Uchaguzi 2020 Lissu amwambia Rais Magufuli afungulie Vyombo vya Habari ili asisumbuke kuweka bando kuwaangalia wapinzani kwenye WhatsApp

Hivi magufuri akianza kampeni atadunganya nini? sababu anachorwa ile barabara.
 
Kipimo kwamba watz wana akili timamu ni kuona kama watalichagua tena jinamizi ccm au watachagua uhuru wa kweli
 
Naona
Kuna watu wanajiandaa kuikimbia Nchi.
Naona.
Kuna binadamu wanafikiria kuishi uhamishoni,
Naiona Jera, namwona mtu Kifungoni.
Ni kilio na kusaga meno.
 

Hoja zako zinafikirisha na kufunua akili za WaTz kuhusu amani ya nchi hii. Wahenga walinena mdomo huumba na imeandikwa Mathayo 15:11 Sikilizeni, mfahamu; Sicho kiingiacho kinywani kimtiacho mtu unajisi; bali kitokacho kinywani ndicho kimtiacho mtu unajisi.

Kwa angalizo lako naamini wamekusikia. Yawezekana Lissu ana agenda yake binafsi na si ya kuwa Rais wa nchi hii. Ni mtu kichaa anayeweza kutamka maneno kama ya Lissu kuomba ridhaa ya uongozi wa nchi.

Angalizo langu, muda mwafaka wa kudhibiti lengo lake haujafika kwa sababu hadi sasa ni mteule wa CHADEMA kama mgombea Urais. Kwa kuwa bado hajateuliwa na Tume ya Uchaguzi kama mgombea, yuko huru kutumia haki yake Kikatiba kuomba udhamini.

Labda cha kujiuliza ni je, jinsi anayotumia kuomba udhamini ni halali? WaTz wa sasa naamini wanajua pumba na mchele ukifikishwa mezani (yaani wakati wa kampeni kama atateuliwa na Tume ya Uchaguzi).
 
Ili wananchi wasio elewa kinachoendelea Tanzania, Lissu asifanye mjadala wa hadhara na Rais Magufuli, ambaye siyo saizi yake, bali afanye na huyu hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…