Lissu ana akili ila sio ya siasa na uongozi

Lissu ana akili ila sio ya siasa na uongozi

mkuuwakaya

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2013
Posts
1,063
Reaction score
1,456
Nasema hivi Chama hawezi achiwa Lissu. Mimi namkubali sana Lissu lakini sio aachiwe Chama. Hapo NO kabisa aisee.

Staili ya kuchafua wengine ili upate uhalali wa kuwa mwenyekiti hapo hapana.

Kwenye sanduku la kura huyu tayari ameshashindwa.

Nasema hivi kama angekuja kwa staili ya kutulia na kuoñyesha umoja, mwenyekiti wala asingeomba tena mitano. Lakini sio kwa namna alivyokuja.

Kinyago tuchonge wenyewe halafu kitutishe? Alah
 
Nasema hivi Chama hawezi achiwa Lissu. Mimi namkubali sana Lissu lakini sio aachiwe Chama. Hapo NO kabisa aisee.

Staili ya kuchafua wengine ili upate uhalali wa kuwa mwenyekiti hapo hapana.

Kwenye sanduku la kura huyu tayari ameshashindwa.

Nasema hivi kama angekuja kwa staili ya kutulia na kuoñyesha umoja, mwenyekiti wala asingeomba tena mitano. Lakini sio kwa namna alivyokuja.

Kinyago tuchonge wenyewe halafu kitutishe? Alah
Sawa
Tumekuelewa Endeleani Kunywa Mbege Huko Machame Na Vikao Vyenu Vya Saccos
 
Nasema hivi Chama hawezi achiwa Lissu. Mimi namkubali sana Lissu lakini sio aachiwe Chama. Hapo NO kabisa aisee.

Staili ya kuchafua wengine ili upate uhalali wa kuwa mwenyekiti hapo hapana.

Kwenye sanduku la kura huyu tayari ameshashindwa.

Nasema hivi kama angekuja kwa staili ya kutulia na kuoñyesha umoja, mwenyekiti wala asingeomba tena mitano. Lakini sio kwa namna alivyokuja.

Kinyago tuchonge wenyewe halafu kitutishe? Alah
Wewe na akina nani?
 
Back
Top Bottom