Lissu amtetea Job Ndugai, asema lazima kuna jambo

Lissu amtetea Job Ndugai, asema lazima kuna jambo

Elitwege

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
5,294
Reaction score
10,970
Kwenye video hii Tundu Lisu amemtetea spika Ndugai kutokana na kukataa kwa mara ya kwanza bunge kuwa rubber stamp wa serikali, kwani mikopo yote hupita bungeni lakini huu wa trillion1.3 haukupelekwa bungeni mbali ulipitishwa juu kwa juu!

Lisu amesema Ndugai amekaa bungeni kwa miaka 22 huku akishika nafasi mbalimbali za uongozi hivyo haiwezekani akawa hajui utaratibu wa wapi pa kuongelea mbali amefanya hivyo kwa sababu kuna jambo.

 
Hapa ndipo unaona mapungufu ya huu muhimili kwamba haujitegemei. Ndo maana Spika anaonekana kama mteule wa Rais. Anatetemeka na kuomba radhi.

Watz wanadai katiba mpya Ndugai kwa unafiki wake anajifanya haelewi acha yamkute.
 
Nafurahi sana hapa
JamiiForums-1887097549.jpg
 
Alikua wap kipind kile cha hayati? Mikopo ilikua pesa mingimingi, masikini Assad kuhoji matumiz ya ile 1.5t huyuhuyu ndie alishadadia kumuondoa!
Kwenye video hii Tundu Lisu amemtetea spika Ndugai kutokana na kukataa kwa mara ya kwanza bunge kuwa rubber stamp wa serikali, kwani mikopo yote hupita bungeni lakini huu wa trillion1.3 haukupelekwa bungeni mbali ulipitishwa juu kwa juu.!
Lisu amesema Ndugai amekaa bungeni kwa miaka 22 huku akishika nafasi mbalimbali za uongozi hivyo haiwezekani akawa hajui utaratibu wa wapi pa kuongelea mbali amefanya hivyo kwa sababu kuna jambo.

 
Kwenye video hii Tundu Lisu amemtetea spika Ndugai kutokana na kukataa kwa mara ya kwanza bunge kuwa rubber stamp wa serikali, kwani mikopo yote hupita bungeni lakini huu wa trillion1.3 haukupelekwa bungeni mbali ulipitishwa juu kwa juu.!
Lisu amesema Ndugai amekaa bungeni kwa miaka 22 huku akishika nafasi mbalimbali za uongozi hivyo haiwezekani akawa hajui utaratibu wa wapi pa kuongelea mbali amefanya hivyo kwa sababu kuna jambo.


Ungesema kamteta etweege ningekuelewa Kwa urahisi zaidi🤔.
 
Lisu anasafisha njia. Mwaka 2025 sisiem ni bimkubwa na chadema ni Ndugai. Naona chawa wake washafarakana.. baadhi wanamuunga mkono makamu mwenyekiti na baadhi wanaweka akiba ya maneno.
 
Lisu anasafisha njia. Mwaka 2025 sisiem ni bimkubwa na chadema ni Ndugai. Naona chawa wake washafarakana.. baadhi wanamuunga mkono makamu mwenyekiti na baadhi wanaweka akiba ya maneno.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwani spika sio mteule wa rais?
Hapa ndipo unaona mapungufu ya huu muhimili kwamba haujitegemei. Ndo maana Spika anaonekana kama mteule wa Rais. Anatetemeka na kuomba radhi.
Watz wanadai katiba mpya Ndugai kwa unafiki wake anajifanya haelewi acha yamkute.
 
Back
Top Bottom