Lissu ana nia njema, lakini hatoboi uchaguzi m/kiti CHADEMA

Lissu ana nia njema, lakini hatoboi uchaguzi m/kiti CHADEMA

Lissu hawezi kamwe kushinda uchaguzi Mwenye kiti CHADEMA hapo januari 2025, licha ya uchaguzi kuwa wa wazi. Sababu ni zifuatazo:

1) Sasa hivi, hii imekuwa ni vita kati ya CHADEMA kanda moja tu (asilia- Mbowe) na CHADEMA Tanzania iliyobaki (Lissu). Haitatokea kwa mazingira Lissu alivyojipambanua na kueleza kinaga ubaga matatizo ya ndani ya CHADEMA na yakawaingia wanachadema Tanzania, eti ashinde.

2) CHADEMA asilia itatumia nguvu zote - Ushawishi, uwezo wa pochi, ahadi, Uzee na Propaganda kuanzia tar 10/1 mpaka 20/1. Mambo yote yatamalizwa katika siku hizi 10, Mchezo utakuwa umekwisha. Wajumbe wa kutosha anaowaamini Lissu, watalainishwa na kumgeuka Lissu. Mlango kwa mlango, jimbo kwa jimbo.

3) Hao anaowaamini Lissu na kupendekeza wawemo badala ya wazee wa chama, wakiwemo viongozi wa dini, atashangaa kuona, hao wote watamgeuka kwa kile kinachoitwa maslahi mapana ya chama/nchi.

4) Tar 21/1 uchaguzi utakuwa huru, haki na wa wazi kwa asilimia 150%, ili kuwahakikishia wanachadema, team Lissu na watanzania wote kuwa Lissu kashindwa kihalali: Vyombo vya habari vyote maarufu vitakuwepo na kamera zao mwanzo mwisho mpaka matokeo. Hata BBC, DW n.k vitakuwepo

Lissu ajiandae kisaikolojia baada ya kushindwa uchaguzi wa 21/1, kwani hapo ndio kwa mara ya kwanza ataelewa kuwa hiki ni chama cha kikanda, kikitetea maslahi ya kanda na kina malengo ambayo Lissu hayajui.
Lisu kupenya ni sawa na lisu kushinda urais kitu ambacho mtanzania yeyote, mwenye akili timamu, hawezi kukubali lisu awe kiongozi mkubwa.

Majuto ni mjukuu.
Tulimkabidhi mwendakuzimu chizi nchi na matokeo mliyaona sasa apewe mwehu lisu si ataangamiza taifa
 
Lissu atashindwa, Mbowe atashinda lakini chadema itakufa rasmi na kuzikwa siku hiyo ya tarehe 21/01/2025
Chadema haifi ina wenyewe chadema wenye nacho kwanza ni waprotestantii walutheri,wapentecoste,wasabato nk pili wachaga waliozagaa nchi nzima

Lisu katoliki kama Slaa

Katoliki chama chao CCM Lisu na Slaa walikosea njia ndio maana Lowasa alipewa ugombea sababu mprotestant Slaa akaachwa hewani.Mkatoliki mwenzie Magufuli ndie alimhurumia na kumpa Post akikumbuka kuwa alikuwa padre wake

Lisu hatoboi huu uchaguzi
Vyama vina udini sana ndio maana ACt wazalendo ina nguvu zanzibari na Chadema haina wanajuana udini

Mbowe sio saizi ya Lisu

Lisu ajue hilo .Chadema ina wenyewe

Lisu hata Mbowe asiingegombea likawekwa jiwe na Lisu Jiwe lingemshinda kwa kura Lisu
 
Back
Top Bottom