Lissu ana wajibu muhimu wa kutunza umoja wa CHADEMA pamoja na changamoto zote za ndani ya chama.

Lissu ana wajibu muhimu wa kutunza umoja wa CHADEMA pamoja na changamoto zote za ndani ya chama.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Tundu Lissu afahamishwe katika kushika dola umoja ni muhimu zaidi kuliko hata sera, uhalisia na ukweli. Pamoja na yote anayofanya lazima ajue lugha ya ukali anayotumia kwa CCM na serikali haifai na haiwezi kudumisha umoja ndani ya chama chake, anapaswa kuipooza. CHADEMA hakijawahi kushika dola kama CCM hivyo hakiwezi kuwa na matatizo mengi na makubwa ya kimfumo na kimaslahi kama chama tawala CCM. Ukweli ni kwamba kuelekea 2025 hakuna chama kingine mbadala cha upinzani kui challenge CCM madarakani.
 
Tundu Lissu afahamishwe katika kushika dola umoja ni muhimu zaidi kuliko hata sera, uhalisia na ukweli. Pamoja na yote anayofanya lazima ajue lugha ya ukali anayotumia kwa CCM na serikali haifai na haiwezi kudumisha umoja ndani ya chama chake, anapaswa kuipooza. CHADEMA hakijawahi kushika dola kama CCM hivyo hakiwezi kuwa na matatizo mengi na makubwa ya kimfumo na kimaslahi kama chama tawala CCM. Ukweli ni kwamba kuelekea 2025 hakuna chama kingine mbadala cha upinzani kui challenge CCM madarakani.
Dogo tukiwa na katiba nzuri nchi naenda tu haya mavyama ni mzigo relevance yake ni kwenye uchaguzi tu

Ccm tangu 1961 imekusaidia wewe Nini? Zaidi ya kutengeneza na kuficha magenge ya wezi na ufisadi tu
 
Tundu Lissu afahamishwe katika kushika dola umoja ni muhimu zaidi kuliko hata sera, uhalisia na ukweli. Pamoja na yote anayofanya lazima ajue lugha ya ukali anayotumia kwa CCM na serikali haifai na haiwezi kudumisha umoja ndani ya chama chake, anapaswa kuipooza. CHADEMA hakijawahi kushika dola kama CCM hivyo hakiwezi kuwa na matatizo mengi na makubwa ya kimfumo na kimaslahi kama chama tawala CCM. Ukweli ni kwamba kuelekea 2025 hakuna chama kingine mbadala cha upinzani kui challenge CCM madarakani.
Ona nguruwe 🐖 hili?
 
Tundu Lissu afahamishwe katika kushika dola umoja ni muhimu zaidi kuliko hata sera, uhalisia na ukweli. Pamoja na yote anayofanya lazima ajue lugha ya ukali anayotumia kwa CCM na serikali haifai na haiwezi kudumisha umoja ndani ya chama chake, anapaswa kuipooza. CHADEMA hakijawahi kushika dola kama CCM hivyo hakiwezi kuwa na matatizo mengi na makubwa ya kimfumo na kimaslahi kama chama tawala CCM. Ukweli ni kwamba kuelekea 2025 hakuna chama kingine mbadala cha upinzani kui challenge CCM madarakani.
Hayo mwambie bwana Yeriko Nyerere na Boni Yai, ndo wanatopoka mitandaoni na kukigawa chama. Lisu yeye ni mtia nia tu na Mungu akipenda atashinda uwenyekiti sawa?
 
Back
Top Bottom