Pre GE2025 Lissu ana hali ngumu kuliko hata mbowe

Pre GE2025 Lissu ana hali ngumu kuliko hata mbowe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
1. Aliahidi hata kuwa legelege kama Mbowe

2. Alisema mbowe hakubaliki na watz hasa chadema, yeye ndie anakubalika, kwa hivyo akiitisha maandamano hatakaa mtu ndani chadema wote watatoka barabarani.

3. Hatakubali kufanya maridhiano na ccm bali ni mwendo wa ninja nginja

Naona hili dogo la Dr Slaa limekuwa dogo lkn kwa upande wa lissu limemzidi kimo. Mwezi sasa dk slaa ambae Lema mshauri wa Lissu aingizwe kamati kuu yumo ndani. Wakili wake ni Lissu lkn Dr slaa yumo ndani
 
Ndio unavyoona,umesahau wanaomshikiria Slaa kwa wiki kadhaaa walimshikiria Mbowe gerezani kwa Miezi 8

Fanya study zako vizuri bro mbona mambo rahisi haya
 
1. Aliahidi hata kuwa legelege kama mbowe
2. Alisema mbowe hakubaliki na watz hasa chadema, yeye ndie anakubalika, kwa hivyo akiitisha maandamano hatakaa mtu ndani chadema wote watatoka barabarani.
3. Hatakubali kufanya maridhiano na ccm bali ni mwendo wa ninja nginja

Naona hili dogo la Dr Slaa limekuwa dogo lkn kwa upande wa lissu limemzidi kimo.
Mkuki kwa Nguruwe kwa binadamu mchungu hamna kitu Lissu atafanya, CHADEMA mmeingia chaka, anayeweza vita ya upinzani ni Mbowe hapo mlipiga teke fuko la hela
 
1. Aliahidi hata kuwa legelege kama mbowe
2. Alisema mbowe hakubaliki na watz hasa chadema, yeye ndie anakubalika, kwa hivyo akiitisha maandamano hatakaa mtu ndani chadema wote watatoka barabarani.
3. Hatakubali kufanya maridhiano na ccm bali ni mwendo wa ninja nginja

Naona hili dogo la Dr Slaa limekuwa dogo lkn kwa upande wa lissu limemzidi kimo.
Mi nataka Lissu aingie 18 lile tumbo kitatoa usaha!
 
Ndio unavyoona,umesahau wanaomshikiria Slaa kwa wiki kadhaaa walimshikiria Mbowe gerezani kwa Miezi 8

Fanya study zako vizuri bro mbona mambo rahisi haya
Umekusudia kusema nini
 
1. Aliahidi hata kuwa legelege kama mbowe
2. Alisema mbowe hakubaliki na watz hasa chadema, yeye ndie anakubalika, kwa hivyo akiitisha maandamano hatakaa mtu ndani chadema wote watatoka barabarani.
3. Hatakubali kufanya maridhiano na ccm bali ni mwendo wa ninja nginja

Naona hili dogo la Dr Slaa limekuwa dogo lkn kwa upande wa lissu limemzidi kimo. Mwezi sasa dk slaa ambae Lema mshauri wa Lissu aingizwe kamati kuu
Mbona mapema sana? Hebu tuliza ngebe... usijeumbuka!
 
1. Aliahidi hata kuwa legelege kama mbowe
2. Alisema mbowe hakubaliki na watz hasa chadema, yeye ndie anakubalika, kwa hivyo akiitisha maandamano hatakaa mtu ndani chadema wote watatoka barabarani.
3. Hatakubali kufanya maridhiano na ccm bali ni mwendo wa ninja nginja

Naona hili dogo la Dr Slaa limekuwa dogo lkn kwa upande wa lissu limemzidi kimo.
Dude, get over with it. Uchaguzi umeisha! Usiyemtaka ndiye kashinda; hiyo ndiyo democracy, you don’t always get what you wanted!
 
TAL ameshapata uwenyekiti wa chadema! Sasa anakwenda kusalimia familia yake Belgium!
 
1. Aliahidi hata kuwa legelege kama mbowe
2. Alisema mbowe hakubaliki na watz hasa chadema, yeye ndie anakubalika, kwa hivyo akiitisha maandamano hatakaa mtu ndani chadema wote watatoka barabarani.
3. Hatakubali kufanya maridhiano na ccm bali ni mwendo wa ninja nginja

Naona hili dogo la Dr Slaa limekuwa dogo lkn kwa upande wa lissu limemzidi kimo. Mwezi sasa dk slaa ambae Lema mshauri wa Lissu aingizwe kamati kuu
Tusubiri oktoba
 
1. Aliahidi hata kuwa legelege kama mbowe
2. Alisema mbowe hakubaliki na watz hasa chadema, yeye ndie anakubalika, kwa hivyo akiitisha maandamano hatakaa mtu ndani chadema wote watatoka barabarani.
3. Hatakubali kufanya maridhiano na ccm bali ni mwendo wa ninja nginja

Naona hili dogo la Dr Slaa limekuwa dogo lkn kwa upande wa lissu limemzidi kimo. Mwezi sasa dk slaa ambae Lema mshauri wa Lissu aingizwe kamati kuu
Mirembe walikuruhusu kabla hujapona vizuri.
 
1. Aliahidi hata kuwa legelege kama mbowe
2. Alisema mbowe hakubaliki na watz hasa chadema, yeye ndie anakubalika, kwa hivyo akiitisha maandamano hatakaa mtu ndani chadema wote watatoka barabarani.
3. Hatakubali kufanya maridhiano na ccm bali ni mwendo wa ninja nginja

Naona hili dogo la Dr Slaa limekuwa dogo lkn kwa upande wa lissu limemzidi kimo. Mwezi sasa dk slaa ambae Lema mshauri wa Lissu aingizwe kamati kuu
Dogo unamuengelea sana Tundu Lissu kuliko unavyoongea deals, utakufa fukara kwa uchawa na kufuatilia maisha ya mwanaume aliyekushinda kila kitu kwenye maisha Yako. Mbaya zaidi hata hakufahamu
 
Back
Top Bottom