Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Maswali ya hovyo ya Balile katika mkutano wa Chadema na wahariri wa vyombo vya habari yapelekea kuambiwa anauliza nonsense jambo ambalo limemkera sana na kuanza kutafuta kanuni za mkutano.
Balile ambaye ndiye alikuwa anaongoza mkutano huo alitumia muda mwingi kuvuruga mkutano badala ya kusikiliza hoja za Mh. Lissu.
Soma, Pia: Balile kutetea Serikali mkutano wa Waziri Mbarawa anathibitisha bahasha zimepita kwa Waandishi wa Habari?
Kutokana na Balile kuongoza vibaya mkutano huo umepelekea wahariri wengi kukosa muda wa kuuliza maswali.
Balile ambaye ndiye alikuwa anaongoza mkutano huo alitumia muda mwingi kuvuruga mkutano badala ya kusikiliza hoja za Mh. Lissu.
Soma, Pia: Balile kutetea Serikali mkutano wa Waziri Mbarawa anathibitisha bahasha zimepita kwa Waandishi wa Habari?
Kutokana na Balile kuongoza vibaya mkutano huo umepelekea wahariri wengi kukosa muda wa kuuliza maswali.