Lissu ana nia njema, lakini hatoboi uchaguzi m/kiti CHADEMA

Lissu ana nia njema, lakini hatoboi uchaguzi m/kiti CHADEMA

Zawadi Ngoda

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2009
Posts
4,175
Reaction score
2,294
Lissu hawezi kamwe kushinda uchaguzi Mwenye kiti CHADEMA hapo januari 2025, licha ya uchaguzi kuwa wa wazi. Sababu ni zifuatazo:

1) Sasa hivi, hii imekuwa ni vita kati ya CHADEMA kanda moja tu (asilia- Mbowe) na CHADEMA Tanzania iliyobaki (Lissu). Haitatokea kwa mazingira Lissu alivyojipambanua na kueleza kinaga ubaga matatizo ya ndani ya CHADEMA na yakawaingia wanachadema Tanzania, eti ashinde.

2) CHADEMA asilia itatumia nguvu zote - Ushawishi, uwezo wa pochi, ahadi, Uzee na Propaganda kuanzia tar 10/1 mpaka 20/1. Mambo yote yatamalizwa katika siku hizi 10, Mchezo utakuwa umekwisha. Wajumbe wa kutosha anaowaamini Lissu, watalainishwa na kumgeuka Lissu. Mlango kwa mlango, jimbo kwa jimbo.

3) Hao anaowaamini Lissu na kupendekeza wawemo badala ya wazee wa chama, wakiwemo viongozi wa dini, atashangaa kuona, hao wote watamgeuka kwa kile kinachoitwa maslahi mapana ya chama/nchi.

4) Tar 21/1 uchaguzi utakuwa huru, haki na wa wazi kwa asilimia 150%, ili kuwahakikishia wanachadema, team Lissu na watanzania wote kuwa Lissu kashindwa kihalali: Vyombo vya habari vyote maarufu vitakuwepo na kamera zao mwanzo mwisho mpaka matokeo. Hata BBC, DW n.k vitakuwepo

Lissu ajiandae kisaikolojia baada ya kushindwa uchaguzi wa 21/1, kwani hapo ndio kwa mara ya kwanza ataelewa kuwa hiki ni chama cha kikanda, kikitetea maslahi ya kanda na kina malengo ambayo Lissu hayajui.
 
Lissu hawezi kamwe kushinda uchaguzi Mwenye kiti CHADEMA hapo januari 2025, licha ya uchaguzi kuwa wa wazi. Sababu ni zifuatazo:
1) Sasa hivi, hii imekuwa ni vita kati ya CHADEMA kanda moja tu (asilia- Mbowe) na CHADEMA Tanzania iliyobaki (Lissu). Haitatokea kwa mazingira Lissu alivyojipambanua na kueleza kinaga ubaga matatizo ya ndani ya CHADEMA na yakawaingia wanachadema Tanzania, eti ashinde.

2) CHADEMA asilia itatumia nguvu zote - Ushawishi, uwezo wa pochi, ahadi, Uzee na Propaganda kuanzia tar 10/1 mpaka 20/1. Mambo yote yatamalizwa katika siku hizi 10, Mchezo utakuwa umekwisha. Wajumbe wa kutosha anaowaamini Lissu, watalainishwa na kumgeuka Lissu. Mlango kwa mlango, jimbo kwa jimbo.

3) Hao anaowaamini Lissu na kupendekeza wawemo badala ya wazee wa chama, wakiwemo viongozi wa dini, atashangaa kuona, hao wote watamgeuka kwa kile kinachoitwa maslahi mapana ya chama/nchi.

4) Tar 21/1 uchaguzi utakuwa huru, haki na wa wazi kwa asilimia 150%, ili kuwahakikishia wanachadema, team Lissu na watanzania wote kuwa Lissu kashindwa kihalali: Vyombo vya habari vyote maarufu vitakuwepo na kamera zao mwanzo mwisho mpaka matokeo. Hata BBC, DW n.k vitakuwepo

Lissu ajiandae kisaikolojia baada ya kushindwa uchaguzi wa 21/1, kwani hapo ndio kwa mara ya kwanza ataelewa kuwa hiki ni chama cha kikanda, kikitetea maslahi ya kanda na kina malengo ambayo Lissu hayajui.
Kiuhalisia viongozi wa dini hawapaswi kushiriki kwenye mambo ya kisiasa. Akitaka kuwagonganisha na serikali basi awaite wawepo. Viongozi wa dini wenye akili timamu hawawezi hudhuria.
 
lisu atashindwa, mbowe atashinda lakini chadema itakufa rasmi na kuzikwa siku hiyo ya tarehe 21/01/2025
Kufa CHADEMA sidhani, ila kitaanza upya au kitapungua umaarufu na kuwa chama cha 3 au 4 TZ. Kwasababu kikanda kimejipanga vizuri sana.
 
Lissu kumpindua Mbowe CDM asahau..yaani kifupi hawezi.
Akifurukuta sana ana 30% ya kura zote.
Kumpamba ni kuendelea kumpa matumaini ambayo Hayapo.

Yeye aanze kujipanga namna ya kuishi maisha mapya ndani ya CDM baada ya uchaguzi huu chini ya Mwenyekiti wake Mbowe - hana namna nyingine.
 
Lissu hawezi kamwe kushinda uchaguzi Mwenye kiti CHADEMA hapo januari 2025, licha ya uchaguzi kuwa wa wazi. Sababu ni zifuatazo:
1) Sasa hivi, hii imekuwa ni vita kati ya CHADEMA kanda moja tu (asilia- Mbowe) na CHADEMA Tanzania iliyobaki (Lissu). Haitatokea kwa mazingira Lissu alivyojipambanua na kueleza kinaga ubaga matatizo ya ndani ya CHADEMA na yakawaingia wanachadema Tanzania, eti ashinde.

2) CHADEMA asilia itatumia nguvu zote - Ushawishi, uwezo wa pochi, ahadi, Uzee na Propaganda kuanzia tar 10/1 mpaka 20/1. Mambo yote yatamalizwa katika siku hizi 10, Mchezo utakuwa umekwisha. Wajumbe wa kutosha anaowaamini Lissu, watalainishwa na kumgeuka Lissu. Mlango kwa mlango, jimbo kwa jimbo.

3) Hao anaowaamini Lissu na kupendekeza wawemo badala ya wazee wa chama, wakiwemo viongozi wa dini, atashangaa kuona, hao wote watamgeuka kwa kile kinachoitwa maslahi mapana ya chama/nchi.

4) Tar 21/1 uchaguzi utakuwa huru, haki na wa wazi kwa asilimia 150%, ili kuwahakikishia wanachadema, team Lissu na watanzania wote kuwa Lissu kashindwa kihalali: Vyombo vya habari vyote maarufu vitakuwepo na kamera zao mwanzo mwisho mpaka matokeo. Hata BBC, DW n.k vitakuwepo

Lissu ajiandae kisaikolojia baada ya kushindwa uchaguzi wa 21/1, kwani hapo ndio kwa mara ya kwanza ataelewa kuwa hiki ni chama cha kikanda, kikitetea maslahi ya kanda na kina malengo ambayo Lissu hayajui.
Unaweweseka sana.
Umetumwa uandike yale ambayo akili yako haiyaamini. Rudisha hela za Mbowe.
 
Lissu kumpindua Mbowe CDM asahau..yaani kifupi hawezi.
Akifurukuta sana ana 30% ya kura zote.
Kumpamba ni kuendelea kumpa matumaini ambayo Hayapo.

Yeye aanze kujipanga namna ya kuishi maisha mapya ndani ya CDM baada ya uchaguzi huu chini ya Mwenyekiti wake Mbowe - hana namna nyingine.
Tatizo kubwa chama kikisha ikubali rushwa ya CCM story imeishia hapo na kimesha ikubali

Katibu mkuu anajifanya kukemea rushwa wakati za chini zinasema kishapitishiwa kibahasha.

Salama ya CHADEMA lissu ashinde kinyume na hapo CHADEMA kwisha
 
Unaweweseka sana.
Umetumwa uandike yale ambayo akili yako haiyaamini. Rudisha hela za Mbowe.
Pole kama nimekugusa wewe binafsi, haikuwa lengo. Lengo lilikuwa kuandika uchambuzi wa mazungumzo ya wagombea hao na kutoa maoni yangu. Yaweza kuwa hukubaliani nayo, upo sahihi vile vile. Ila hicho ndicho ninachokiamini. Na lengo kubwa lilikuwa kumuandaa Lissu awe tayari kisaikolojia.
 
Back
Top Bottom