Lissu anahujumiwa, CHADEMA imeuzwa

Lissu anahujumiwa, CHADEMA imeuzwa

Fatilieni mikutano ya mwenyekiti Mbowe na Lissu. Kuanzia maandalizi hadi “Coverage.” Timu ya Lissu haina “Advance Team” kutokea alipo anza Morogoro wala haina watu wa media. Kwa upande mwingine Team ya Mbowe ina advance Team kubwa, watu wa media zaidi ya sita na walinzi zaidi ya watano. Lissu ana mlinzi moja ambaye amepewa na Chama chake.
Dah!
Huu ni "Mkakati" uliosukwa kwenye maridhiano?
Mbowe anapata 'booster' ya Samia kuwadhibiti akina Lissu ndani ya CHADEMA?

Hadi hapa nilipofikia kwenye andiko lako, dhana hii sina njia ya kuipinga; pamoja na kwamba ndani ya andiko lenyewe naona kuna udhaifu wa aina fulani kwa upande unaoutetea..

Ngoja niendelee kukusoma.
 
Umesema kuwa Mbowe keshalambishwa Asali sasa kwa Taarifa yako na Mimi nakuambia hata huyo Lissu wako nae Kalambishwa vile vile ila wanatumia Akili Kubwa kujifanya wanashida na wanapambana na CCM wakati Wameshatajirishwa Kitambo.

Huyu Lissu wako angekuwa na Uchungu na Tanzania na Watanzania angehamishia Familia yake nchini Marekani huku Familia yake hadi Yeye wakiwa sasa ni Raia wa Marekani?

Huna unachokijua Mnafiki na Muongo Wewe hivyo acha kabisa kutupotezea muda Watu tunaojua mengi ya nchi hii sawa?
Mkuu 'TETRACYCLINE', haya uliyoandika huku chini hayahusiani kabisa na mada yenyewe. Wewe ni 'Team' Nani, Mbowe?

Hayo ya uraia na mengine ya binafsi' tuyajadili kwingine. Hapa tuijadili hii dhana aliyoleta huyu 'Mwingereza'.
 
Nikiwa kama mwandishi wa Habari, nimefanya kazi kwa ukaribu na Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA. Nimefanya kazi na viongozi wake wakuu, Lissu, Mnyika, Mbowe, Lema na wengine wengi. Tangu Mbowe atoke gerezani, nimefanya naye kazi kwa ukaribu sana. Mbowe wa leo sio Mbowe wa 2020, ni mfanya biashara.

Ninachoweza kuwataarifu ni kwamba, kuna mnyukano mkubwa sana ndani ya CHADEMA. Bila kumung’unya maneno, nasema wazi pasipo shaka kwamba, Mbowe amelambishwa asali na kuna mengi nyuma ya pazia ambayo sisi hatuyajui kwa sababu maridhiano ni kati ya Mbowe, CCM na Samia. Ila Mbowe amekuwa “compromised”. Kama alivyofanya miaka yote, 2015 aliuza chama kwa Lowassa. 2025 Mimi na wewe hatujui yeye na Samia wamepanga nini!

Ila kwa waliomsikia leo akiwa Kigoma, Mbowe ameongea mengi sana, na kwa wajuzi wa mambo, watakubaliana na mimi kwamba, amemsifia Rais Samia kwa mabadiliko makubwa aliyoyafanya kuruhusu mikutano ya hadhara, kumwachia huru, na mengine mengi tu.

Kwa kifupi, Mbowe hataki kabisa mashambulizi ya moja kwa moja kwa Rais Samia. Kitendo ambacho kinazua maswali mengi yasiyokuwa na majibu ukizingatia Mbowe ni Mpinzani na hii inaleta ile dhana ya kulambishwa asali.

Kwa wanaofuatilia mitandao ya kijamii, nadhani mmeona Mwenyekiti wa CHADEMA akitumia Helicopter kwenye mikutano ya hadhara. Hii ni kitu kizuri kwenye jitihada zao za kukutana na wananchi.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Bw. Tundu Lissu kwa upande mwingine, hana gari ya kutumia (anakodi gari kila siku kwa laki 2) kwenye ziara yake. Analipa kutoka mfukoni mwake, chama hakimlipii. Hata mafuta chama hakimpi.

Gari aliyopewa na ndugu yake imeharibika na inahitaji kiasi cha Tsh. 7million kuifanyia matengenezo. Kwa maana hiyo, Lissu Pamoja na wasaidizi wake wanajitegemea kwenye kila kitu. Kuanzia malazi, chakula, magari, mafuta na ulinzi. Na hii ndio sababu kubwa inayo mlazimisha Lissu kuomba michango kwa wananchi.

Jiulizeni kwa nini Mwenyekiti Mbowe anaruka na chopa wakati Makamu wake Lissu anaomba michango kwenye mikutano ya hadhara? Huu mgawanyiko ni hatari kwa hiki chama kikubwa kinapojiandaa kushiriki uchaguzi wa 2025. Kitendo ambacho kinatulazimu kufikiria kuwa Mbowe na Samia wameweka mkakati mahususi kwa mwaka 2025.

Itakuwa vyema Zaidi kama CHADEMA inayopokea ruzuku kutoka serikalini, kumpa makamu wake uwezo wa kuzunguka kukutana na wananchi. Ujumbe wa Lissu kwa wananchi ni ujumbe unaoeleweka.

Hotuba za Lissu zinagusa sana watu wa matabaka yote na kama inawezekana CHADEMA wamuwezeshe Lissu kifedha. Na hata hiyo helicopter, ingekuwa Mwenyekiti siku mbili, na siku mbili zingine apewe Lissu.

Fatilieni mikutano ya mwenyekiti Mbowe na Lissu. Kuanzia maandalizi hadi “Coverage.” Timu ya Lissu haina “Advance Team” kutokea alipo anza Morogoro wala haina watu wa media. Kwa upande mwingine Team ya Mbowe ina advance Team kubwa, watu wa media zaidi ya sita na walinzi zaidi ya watano. Lissu ana mlinzi moja ambaye amepewa na Chama chake.

Kama ni hujuma dhidi ya Lissu ambayo inawezekana ndio lengo, wananchi kwa mamillioni tuungane kumsaidia Lissu. Chochote kitakachotokea dhidi ya Lissu, Mbowe na team yake, wawe tayari kutoa maelezo, kwani mwenendo wao dhidi ya Lissu hauridhishi. Sina chama, ila Lissu ndiye kiongozi wa kitaifa aliyebakia anayefikisha ujumbe unaostahili kwa wananchi.

Ni dhahiri Lissu kama wengine (Heche, Wenje, Msigwa, Lema, Mnyika) ameshayakataa maridhiano ukisikiliza hotuba zake. Akiwa Morogoro alieleza wazi kuwa maridhiano hayaeleweki na CCM wamekataa kuweka makubaliano yoyote kwenye maandishi.

Ombi langu kwenu wadau: Msaidieni Lissu kifedha, hali na mali ili aweze kuendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu ufisadi unaoendelea, umuhimu wa katiba Mpya, Pamoja na Tume huru ya uchaguzi kwa wananchi.

Fuatilieni hotuba za Lissu na Mbowe. Tofauti ipo wazi na ni kubwa sana: wakati Mbowe anapoelezea mabadiliko aliyoyaleta Samia kama vile kumuachia huru na kuruhusu mikutano ya hadhara, Lissu anazungumzia ufisadi Pamoja na matatizo yanayo wakabili Watanzania.

Kwa kifupi Lissu anatoa elimu ya katiba Mpya na namna ya kuipata Tume huru ya uchaguzi. Wakati Mbowe anafanya siasa na kumsifia Rais Samia, bila kusahau Samia huyo huyo aliitangazia dunia kwamba Mbowe ni gaidi na kumuweka ndani takribani mwaka mzima.
Nimemaliza kukusoma mkuu 'Mwingereza'.

Sasa naomba tu jibu, toka kwako, au kwa yeyote mwanachama wa CHADEMA aliye na jibu:

Je, CHADEMA kama chama, kinasemaje kuhusu hali hii iliyopo? Msimamo wa chama ni upi? Ule wa Mbowe, au ule wa Makamu wa Mwenyekiti, Lissu?

Chama hakiwezi kuwa katikati ya hawa wawili, ni lazima kiwe upande kinakosimamia kama chama.

Mkanganyiko huu hauwezi kuachwa uendelee kuwepo ndani ya chama.

Nihitimishe: Ulichosema kuhusu Mwenyekiti Mbowe, hilo sina mashaka nalo toka zamani sana; kinachonistua ni hili ulilozungumzia hapa kuhusu Lissu, na katika hali ya kushangaza sana kutambua kwamba hali kama hiyo inaweza kuwepo ndani ya chama hiki bila ya kutafutiwa jibu haraka.
Mbinu ya Mbowe na Samia kuwalaza akili wanaCHADEMA hadi dakika za majeruhi, hili ninaliona.

Mbowe ni mtu mwenye njia zake za kufanya mambo. Sasa naamini hata wale COVID -19 ni matokeo ya kazi ya mikono yake, kama ilivyokuwa kwa Lowassa.
 
-Mbowe ameuza chama,(?)
-Mbowe amelamba asali,(?)
-Umefanya nao kazi muda mrefu,(?)
-Maridhiano ni kati ya Mbowe,CCM na Samia,(?)
-Una uhakika Mbowe ameuza chama,(?)
-Lakini,haujui,very emphatical way,HAUJUI,wamezungumza nini!
Mpaka hapo,unaonesha unaongozwa kwa hisia zako tu.Unaonesha ungependelea uone mambo kadiri ya mapenzi ya moyo wako.Acha unafiki.
Tundu lisu anatafuta nafasi yeyote ile ya kumuweka mbowe pembeni lakini akashindwa. inakuwaje anaongea kuwa jamaa alilamba asali? afu mbona kama hawapo pamoja? yaani mbowe anatuhumiwa kuhongwa asali.
 
Ni wapi siasa za unafiki ziliwahi kushinda? Hata mkoloni alikuwa na jeshi na silaha lkn aliondolewa

Kitendo cha Mbowe kuwasifia watu wabovu kuna watu mioyo yao inamuelekea Samia wakati naye ni wale wale.

Bora asimtaje Samia.
Kitendo cha kumsifia kina madhara makubwa kuliko faida.
Naufahamu uwezo wako, huwa unajenga hoja bora lakini katika hili sikuungi mkono.
Mbowe kateleza

..Wakoloni, kwa mfano, Waingereza, hawakuwa wakatili kama hawa watawala wetu wa Ccm.

..Nakupa challenge. Umewahi kusoma mahali popote kama mkutano wa Tanu wa kupinga ukoloni umeshambuliwa kwa mabomu, risasi, au washawasha?

..Umewahi kusoma au kusikia Mwalimu Nyerere au kiongozi wa Tanu kukamatwa, kupigwa, au kudhalilishwa, na vyombo vya dola vya Wakoloni wa Kiingereza?

..Mimi sikubaliani na mfano ulioutoa unaoonyesha kwamba Ccm wana afadhali ktk kukabiliana nao kuliko wakoloni, haswa Waingereza.

..Mimi nasimama ktk hoja yangu kwamba Mbowe kumsifia Samia kwa kufungua milango ya kufanya siasa hakuondoi ukweli kwamba Ccm ni mbovu na imeshindwa kutatua matatizo ya wananchi.
 
Ombi langu kwenu wadau: Msaidieni Lissu kifedha, hali na mali ili aweze kuendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu ufisadi unaoendelea, umuhimu wa katiba Mpya, Pamoja na Tume huru ya uchaguzi kwa wananchi.
Watu wakitaka kuchanga wapeleke wapi?

Ni vizuri umetoa mwanga wa mwanzo kuhusu hali iliyovyo huko ndani ya CHADEMA.

Ni muhimu sana sasa chama kitoke mbele na msimamo wake ujulikane kinaelekea wapi.
 
..Wakoloni, kwa mfano, Waingereza, hawakuwa wakatili kama hawa watawala wetu wa Ccm.

..Nakupa challenge. Umewahi kusoma mahali popote kama mkutano wa Tanu wa kupinga ukoloni umeshambuliwa kwa mabomu, risasi, au washawasha?

..Umewahi kusoma au kusikia Mwalimu Nyerere au kiongozi wa Tanu kukamatwa, kupigwa, au kudhalilishwa, na vyombo vya dola vya Wakoloni wa Kiingereza?

..Mimi sikubaliani na mfano ulioutoa unaoonyesha kwamba Ccm wana afadhali ktk kukabiliana nao kuliko wakoloni, haswa Waingereza.

..Mimi nasimama ktk hoja yangu kwamba Mbowe kumsifia Samia kwa kufungua milango ya kufanya siasa hakuondoi ukweli kwamba Ccm ni mbovu na imeshindwa kutatua matatizo ya wananchi.
Samia hamfanyii mtu yeyote fadhira, hadi watu walazimike kutoa shukrani, ni wajibu wake kuheshimu sheria zilizopo.

Mbowe anakuwa mbinafsi na kusahau dhamira ya CHAMA alichokiongoza.
 
Nikiwa kama mwandishi wa Habari, nimefanya kazi kwa ukaribu na Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA. Nimefanya kazi na viongozi wake wakuu, Lissu, Mnyika, Mbowe, Lema na wengine wengi. Tangu Mbowe atoke gerezani, nimefanya naye kazi kwa ukaribu sana. Mbowe wa leo sio Mbowe wa 2020, ni mfanya biashara.

Ninachoweza kuwataarifu ni kwamba, kuna mnyukano mkubwa sana ndani ya CHADEMA. Bila kumung’unya maneno, nasema wazi pasipo shaka kwamba, Mbowe amelambishwa asali na kuna mengi nyuma ya pazia ambayo sisi hatuyajui kwa sababu maridhiano ni kati ya Mbowe, CCM na Samia. Ila Mbowe amekuwa “compromised”. Kama alivyofanya miaka yote, 2015 aliuza chama kwa Lowassa. 2025 Mimi na wewe hatujui yeye na Samia wamepanga nini!

Ila kwa waliomsikia leo akiwa Kigoma, Mbowe ameongea mengi sana, na kwa wajuzi wa mambo, watakubaliana na mimi kwamba, amemsifia Rais Samia kwa mabadiliko makubwa aliyoyafanya kuruhusu mikutano ya hadhara, kumwachia huru, na mengine mengi tu.

Kwa kifupi, Mbowe hataki kabisa mashambulizi ya moja kwa moja kwa Rais Samia. Kitendo ambacho kinazua maswali mengi yasiyokuwa na majibu ukizingatia Mbowe ni Mpinzani na hii inaleta ile dhana ya kulambishwa asali.

Kwa wanaofuatilia mitandao ya kijamii, nadhani mmeona Mwenyekiti wa CHADEMA akitumia Helicopter kwenye mikutano ya hadhara. Hii ni kitu kizuri kwenye jitihada zao za kukutana na wananchi.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Bw. Tundu Lissu kwa upande mwingine, hana gari ya kutumia (anakodi gari kila siku kwa laki 2) kwenye ziara yake. Analipa kutoka mfukoni mwake, chama hakimlipii. Hata mafuta chama hakimpi.

Gari aliyopewa na ndugu yake imeharibika na inahitaji kiasi cha Tsh. 7million kuifanyia matengenezo. Kwa maana hiyo, Lissu Pamoja na wasaidizi wake wanajitegemea kwenye kila kitu. Kuanzia malazi, chakula, magari, mafuta na ulinzi. Na hii ndio sababu kubwa inayo mlazimisha Lissu kuomba michango kwa wananchi.

Jiulizeni kwa nini Mwenyekiti Mbowe anaruka na chopa wakati Makamu wake Lissu anaomba michango kwenye mikutano ya hadhara? Huu mgawanyiko ni hatari kwa hiki chama kikubwa kinapojiandaa kushiriki uchaguzi wa 2025. Kitendo ambacho kinatulazimu kufikiria kuwa Mbowe na Samia wameweka mkakati mahususi kwa mwaka 2025.

Itakuwa vyema Zaidi kama CHADEMA inayopokea ruzuku kutoka serikalini, kumpa makamu wake uwezo wa kuzunguka kukutana na wananchi. Ujumbe wa Lissu kwa wananchi ni ujumbe unaoeleweka.

Hotuba za Lissu zinagusa sana watu wa matabaka yote na kama inawezekana CHADEMA wamuwezeshe Lissu kifedha. Na hata hiyo helicopter, ingekuwa Mwenyekiti siku mbili, na siku mbili zingine apewe Lissu.

Fatilieni mikutano ya mwenyekiti Mbowe na Lissu. Kuanzia maandalizi hadi “Coverage.” Timu ya Lissu haina “Advance Team” kutokea alipo anza Morogoro wala haina watu wa media. Kwa upande mwingine Team ya Mbowe ina advance Team kubwa, watu wa media zaidi ya sita na walinzi zaidi ya watano. Lissu ana mlinzi moja ambaye amepewa na Chama chake.

Kama ni hujuma dhidi ya Lissu ambayo inawezekana ndio lengo, wananchi kwa mamillioni tuungane kumsaidia Lissu. Chochote kitakachotokea dhidi ya Lissu, Mbowe na team yake, wawe tayari kutoa maelezo, kwani mwenendo wao dhidi ya Lissu hauridhishi. Sina chama, ila Lissu ndiye kiongozi wa kitaifa aliyebakia anayefikisha ujumbe unaostahili kwa wananchi.

Ni dhahiri Lissu kama wengine (Heche, Wenje, Msigwa, Lema, Mnyika) ameshayakataa maridhiano ukisikiliza hotuba zake. Akiwa Morogoro alieleza wazi kuwa maridhiano hayaeleweki na CCM wamekataa kuweka makubaliano yoyote kwenye maandishi.

Ombi langu kwenu wadau: Msaidieni Lissu kifedha, hali na mali ili aweze kuendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu ufisadi unaoendelea, umuhimu wa katiba Mpya, Pamoja na Tume huru ya uchaguzi kwa wananchi.

Fuatilieni hotuba za Lissu na Mbowe. Tofauti ipo wazi na ni kubwa sana: wakati Mbowe anapoelezea mabadiliko aliyoyaleta Samia kama vile kumuachia huru na kuruhusu mikutano ya hadhara, Lissu anazungumzia ufisadi Pamoja na matatizo yanayo wakabili Watanzania.

Kwa kifupi Lissu anatoa elimu ya katiba Mpya na namna ya kuipata Tume huru ya uchaguzi. Wakati Mbowe anafanya siasa na kumsifia Rais Samia, bila kusahau Samia huyo huyo aliitangazia dunia kwamba Mbowe ni gaidi na kumuweka ndani takribani mwaka mzima.
Tunasimama na Lissu, alipo tupo
 
Samia hamfanyii mtu yeyote fadhira, hadi watu walazimike kutoa shukrani, ni wajibu wake kuheshimu sheria zilizopo.

Mbowe anakuwa mbinafsi na kusahau dhamira ya CHAMA alichokiongoza.

..Chadema ktk mikutano mbalimbali wameeleza kwamba kuzuia mikutano ya hadhara ilikuwa ni ukiukwaji mkubwa wa sheria na katiba.

..Wako viongozi ambao wamekwenda mbali na kusema Samia alipaswa kuomba RADHI wakati akitengua zuia haramu la mikutano ya vyama.

..Magufuli alipokufa alikua ameacha viongozi na wanachama wa Chadema zaidi ya 400 ktk mahabusu na magereza mbalimbali hapa nchini.

..Mazungumzo kati ya Chadema na Ccm yamewezesha kuachiliwa huru kwa mahabusu na wafungwa wa Magufuli.

..Hakuna namna Mbowe au kiongozi yeyote wa Chadema anaweza kuongelea suala hilo bila kuonekana anamsifia au anamshukuru Rais Samia.

..Mbowe kumsifia au kumshukuru Samia hakuondoi au kupunguza matatizo na kero za wananchi. Zaidi, haimaanishi kwamba Mbowe anakubaliana na sera na maamuzi yote yanayofanywa na Samia au Ccm.

..Majuzi nimesoma Mbowe akinukuliwa kusema kwamba itakuwa ni makosa makubwa kuingia ktk uchaguzi mkuu wa 2025 bila Katiba mpya na Tume huru.

..Msimamo huo ulipotamkwa na Lissu kuna baadhi waliandika post ktk jukwaa letu kwamba kuna kutofautiana baina ya viongozi wakuu wa Chadema.

..Kwa kifupi nadhani kuna jitihada kubwa hapa Jamii Forum kupotosha ukweli kuhusu Chadema, na kufifisha credibility ya viongozi wake.

..Ccm wameishiwa hoja, pia wameishiwa mbinu za kutatua matatizo ya nchi yetu. Kukabiliana na hali hiyo wameamua kuwekeza ktk kuchafua vyama mbadala na viongozi wake.
 
..Mbowe kumsifia au kumshukuru Samia hakuondoi au kupunguza matatizo na kero za wananchi. Zaidi, haimaanishi kwamba Mbowe anakubaliana na sera na maamuzi yote yanayofanywa na Samia au Ccm.
Hili ndilo jibu.

Sidhani kuwa kuna mtu yeyote mwenye akili timamu ataacha kushukuru, hata kama Samia alipaswa kufanya alivyofanya.

Lakini Mbowe anaonyesha waziwazi kwamba ni zaidi ya shukrani za aina hiyo.
Mbowe amekwisha, na asiimalize CHADEMA kwa kwisha kwake.

Urafiki wa Samia na Mbowe usiingilie shughuli za CHADEMA.
 
Hili ndilo jibu.

Sidhani kuwa kuna mtu yeyote mwenye akili timamu ataacha kushukuru, hata kama Samia alipaswa kufanya alivyofanya.

Lakini Mbowe anaonyesha waziwazi kwamba ni zaidi ya shukrani za aina hiyo.
Mbowe amekwisha, na asiimalize CHADEMA kwa kwisha kwake.

Urafiki wa Samia na Mbowe usiingilie shughuli za CHADEMA.

..Zaidi ya kumshukuru Samia, au kueleza jinsi alivyofutiwa kesi ya ugaidi, Mbowe amefanya jambo gani in favor of Ccm na Samia, and against Chadema?
 
Hizi zote ni hisia.

Btw, Mbowe na Lissu nao ni watu kama wewe wanahitaji furaha na maendeleo pia.
Hao watu wameteswa sana na hizi siasa...kama ni kweli wanakula acha wale.
Hii dunia tunaishi mara moja tu.
Mbowe akila Sawa ni binadamu watu wengine wakila ni mafisadi ukabila umewajaa mno
 
Nimeishi na wachaga miaka mingi sana, kitu pekee wanachokitaka ni PESA. Hata km utajenga urafiki nae kichwan kwake ana focus namna ya kupata PESA toka kwako. Ukionana nae tu atahakikisha mpaka afaidike kutoka kwako. Wanapenda sana PESA hata km unataka kumtoa marinda toa PESA na marinda utamtoa
Naam hakika umeelezea Kwa kadiri unavyowajuwa ...we penyeza rupia
 
Nikiwa kama mwandishi wa Habari, nimefanya kazi kwa ukaribu na Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA. Nimefanya kazi na viongozi wake wakuu, Lissu, Mnyika, Mbowe, Lema na wengine wengi. Tangu Mbowe atoke gerezani, nimefanya naye kazi kwa ukaribu sana. Mbowe wa leo sio Mbowe wa 2020, ni mfanya biashara.

Ninachoweza kuwataarifu ni kwamba, kuna mnyukano mkubwa sana ndani ya CHADEMA. Bila kumung’unya maneno, nasema wazi pasipo shaka kwamba, Mbowe amelambishwa asali na kuna mengi nyuma ya pazia ambayo sisi hatuyajui kwa sababu maridhiano ni kati ya Mbowe, CCM na Samia. Ila Mbowe amekuwa “compromised”. Kama alivyofanya miaka yote, 2015 aliuza chama kwa Lowassa. 2025 Mimi na wewe hatujui yeye na Samia wamepanga nini!

Ila kwa waliomsikia leo akiwa Kigoma, Mbowe ameongea mengi sana, na kwa wajuzi wa mambo, watakubaliana na mimi kwamba, amemsifia Rais Samia kwa mabadiliko makubwa aliyoyafanya kuruhusu mikutano ya hadhara, kumwachia huru, na mengine mengi tu.

Kwa kifupi, Mbowe hataki kabisa mashambulizi ya moja kwa moja kwa Rais Samia. Kitendo ambacho kinazua maswali mengi yasiyokuwa na majibu ukizingatia Mbowe ni Mpinzani na hii inaleta ile dhana ya kulambishwa asali.

Kwa wanaofuatilia mitandao ya kijamii, nadhani mmeona Mwenyekiti wa CHADEMA akitumia Helicopter kwenye mikutano ya hadhara. Hii ni kitu kizuri kwenye jitihada zao za kukutana na wananchi.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Bw. Tundu Lissu kwa upande mwingine, hana gari ya kutumia (anakodi gari kila siku kwa laki 2) kwenye ziara yake. Analipa kutoka mfukoni mwake, chama hakimlipii. Hata mafuta chama hakimpi.

Gari aliyopewa na ndugu yake imeharibika na inahitaji kiasi cha Tsh. 7million kuifanyia matengenezo. Kwa maana hiyo, Lissu Pamoja na wasaidizi wake wanajitegemea kwenye kila kitu. Kuanzia malazi, chakula, magari, mafuta na ulinzi. Na hii ndio sababu kubwa inayo mlazimisha Lissu kuomba michango kwa wananchi.

Jiulizeni kwa nini Mwenyekiti Mbowe anaruka na chopa wakati Makamu wake Lissu anaomba michango kwenye mikutano ya hadhara? Huu mgawanyiko ni hatari kwa hiki chama kikubwa kinapojiandaa kushiriki uchaguzi wa 2025. Kitendo ambacho kinatulazimu kufikiria kuwa Mbowe na Samia wameweka mkakati mahususi kwa mwaka 2025.

Itakuwa vyema Zaidi kama CHADEMA inayopokea ruzuku kutoka serikalini, kumpa makamu wake uwezo wa kuzunguka kukutana na wananchi. Ujumbe wa Lissu kwa wananchi ni ujumbe unaoeleweka.

Hotuba za Lissu zinagusa sana watu wa matabaka yote na kama inawezekana CHADEMA wamuwezeshe Lissu kifedha. Na hata hiyo helicopter, ingekuwa Mwenyekiti siku mbili, na siku mbili zingine apewe Lissu.

Fatilieni mikutano ya mwenyekiti Mbowe na Lissu. Kuanzia maandalizi hadi “Coverage.” Timu ya Lissu haina “Advance Team” kutokea alipo anza Morogoro wala haina watu wa media. Kwa upande mwingine Team ya Mbowe ina advance Team kubwa, watu wa media zaidi ya sita na walinzi zaidi ya watano. Lissu ana mlinzi moja ambaye amepewa na Chama chake.

Kama ni hujuma dhidi ya Lissu ambayo inawezekana ndio lengo, wananchi kwa mamillioni tuungane kumsaidia Lissu. Chochote kitakachotokea dhidi ya Lissu, Mbowe na team yake, wawe tayari kutoa maelezo, kwani mwenendo wao dhidi ya Lissu hauridhishi. Sina chama, ila Lissu ndiye kiongozi wa kitaifa aliyebakia anayefikisha ujumbe unaostahili kwa wananchi.

Ni dhahiri Lissu kama wengine (Heche, Wenje, Msigwa, Lema, Mnyika) ameshayakataa maridhiano ukisikiliza hotuba zake. Akiwa Morogoro alieleza wazi kuwa maridhiano hayaeleweki na CCM wamekataa kuweka makubaliano yoyote kwenye maandishi.

Ombi langu kwenu wadau: Msaidieni Lissu kifedha, hali na mali ili aweze kuendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu ufisadi unaoendelea, umuhimu wa katiba Mpya, Pamoja na Tume huru ya uchaguzi kwa wananchi.

Fuatilieni hotuba za Lissu na Mbowe. Tofauti ipo wazi na ni kubwa sana: wakati Mbowe anapoelezea mabadiliko aliyoyaleta Samia kama vile kumuachia huru na kuruhusu mikutano ya hadhara, Lissu anazungumzia ufisadi Pamoja na matatizo yanayo wakabili Watanzania.

Kwa kifupi Lissu anatoa elimu ya katiba Mpya na namna ya kuipata Tume huru ya uchaguzi. Wakati Mbowe anafanya siasa na kumsifia Rais Samia, bila kusahau Samia huyo huyo aliitangazia dunia kwamba Mbowe ni gaidi na kumuweka ndani takribani mwaka mzima.

Itapendeza kama ungeweza kuthibitisha kuwa wewe siyo Kamanda Aliyechoka

Unaonekana kuwa na hasira kali dhidi ya Mbowe.

Ulichoandika siyo ukosoaji. Wewe unaonekana kuwa ni mtu wa chuk binafsi. Chuki hazijengi ndugu.

Wewe na kina Joni, msajili, CCM, Ayubu au jiwe na nduguze baba mmoja mama mmoja!
 
Baada ya CD ya CHADEMA ni chama cha Wachaga sasa mmehamia kwa Lissu Vs Mbowe. Nyie ni Wapumbavu
Hawajafanikiwa kuisambaratisha kama walivyofanikiwa kwa NCCR mageuzi na CUF, na sababu ni uimara wa Mbowe sasa wanatatarika.
Naunga mkono hoja ni wapumbavu
 
Nasimamia maneno yangu. Kwamba, maridhiano ni ya Mbowe, Samia na CCM

Viongozi wote wa Chadema nilioongea nao, hawataki kabisa maridhiano wakiamini ni ujanja wa wa CCM kupoteza muda
Umeongea na nani? Kama nani?
Rest be assured kuwa Tanzania haitorudi nyuma kwenye siasa za ukatili na kuuana, visasi na dhulma mlizozoea nyie wapumbavu wa CCM
 
Nikiwa kama mwandishi wa Habari, nimefanya kazi kwa ukaribu na Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA. Nimefanya kazi na viongozi wake wakuu, Lissu, Mnyika, Mbowe, Lema na wengine wengi. Tangu Mbowe atoke gerezani, nimefanya naye kazi kwa ukaribu sana. Mbowe wa leo sio Mbowe wa 2020, ni mfanya biashara.

Ninachoweza kuwataarifu ni kwamba, kuna mnyukano mkubwa sana ndani ya CHADEMA. Bila kumung’unya maneno, nasema wazi pasipo shaka kwamba, Mbowe amelambishwa asali na kuna mengi nyuma ya pazia ambayo sisi hatuyajui kwa sababu maridhiano ni kati ya Mbowe, CCM na Samia. Ila Mbowe amekuwa “compromised”. Kama alivyofanya miaka yote, 2015 aliuza chama kwa Lowassa. 2025 Mimi na wewe hatujui yeye na Samia wamepanga nini!

Ila kwa waliomsikia leo akiwa Kigoma, Mbowe ameongea mengi sana, na kwa wajuzi wa mambo, watakubaliana na mimi kwamba, amemsifia Rais Samia kwa mabadiliko makubwa aliyoyafanya kuruhusu mikutano ya hadhara, kumwachia huru, na mengine mengi tu.

Kwa kifupi, Mbowe hataki kabisa mashambulizi ya moja kwa moja kwa Rais Samia. Kitendo ambacho kinazua maswali mengi yasiyokuwa na majibu ukizingatia Mbowe ni Mpinzani na hii inaleta ile dhana ya kulambishwa asali.

Kwa wanaofuatilia mitandao ya kijamii, nadhani mmeona Mwenyekiti wa CHADEMA akitumia Helicopter kwenye mikutano ya hadhara. Hii ni kitu kizuri kwenye jitihada zao za kukutana na wananchi.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Bw. Tundu Lissu kwa upande mwingine, hana gari ya kutumia (anakodi gari kila siku kwa laki 2) kwenye ziara yake. Analipa kutoka mfukoni mwake, chama hakimlipii. Hata mafuta chama hakimpi.

Gari aliyopewa na ndugu yake imeharibika na inahitaji kiasi cha Tsh. 7million kuifanyia matengenezo. Kwa maana hiyo, Lissu Pamoja na wasaidizi wake wanajitegemea kwenye kila kitu. Kuanzia malazi, chakula, magari, mafuta na ulinzi. Na hii ndio sababu kubwa inayo mlazimisha Lissu kuomba michango kwa wananchi.

Jiulizeni kwa nini Mwenyekiti Mbowe anaruka na chopa wakati Makamu wake Lissu anaomba michango kwenye mikutano ya hadhara? Huu mgawanyiko ni hatari kwa hiki chama kikubwa kinapojiandaa kushiriki uchaguzi wa 2025. Kitendo ambacho kinatulazimu kufikiria kuwa Mbowe na Samia wameweka mkakati mahususi kwa mwaka 2025.

Itakuwa vyema Zaidi kama CHADEMA inayopokea ruzuku kutoka serikalini, kumpa makamu wake uwezo wa kuzunguka kukutana na wananchi. Ujumbe wa Lissu kwa wananchi ni ujumbe unaoeleweka.

Hotuba za Lissu zinagusa sana watu wa matabaka yote na kama inawezekana CHADEMA wamuwezeshe Lissu kifedha. Na hata hiyo helicopter, ingekuwa Mwenyekiti siku mbili, na siku mbili zingine apewe Lissu.

Fatilieni mikutano ya mwenyekiti Mbowe na Lissu. Kuanzia maandalizi hadi “Coverage.” Timu ya Lissu haina “Advance Team” kutokea alipo anza Morogoro wala haina watu wa media. Kwa upande mwingine Team ya Mbowe ina advance Team kubwa, watu wa media zaidi ya sita na walinzi zaidi ya watano. Lissu ana mlinzi moja ambaye amepewa na Chama chake.

Kama ni hujuma dhidi ya Lissu ambayo inawezekana ndio lengo, wananchi kwa mamillioni tuungane kumsaidia Lissu. Chochote kitakachotokea dhidi ya Lissu, Mbowe na team yake, wawe tayari kutoa maelezo, kwani mwenendo wao dhidi ya Lissu hauridhishi. Sina chama, ila Lissu ndiye kiongozi wa kitaifa aliyebakia anayefikisha ujumbe unaostahili kwa wananchi.

Ni dhahiri Lissu kama wengine (Heche, Wenje, Msigwa, Lema, Mnyika) ameshayakataa maridhiano ukisikiliza hotuba zake. Akiwa Morogoro alieleza wazi kuwa maridhiano hayaeleweki na CCM wamekataa kuweka makubaliano yoyote kwenye maandishi.

Ombi langu kwenu wadau: Msaidieni Lissu kifedha, hali na mali ili aweze kuendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu ufisadi unaoendelea, umuhimu wa katiba Mpya, Pamoja na Tume huru ya uchaguzi kwa wananchi.

Fuatilieni hotuba za Lissu na Mbowe. Tofauti ipo wazi na ni kubwa sana: wakati Mbowe anapoelezea mabadiliko aliyoyaleta Samia kama vile kumuachia huru na kuruhusu mikutano ya hadhara, Lissu anazungumzia ufisadi Pamoja na matatizo yanayo wakabili Watanzania.

Kwa kifupi Lissu anatoa elimu ya katiba Mpya na namna ya kuipata Tume huru ya uchaguzi. Wakati Mbowe anafanya siasa na kumsifia Rais Samia, bila kusahau Samia huyo huyo aliitangazia dunia kwamba Mbowe ni gaidi na kumuweka ndani takribani mwaka mzima.


Hii sehemu tu ndo imeharibu andiko lako :

"Kama alivyofanya miaka yote, 2015 aliuza chama kwa Lowassa. 2025 Mimi na wewe hatujui yeye na Samia wamepanga nini"

Kama ni miaka yote, ina maana asingeshtakiwa kwa ugaidi....

Peleka utapeli wako wa ccm..
 
Back
Top Bottom