Majibu illogical question wewe mrundi?Watz ni watu wanaendeshwa na mapenzi kuliko uhalisia. Lissu apo kiuhalisia amezingua amekosa majibu mwishowe akatumia udikteta tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majibu illogical question wewe mrundi?Watz ni watu wanaendeshwa na mapenzi kuliko uhalisia. Lissu apo kiuhalisia amezingua amekosa majibu mwishowe akatumia udikteta tu.
Serikali ilitanguliza kupeleka wahariri Dubai ili wakajifunze ufanisi wa wenzetu katika operation za bandari.Balile ni kada wa ccm,
Wewe huna ujualo na sonona zako..Alichoandika hapo ni uongo?Wewe huenda una sonona kali sana au kichwa chako hakiko freshi bila ya wewe mwenyewe kijitambua na wanaokuzunguka wanakuogopa kukupasha ukweli.
Hahahaha napenda lisu ashinde urais halafu katiba iwe hii ,awanyooshe vzrIla Lissu ni mtata mwenye akili nyingi. Samia ili akutane hivi inabidi awapange kwanza, lakini yeye anakuja kavu kavu anawanyoosha.
Retired
Hoja za DP zilikuwa za kisheria zaidi ambazo hawezi kuzidadavua hivyo aliamua kuufyata!Serikali ilitanguliza kupeleka wahariri Dubai ili wakajifunze ufanisi wa wenzetu katika operation za bandari.
Hapo ni mapema sana kabla mambo ya DP world hayafahamika nchini.
Nakumbuka baada ya kurejea nchini, Balile aliandika article ndeefu sana kusifia technologia za wenzetu kwenye Gazeti la Jamhuri.
Wakati mjadala wa Dp world umetrend nchini.Balile hakufumbua mdomo wake kukoment chochote kama bosi wa wahariri.....nimeunganisha dots
Wabongo wengi wa kizazi cha sasa wana mihemko sana.Wao mtu anayeongea ongea hasa kulalamikia serikali ndiye wanamuona ana akili.Mbowe mnamdharau... Huyu Lissu safari ya siasa ya kaianzia NCCR kama ni mwamba angekomaa huko NCCR mageuzi.
Ndio tatizo la kuchanganya Fani na Siasa!Hawakukosea walisoma,Chagua kutumikia kimoja!Balile ni kada wa ccm, kala za uso
Kila siku huwa yupo tbc kwenye vipindi vya kusifia mamaBalile ni kada wa ccm, kala za uso
Pascal Huwa anasimamia Haki,Labda kuogopa kuonekana hajui kusimamia Haki,Kwa kuwa kwenye Sheria nae Yuko vizuri!Balile na Paschal ni makada wa CCM waliojificha kwenye mwanvuli wa Uandishi wa habari, kuwashirikisha hao kwenye jambo la demokrasia na mabadiliko ni kupoteza muda wako tu.
Huu ndio ukweliWatz ni watu wanaendeshwa na mapenzi kuliko uhalisia. Lissu apo kiuhalisia amezingua amekosa majibu mwishowe akatumia udikteta tu.
Naunga mkono hoja yako.Wabongo wengi wa kizazi cha sasa wana mihemko sana.Wao mtu anayeongea ongea hasa kulalamikia serikali ndiye wanamuona ana akili.
Zaidi ya miaka 12 wakati naanza kupita kwenye jukwaa hili, kulikua na misemo common sana humu dhidi ya Tasnia ya Habari na Wanahabari.Maswali ya hovyo ya Balile katika mkutano wa Chadema na wahariri wa vyombo vya habari yapelekea kuambiwa anauliza nonsense jambo ambalo limemkera sana na kuanza kutafuta kanuni za mkutano.
Balile ambaye ndiye alikuwa anaongoza mkutano huo alitumia muda mwingi kuvuruga mkutano badala ya kusikiliza hoja za Mh. Lissu.
Soma, Pia: Balile kutetea Serikali mkutano wa Waziri Mbarawa anathibitisha bahasha zimepita kwa Waandishi wa Habari?
Kutokana na Balile kuongoza vibaya mkutano huo umepelekea wahariri wengi kukosa muda wa kuuliza maswali.
View attachment 3255988