Lissu anafanya mahojiano Clouds Media muda huu

Lissu anafanya mahojiano Clouds Media muda huu

Huyo mwana mama ana igo ya kiccm,halafu anafikiri anamuhoji diamond kumbe Lisu
Basi amafeli pakubwa!

Anadhani anatetea Chama chake kumbe ndipo anakiharibu na kujivunjia heshima yake yeye.

Anachotakiwa afahamu ni kwamba Lissu akiwa Mwenyekiti wa Chadema, wale wote ambao ni chawa hapo CCM watakosa kazi.

Kwa sababu CCM itahitaji watu wanaotumia akili zaidi kuliko wanaosifu mapambio.

Yeye kajionyesha wazi ni watu wa mapambio.
 
x,insta.fb na huku jf kote aashambuliwa kija wa ujuha wake.. wandishi wa bongo ni uchwara sana hawana hoja
 
CDM chama cha manyumbu kimejaa mbumbumbu... Ndiyo maana Mbowe haoni ulazima wa kuachia kiti...
 
Huyu MTU yuko Gifted sana na Uwanda mkubwa wa Maarifa na akili nyingi .

Ninashauri, Waandishi wawe wanaandaa maswali yao kwanza, wasingoje majibizano na LISSU ndio yawape maswali.

Pia LISSU awe anaitwa Kutoa Hotuba, yaan ahutubie akimaliza waulize maswali yao.



Narudia kusema, kuhojiana na LISSU hakikisha wee ni mwanahabari kwanza Msomi , pili unayesoma mambo mbalimbali sio tu kuzielewa Siasa juu juu.


View: https://www.youtube.com/live/h9cHr7NLIBA?si=khyeTyS42gqOcS7e

kija yunusi kanyooshwa na vimaswali vyake vya kipimbi james paul alikuwa makini
 
Kija Yunus ana shida gani?

Mbona hamuelewi kabisa Lissu?

Kipindi kahitimisha kama ugomvi?

Huyu mwanamke kwa nini yupo hivyo?
Naongezea jingine ameolewa?

Anaishi na mwanaume kweli?

Maana si kwa utoto huo.
 
Huyu MTU yuko Gifted sana na Uwanda mkubwa wa Maarifa na akili nyingi .

Ninashauri, Waandishi wawe wanaandaa maswali yao kwanza, wasingoje majibizano na LISSU ndio yawape maswali.

Pia LISSU awe anaitwa Kutoa Hotuba, yaan ahutubie akimaliza waulize maswali yao.



Narudia kusema, kuhojiana na LISSU hakikisha wee ni mwanahabari kwanza Msomi , pili unayesoma mambo mbalimbali sio tu kuzielewa Siasa juu juu.


View: https://www.youtube.com/live/h9cHr7NLIBA?si=khyeTyS42gqOcS7e

Kama imeplaniwa hivyo je kwa lengo maalum?
 
Huyu MTU yuko Gifted sana na Uwanda mkubwa wa Maarifa na akili nyingi .

Ninashauri, Waandishi wawe wanaandaa maswali yao kwanza, wasingoje majibizano na LISSU ndio yawape maswali.

Pia LISSU awe anaitwa Kutoa Hotuba, yaan ahutubie akimaliza waulize maswali yao.



Narudia kusema, kuhojiana na LISSU hakikisha wee ni mwanahabari kwanza Msomi , pili unayesoma mambo mbalimbali sio tu kuzielewa Siasa juu juu.


View: https://www.youtube.com/live/h9cHr7NLIBA?si=khyeTyS42gqOcS7e

Lissu ni mkweli mno aisee ila naomba Mungu ashindi huyu jamaa
 
Hata mie nilianza kusikiliza ila baada ya kugundua Wanahabari wapo shallow na hawamuulizi maswali magumu Lissu nikaamua kuendelea na majukumu mengine.

Lissu ni very bright na darasa tosha Kwa Jamii, inatakiwa mtu awese kuchimba mengi kuanzia harakati zake, malengo yake , kupambanua baina ya Uongozi uliopo Sasa na Nini Cha tofauti ataleta, mtazamo yake katika masuala mbalimbali ya Kisiasa, Kijamii n.k
Lisu ni genious. Dunia ya leo inahitaji watu wenye uwezo mkubwa wa kufikiri kabla ya kutenda.
 
Alimkataza Lissu asitaje jina la Abdul na sababu aliyoitoa ni hawana ushahidi.

Lissu akauliza mnataka nitaje viongozi wangu wa Chama wengine hamtaki ni kwa nini?
Baada ya hapo acha anune, alitaka kuzira ni basi tu alikosa namna 😃
 
Back
Top Bottom