Hammaz
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 6,607
- 14,076
Alimkataza Lissu asitaje jina la Abdul na sababu aliyoitoa ni hawana ushahidi.Mboga mboga ni kada kabisa
Lissu akauliza mnataka nitaje viongozi wangu wa Chama wengine hamtaki ni kwa nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alimkataza Lissu asitaje jina la Abdul na sababu aliyoitoa ni hawana ushahidi.Mboga mboga ni kada kabisa
Huyo mwana mama ana igo ya kiccm,halafu anafikiri anamuhoji diamond kumbe LisuKija Yunus ana shida gani?
Mbona hamuelewi kabisa Lissu?
Kipindi kahitimisha kama ugomvi?
Huyu mwanamke kwa nini yupo hivyo?
Basi amafeli pakubwa!Huyo mwana mama ana igo ya kiccm,halafu anafikiri anamuhoji diamond kumbe Lisu
DP World waliambiwa ni mmoja wa wanahabari nguli Tanzania.Zembwela pia ni mwanahabari!.
Kafanyaje?Kija Yunus ana shida gani?
Mbona hamuelewi kabisa Lissu?
Kipindi kahitimisha kama ugomvi?
Huyu mwanamke kwa nini yupo hivyo?
Huyu MTU yuko Gifted sana na Uwanda mkubwa wa Maarifa na akili nyingi .
Ninashauri, Waandishi wawe wanaandaa maswali yao kwanza, wasingoje majibizano na LISSU ndio yawape maswali.
Pia LISSU awe anaitwa Kutoa Hotuba, yaan ahutubie akimaliza waulize maswali yao.
Narudia kusema, kuhojiana na LISSU hakikisha wee ni mwanahabari kwanza Msomi , pili unayesoma mambo mbalimbali sio tu kuzielewa Siasa juu juu.
View: https://www.youtube.com/live/h9cHr7NLIBA?si=khyeTyS42gqOcS7e
Naongezea jingine ameolewa?Kija Yunus ana shida gani?
Mbona hamuelewi kabisa Lissu?
Kipindi kahitimisha kama ugomvi?
Huyu mwanamke kwa nini yupo hivyo?
Huyu MTU yuko Gifted sana na Uwanda mkubwa wa Maarifa na akili nyingi .
Ninashauri, Waandishi wawe wanaandaa maswali yao kwanza, wasingoje majibizano na LISSU ndio yawape maswali.
Pia LISSU awe anaitwa Kutoa Hotuba, yaan ahutubie akimaliza waulize maswali yao.
Narudia kusema, kuhojiana na LISSU hakikisha wee ni mwanahabari kwanza Msomi , pili unayesoma mambo mbalimbali sio tu kuzielewa Siasa juu juu.
View: https://www.youtube.com/live/h9cHr7NLIBA?si=khyeTyS42gqOcS7e
Huyu MTU yuko Gifted sana na Uwanda mkubwa wa Maarifa na akili nyingi .
Ninashauri, Waandishi wawe wanaandaa maswali yao kwanza, wasingoje majibizano na LISSU ndio yawape maswali.
Pia LISSU awe anaitwa Kutoa Hotuba, yaan ahutubie akimaliza waulize maswali yao.
Narudia kusema, kuhojiana na LISSU hakikisha wee ni mwanahabari kwanza Msomi , pili unayesoma mambo mbalimbali sio tu kuzielewa Siasa juu juu.
View: https://www.youtube.com/live/h9cHr7NLIBA?si=khyeTyS42gqOcS7e
Odemba anajitahidi sana.Bora Clouds wangemkodi yule Chief Odemba angekiwasha hatari
very critical sanaaa TALAlimkataza Lissu asitaje jina la Abdul na sababu aliyoitoa ni hawana ushahidi.
Lissu akauliza mnataka nitaje viongozi wangu wa Chama wengine hamtaki ni kwa nini?
Lisu ni genious. Dunia ya leo inahitaji watu wenye uwezo mkubwa wa kufikiri kabla ya kutenda.Hata mie nilianza kusikiliza ila baada ya kugundua Wanahabari wapo shallow na hawamuulizi maswali magumu Lissu nikaamua kuendelea na majukumu mengine.
Lissu ni very bright na darasa tosha Kwa Jamii, inatakiwa mtu awese kuchimba mengi kuanzia harakati zake, malengo yake , kupambanua baina ya Uongozi uliopo Sasa na Nini Cha tofauti ataleta, mtazamo yake katika masuala mbalimbali ya Kisiasa, Kijamii n.k
Baada ya hapo acha anune, alitaka kuzira ni basi tu alikosa namna 😃Alimkataza Lissu asitaje jina la Abdul na sababu aliyoitoa ni hawana ushahidi.
Lissu akauliza mnataka nitaje viongozi wangu wa Chama wengine hamtaki ni kwa nini?
🤣🤣Baada ya hapo acha anune, alitaka kuzira ni basi tu alikosa namna 😃