Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli ile ni habari nyingine. Ataizunguka nchi nzima kwa gari.Magufuli vipi? Yeye mpak sasa ametembelea majimbo mangapi?
Yesu na Muhammad hawakuitembelea dunia nzima lkn dunia nzma leo tunawaamini. Lisu ni kusudi la Mungu. Subiri utaona.
Hawa Mataga wameishiwa kabisaa!Wamebakiza akili za kulengea tundu la choo tu😁😁!Mataga mmeishiwa hoja mnaanza kwapangaia Chadema ratiba ya kampeni
Hayo majimbo hayana wapigakura wengi kama arusha mjini,kawe,segerea,mbagalaLeo tu mpaka saa kamaliza majimbo manne Bahi, Manyoni,Ikungi na Singida
mataga bado hamjajua Lissu vizuri.Kwa niliyoyaona singida hakuna sehemu ya kutema mate, ni wazi lissu akate tamaa na kufanya kampeni kivivu.
Tatizo Lisu akiwa mbunge alijikita zaidi siasa za kitaifa akasahsu Singida kwao kuwaletea maendeleo yeye kutwa kuimba MIGA MiGA hivyo hawaoni umuhimu wake kuwa walimpa ubunge hakufanya chochote Kwao Uraisi wampe wa Nini? Ndio maana wako na MagufuliKwa niliyoyaona singida hakuna sehemu ya kutema mate, ni wazi lissu akate tamaa na kufanya kampeni kivivu.
Mkuu #mwanateknolojia hivi huo mziki utaanza lini, maana kila siku tunaambiwa tuusubiri lakini hauanziAcha kuingilia shughuli zisizo kuhusu! Hivi wewe hujuwi kama Lissu ana Team ya Kampeni yenye wataalam? Subirini mziki wake mbona bado!
Wako busy kutembeza bakuli la michango kwa mtu ambaye hashindi U-rais. halafu utawasikia eti kipato cha watanzania kimeshuka, kama kipato chetu kimeshuka kwa nini Chadema mnatuomba pesa?Wenye Siasa zao wameingia yaani sisikii lissu wala chasema
wengine wanakesha twitter tuWako busy kutembeza bakuli la michango kwa mtu ambaye hashindi U-rais. halafu utawasikia eti kipato cha watanzania kimeshuka, kama kipato chetu kimeshuka kwa nini Chadema mnatuomba pesa?
Kama mgombea anasema wazi kwamba risasi 1 bado imegomea kwenye @@rioni Tume imeruhusu wa nini!Kabisa
Nashauri tume waangalie kipengele cha afya ya mgombea kwenye kujaza fomu.
Kampeni za Lissu zinaenda vizuri mpaka alipo sasa hivi ameshazungumza na kujinadi kwa zaidi ya majimbo 15 sababu kampeni zake zinaenda kwa mtindo wa kanda.