Lissu anafanya mahojiano Clouds Media muda huu

Lissu anafanya mahojiano Clouds Media muda huu

Lissu alishawahi Fanya mdahalo na mwandishi nguli wa BBC HARDTALK na bado akatoka imara. Kwa nchi za binadamu timamu wa akili, wanamuona akili kubwa lakini Bongoland anaonekana mbangaizaji na wakataka kumuua. Unadhani hiyo Bongoland ina watu wenye akili timamu kweli!
 
Yule mwanamke mwishoni anaulizwa kama anaswali la ziada kabla ya kuhitimisha kipindi anajibu mimi sina labda Lissu
Lissu anajibu kazi yenu ni kuuliza maswali mimi najibu sio mimi kuuliza maswali yule dada anaishia kubinua mdomo
 
Vilevile kumbukeni Lissu ni wale waliosoma shule za vipaji maalum, kipindi ambacho hizo shule zilikuwa kweli vipaji maalum.
 
Back
Top Bottom