiridhishe . Kama wakiona mapungufu , kwa kushirikiana na wadau wa haki wakae na serikali au rais meza moja kuona ni namna gani tume huru ya uchaguzi itaendesha uchaguzi mkuu 2025 kwa haki kabisa bila wizi wa kura wala rushwa
Miaka yote tunafanya uchaguzi huru na Haki(1) Si Kiande,,,Kiande ni wewe mwenye Mtazamo wa Kichawa,
(2)Mwnyekiti wa CHAMA KILICHOTHIBITISHA NI CHA KIDEMOKRASIA Duniani kote,
(3)Si kuropoka ni kuwaambia ukweli WAKOLONI weusi Wanaojineemesha wao na Watoto na WAjukuu zao kwa KODI zetu....si umeona amekataa kapu la fedha kutoka kwa Abdul?
(4) Anataka uchaguzi HURU na HAKI kama ulivyouona wa CHADEMA juzi
(5) Umeonesha UKIANDE wako kwa kuingiza matusi,,,,ni lini na wapi LISU ametukana kama wewe hapo?
(6) Mbowe hajachafuliwa bali ameambiwa ukweli,,,ndio maana amenyamaza
Huu ni uongo.Miaka yote tunafanya uchaguzi huru na Haki
Katiba ya kuwasaidia Chadema waitengeneze ikawasaidie huko ufipa ila Kuna Katiba ya kusaidia Watanzania na Vyama vyote.Anataka katiba itakayowasaidia kushika dola, kama kutakuwa na viashiria vya kushindwa watazuia uchaguzi. Hapa ndio penye shida.
Kwa mantiki gani?Huu ni uongo.
Bora iwe kweli lakini kama imetengenezwa kum-suit Samia na ccm , there will be consequences.Hazijatengenezwa ku msuit Lisu Bali Wananchi wengi.
Mashoga mkicharuka🙌Huyu jamaa ni kiande kweli kweli.
Yani yeye azuie uchaguzi kama nani kwenye hii nchi?
Eti tutaaandamana. Ataandamana na nani?
Yani mtanzania wa kuandamana ili kuzuia uchaguzi yupo wapi?
Huyu anachojua ni kuropoka tu hiko chama sio size yake hajui uongozi.
Wewe kama hutaki uchaguzi sisi tunautaka, na ACT pamoja na CCM watu wameshatangaza nia na wagombea.
Asiyetaka uchaguzi aende akapigwe pipe Ubeligiji. Hakuna mtu atazuia uchaguzi nchi hii hizo ni ndoto za mtu mwenye mwezi mchanga.
Yani unafikiri kwa kuwa umefanikiwa kumchafua Mbowe aliyekulea na kuokoa maisha yako ndio utazuia na uchaguzi wewe punguani?
Mpumbavu!