Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Huyu MTU yuko Gifted sana na Uwanda mkubwa wa Maarifa na akili nyingi .
Ninashauri, Waandishi wawe wanaandaa maswali yao kwanza, wasingoje majibizano na LISSU ndio yawape maswali.
Pia LISSU awe anaitwa Kutoa Hotuba, yaan ahutubie akimaliza waulize maswali yao.
Narudia kusema, kuhojiana na LISSU hakikisha wee ni mwanahabari kwanza Msomi , pili unayesoma mambo mbalimbali sio tu kuzielewa Siasa juu juu.
View: https://www.youtube.com/live/h9cHr7NLIBA?si=khyeTyS42gqOcS7e
Ninashauri, Waandishi wawe wanaandaa maswali yao kwanza, wasingoje majibizano na LISSU ndio yawape maswali.
Pia LISSU awe anaitwa Kutoa Hotuba, yaan ahutubie akimaliza waulize maswali yao.
Narudia kusema, kuhojiana na LISSU hakikisha wee ni mwanahabari kwanza Msomi , pili unayesoma mambo mbalimbali sio tu kuzielewa Siasa juu juu.
View: https://www.youtube.com/live/h9cHr7NLIBA?si=khyeTyS42gqOcS7e