Pre GE2025 Lissu amwambia Balile "Maswali yako ni Nonsense"

Pre GE2025 Lissu amwambia Balile "Maswali yako ni Nonsense"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
9,524
Reaction score
13,682
Maswali ya hovyo ya Balile katika mkutano wa Chadema na wahariri wa vyombo vya habari yapelekea kuambiwa anauliza nonsense jambo ambalo limemkera sana na kuanza kutafuta kanuni za mkutano.

Balile ambaye ndiye alikuwa anaongoza mkutano huo alitumia muda mwingi kuvuruga mkutano badala ya kusikiliza hoja za Mh. Lissu.

Soma, Pia: Balile kutetea Serikali mkutano wa Waziri Mbarawa anathibitisha bahasha zimepita kwa Waandishi wa Habari?

Kutokana na Balile kuongoza vibaya mkutano huo umepelekea wahariri wengi kukosa muda wa kuuliza maswali.

 
Maswali ya hovyo ya Balile katika mkutano wa Chadema na wahariri wa vyombo vya habari yapelekea kuambiwa anauliza nonsense jambo ambalo limemkera sana na kuanza kutafuta kanuni za mkutano.

Balile ambaye ndiye alikuwa anaongoza mkutano huo alitumia muda mwingi kuvuruga mkutano badala ya kusikiliza hoja za Mh. Lissu.

Kutokana na Balile kuongoza vibaya mkutano huo umepelekea wahariri wengi kukosa muda wa kuuliza maswali.
Balile ni debe tupu
 
Maswali ya hovyo ya Balile katika mkutano wa Chadema na wahariri wa vyombo vya habari yapelekea kuambiwa anauliza nonsense jambo ambalo limemkera sana na kuanza kutafuta kanuni za mkutano.

Balile ambaye ndiye alikuwa anaongoza mkutano huo alitumia muda mwingi kuvuruga mkutano badala ya kusikiliza hoja za Mh. Lissu.

Kutokana na Balile kuongoza vibaya mkutano huo umepelekea wahariri wengi kukosa muda wa kuuliza maswali.
Jamaa mtupu sana anaongea kwa maneno ya vijiweni mwenzake anafuata sheria
 
Maswali ya hovyo ya Balile katika mkutano wa Chadema na wahariri wa vyombo vya habari yapelekea kuambiwa anauliza nonsense jambo ambalo limemkera sana na kuanza kutafuta kanuni za mkutano.

Balile ambaye ndiye alikuwa anaongoza mkutano huo alitumia muda mwingi kuvuruga mkutano badala ya kusikiliza hoja za Mh. Lissu.

Kutokana na Balile kuongoza vibaya mkutano huo umepelekea wahariri wengi kukosa muda wa kuuliza maswali.
Balile huwa anatumwa na CCM maslahi yasiyo halali (corrupt bigwigs_ sijui ni mwanasheria gani huyu anayeweza kunyumbulishwa na wanasiasa
 
Maswali ya hovyo ya Balile katika mkutano wa Chadema na wahariri wa vyombo vya habari yapelekea kuambiwa anauliza nonsense jambo ambalo limemkera sana na kuanza kutafuta kanuni za mkutano.

Balile ambaye ndiye alikuwa anaongoza mkutano huo alitumia muda mwingi kuvuruga mkutano badala ya kusikiliza hoja za Mh. Lissu.

Kutokana na Balile kuongoza vibaya mkutano huo umepelekea wahariri wengi kukosa muda wa kuuliza maswali.
Narudia tena Yule chawa ni nonsense pro max Kwa sasa, Lisu alikuwa sahihi Kwa MTU kama Yule alistahili
 
Maswali ya hovyo ya Balile katika mkutano wa Chadema na wahariri wa vyombo vya habari yapelekea kuambiwa anauliza nonsense jambo ambalo limemkera sana na kuanza kutafuta kanuni za mkutano.

Balile ambaye ndiye alikuwa anaongoza mkutano huo alitumia muda mwingi kuvuruga mkutano badala ya kusikiliza hoja za Mh. Lissu.

Kutokana na Balile kuongoza vibaya mkutano huo umepelekea wahariri wengi kukosa muda wa kuuliza maswali.
Weka clip/video basi tuone
 
Back
Top Bottom