Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Ahahahahaha!!!Dolla mbona inashikwa hata na wrndawazimu na vilaza kama hao wa miaka ya sasa.
Prove him wrong kwa alichokiongea, siy uaishia kunema-nema tu kama mwanamwali.
Unaleta hisia kwenye facts?
We kweli bado mtoto wa shule.Pesa chafu zipi? Za kununua Jengo la Makao Makuu? Umeishasikia Lissu amegoma kuingia humo? Au ushasikia anasema ataliuza kwasababu limetokana na fedha chafu? Una ushahidi huwa hachukui posho za vikao?
Mimi mfano wa kiongozi mzuri nchi hii ni Lissu tu, familia ipo uhamishoni kutokana na mlichomfanyia na mzalendo wenu jiwe, na pia mnachokifanya sasa na mama enu kuteka na kuwapoteza wakosoaji na wasema ukwel wa taifa hili. Kwa roho ya uzalendo aliyonayo ameamua kuja kupambana mwenyew bila kuathiri usalama wa familia yake.Lissu mwenyewe amenunuliwa na Mr. Amsterdam. Na kama sio kweli ebu niambie familia yake inaishi wapi? Ebu nipe mfano wa Kiongozi yeyote Mzalendo wa nchi yake ambaye familia yake inaishi nje ya nchi yake! Mfano mmoja tu nami ntamuunga mkono Lissu. Usiponipa mfano mmoja tu, nitakupotezea maana sijibizani na nyumbu!
We kijana reasoning yako ni ndogo sana, kama familia yako iko kwenye hatihati ya kutekwa na kushambulia kwann usiwekeze family yako mbali na nchi yako mama.Lissu mwenyewe amenunuliwa na Mr. Amsterdam. Na kama sio kweli ebu niambie familia yake inaishi wapi? Ebu nipe mfano wa Kiongozi yeyote Mzalendo wa nchi yake ambaye familia yake inaishi nje ya nchi yake! Mfano mmoja tu nami ntamuunga mkono Lissu. Usiponipa mfano mmoja tu, nitakupotezea maana sijibizani na nyumbu! Ahahahahaha!!!
Pointless! Kabla ya Uchaguzi uliopita Uganda, Kyagulanyi alitegemewa kupata kura nyingi sana, lakini Waganda wakapenyezewa na wakuda kuwa wiki moja kabla ya uchaguzi alikuwa ameipeleka familia yake nje ya nchi! Waganda wakakasirika hadi yeye Kyagulanyi akalalamika kuwa Serikalya M 7 ilitoa hiyo Siri ili akose kura na ikawa hivyo!We kijana reasoning yako ni ndogo sana, kama familia yako iko kwenye hatihati ya kutekwa na kushambulia kwann usiwekeze family yako mbali na nchi yako mama.
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Sawa. Bila shaka akianzisha harakati zake wewe na familia yako mtakuwa nae bega kwa bega mkikiwasha! All the best!!Mimi mfano wa kiongozi mzuri nchi hii ni Lissu tu, familia ipo uhamishoni kutokana na mlichomfanyia na mzalendo wenu jiwe, na pia mnachokifanya sasa na mama enu kuteka na kuwapoteza wakosoaji na wasema ukwel wa taifa hili. Kwa roho ya uzalendo aliyonayo ameamua kuja kupambana mwenyew bila kuathiri usalama wa familia yake.
Huwezi kujibu hoja zangu. I'm sure of that!We kweli bado mtoto wa shule.
Chadema chini ya Mbowe kina asilimia ngapi uchaguzi WA serikali za mitaa uliopitaMimi nafikiri salama ya Chadema kama chama Cha siasa ni KUMFUKUZA LISSU uwanachama aidha kabla ya uchaguzi ili asiwaharibie chama au baada ya uchaguzi ili wabaki salama baada ya uchaguzi. Sababu Kuu ni kwamba "Mtu mstaarabu haropokiropoki!".
Sijui, lakini kwanini huwa mnasemwa Chadema ndio chama kikuu cha upinzani Tanzania?Chadema chini ya Mbowe kina asilimia ngapi uchaguzi WA serikali za mitaa uliopita
Ndiyo Maridhiano hayo, kwamba CCM ibebe vyoteChadema chini ya Mbowe kina asilimia ngapi uchaguzi WA serikali za mitaa uliopita
Huo ukweli anao Lisu, pia alisema kikao kili kuwa recorded, umeiona hiyo recording au hata picha ya kikao hicho, au tunaamini tu kwasababu Lisu kasema?Lissu anasema Abdul alipelekwa kwake na kiongozi wa CDM, hili ni kweli ama si kweli!!???
Hapo ndio uwezo wako uliorithishwa umefikia hapo.Ukiona mamaako kachepuka nakwenda kumwambia babaako kisa unasema ukweli? Ahahahaha!!
Ninachosema ww ndio ukielewi iyo Lisu kabla ya alakati izi za sasa nyuma kama miez 2 au mmoja uko nyuma aliitisha mkutano wa wana Habari ndio akatoa madai yake kuwa wapo kwenye mopango yeye na mzungu wake wa kuishtaki kampuni ya Tigo na Serikari tena alikuwa anaongea kwanyodo sana akisema kesi hii najua nitaikamua serikali mipesa mingi sana. Sasa izo pesa zanani ni za ao aliwataja kuwa ndio watuumiwa wake. Au nipesa za serikali. Mnaomtetea apendi pesa jibuni apa tukiwaamboa iyo jamaaa atakiwa mwiziii kama wezi wengine ktk nchi yetu yeye si kasoma sheria kwanini mdai yake ayaeleleze kwa serikali badala ya mtu binafsi. Sheria anajua lkn anazitumia kwaajili ya mipango yake natoa mfano uyu uyu Lisu alipokamatwa kule mbeya akadai atawafungulia kesi watumish wawili wa makao makuu ya jesh la polisi kwakua kuzuiwa kwao kule mbeya ni kinyume na sheria na kwakuwa katiba imeruusu maandamano na mikusanyiko inamana awa polisi wamevunja sheria kutuzuiya awanasababu ivyo tutawafungulia kesi wao binafsi sio jeshi la polisi. Lisu ndio kasema ayo. Kumbe snafaam kwenye nafasi za uwongozi yawezekana afisa wa Serikali akafanya kitu kiko nnje ya Katiba nje ya sheria zote zinazounda jamuhuri ya muungano kwaiyo achukue sheria kuwashtaki wao binafsi kwakukiuka miongoza ya nafasi yake na cheo chake. Lkn yeye anataka kuishitaki Serikali ili akwapue pesa za Wananchi. Ambao awakumtuma mtu yoyote kumzuru yeye LISU. Pesa ni zawana nchi sio za mtu yoyote mwenye ugomvi nayeye. Lisu.Sijui kama hata sheria unajua zinafananaje. Unajua ni kanini Lissu anadai arudishiwe gharama zake za matibabu? Unajua pamoja na kushambuliwa bado Lissu hana uwezo wa kufungua kesi?
Ni vizuri ungeuliza kuliko kutoa ushauri juu ya mambo ambayo hauyaelewi?
Narudia tena, omba kueleweshwa badala ya kutoa ufafanuzi juu ya mambo usiyoyajua. Ukiendelea kuleta ubishi baki hivyohivyoNinachosema ww ndio ukielewi iyo Lisu kabla ya alakati izi za sasa nyuma kama miez 2 au mmoja uko nyuma aliitisha mkutano wa wana Habari ndio akatoa madai yake kuwa wapo kwenye mopango yeye na mzungu wake wa kuishtaki kampuni ya Tigo na Serikari tena alikuwa anaongea kwanyodo sana akisema kesi hii najua nitaikamua serikali mipesa mingi sana. Sasa izo pesa zanani ni za ao aliwataja kuwa ndio watuumiwa wake. Au nipesa za serikali. Mnaomtetea apendi pesa jibuni apa tukiwaamboa iyo jamaaa atakiwa mwiziii kama wezi wengine ktk nchi yetu yeye si kasoma sheria kwanini mdai yake ayaeleleze kwa serikali badala ya mtu binafsi. Sheria anajua lkn anazitumia kwaajili ya mipango yake natoa mfano uyu uyu Lisu alipokamatwa kule mbeya akadai atawafungulia kesi watumish wawili wa makao makuu ya jesh la polisi kwakua kuzuiwa kwao kule mbeya ni kinyume na sheria na kwakuwa katiba imeruusu maandamano na mikusanyiko inamana awa polisi wamevunja sheria kutuzuiya awanasababu ivyo tutawafungulia kesi wao binafsi sio jeshi la polisi. Lisu ndio kasema ayo. Kumbe snafaam kwenye nafasi za uwongozi yawezekana afisa wa Serikali akafanya kitu kiko nnje ya Katiba nje ya sheria zote zinazounda jamuhuri ya muungano kwaiyo achukue sheria kuwashtaki wao binafsi kwakukiuka miongoza ya nafasi yake na cheo chake. Lkn yeye anataka kuishitaki Serikali ili akwapue pesa za Wananchi. Ambao awakumtuma mtu yoyote kumzuru yeye LISU. Pesa ni zawana nchi sio za mtu yoyote mwenye ugomvi nayeye. Lisu.
Lissu ni mnyama sana hii interview ameuwa sana, mbowe hana namna tena na ata akirudi kuwa mwenyekiti hatakuwa tena na nguv lakini wenje aka dalali ndio anaenda kuitia chadema kaburini kabisa kabisaKanyoosha rula!
Kumbe Wenje alitungatunga maneno tu kujikosha!
Ukimuuliza hilo swali majibu yake utajuta, lissu yuko makini sana mbowe hana namna ili chadema isiamame lissu awe mwenyekiti otherwise chadema kwisha habar yakeLissu mwenyewe amenunuliwa na Mr. Amsterdam. Na kama sio kweli ebu niambie familia yake inaishi wapi? Ebu nipe mfano wa Kiongozi yeyote Mzalendo wa nchi yake ambaye familia yake inaishi nje ya nchi yake! Mfano mmoja tu nami ntamuunga mkono Lissu. Usiponipa mfano mmoja tu, nitakupotezea maana sijibizani na nyumbu! Ahahahahaha!!!
Kumfukuza lissu chadema ni sawa na shamba la mahindi kumsusia tumbili., mbowe kama anaakili ni kumpisha lisu na kujitoa kwenye uchaguzMimi nafikiri salama ya Chadema kama chama Cha siasa ni KUMFUKUZA LISSU uwanachama aidha kabla ya uchaguzi ili asiwaharibie chama au baada ya uchaguzi ili wabaki salama baada ya uchaguzi. Sababu Kuu ni kwamba "Mtu mstaarabu haropokiropoki!".
Wenje amekubali kuwa Abdul alienda naye kwa Lissu!!??Huo ukweli anao Lisu, pia alisema kikao kili kuwa recorded, umeiona hiyo recording au hata picha ya kikao hicho, au tunaamini tu kwasababu Lisu kasema?
Kwasababu wanarushiana maneno, ni muda sasa walete ushahidi.
🤣🤣🤣Wewe, mamaako, babaako, mkeo na watoto wako ndio wajinga. Mnang'ang'ania chama cha wenzenu. Mbowe kaishasema Chadema ni chama chake na akiona mambo yanaenda vibaya Kamanda anaingia kati. Nyinyi WAPUMBAVU mmeng'ang'ania tu! Kwanini msianzishe chenu!? Blood desh desh desh!!!