Lissu anahujumiwa, CHADEMA imeuzwa

Lissu anahujumiwa, CHADEMA imeuzwa

Mbowe aliuheshimisha upinzani lakini sasa ni muharibifu.
Watetezi wake kwasasa ni wanufaika na vilazza...
Mbowe tumempoteza
Kwa wapuuzi wataona hivyo, tuonyeshe uharibifu wake.

Hata Mirembe huwaona wauguzi ndio vichaa si ajabu kuwaona watetezi ni vilaza, upinzani umetoka kwenye mateso kutoka kwa shetani Magufuli, kulikuwa hakuna nafasi ya kufanya siasa kwa upinzani. Lakini at least sasa ukiwaona wapinzani wanafanya siasa ni kwa sababu ya mazungumzo yao na uongozi wa CCM.

Kwa hiyo nyie wapuuzi mlitaka aendelee kukimbizana na polisi mitaani? Nyie ni wapumbavu wa CCM mnaochukizwa na nafasi ya upinzani kufanya siasa, leo rais amekubali kurejesha mchakato wa katiba mpya, kama siyo Mbowe na Samia kukubali kuzungumza tungefikia hapa? Wachawi nyie
 
Kwa wapuuzi wataona hivyo, tuonyeshe uharibifu wake.

Hata Mirembe huwaona wauguzi ndio vichaa si ajabu kuwaona watetezi ni vilaza, upinzani umetoka kwenye mateso kutoka kwa shetani Magufuli, kulikuwa hakuna nafasi ya kufanya siasa kwa upinzani. Lakini at least sasa ukiwaona wapinzani wanafanya siasa ni kwa sababu ya mazungumzo yao na uongozi wa CCM.

Kwa hiyo nyie wapuuzi mlitaka aendelee kukimbizana na polisi mitaani? Nyie ni wapumbav8u wa CCM mnaochukizwa na nafasi ya upinzani kufanya siasa, leo rais amekubali kurejesha mchakato wa katiba mpya, kama siyo Mbowe na Samia kukubali kuzungumza tungefikia hapa? Wachawi nyie
Unatumia nguvu nyingi na matusi.

1. Magufuli na Samia wote lao moja...kusalia madarakani tu na wote walihusika kumuweka ndani.

2. Samia kamtoa Mbowe ndani kwa shiniko na sio kwa kupenda

3. Kuna haja gani kumwabudu aliyekutesa?

4. Mbowe heshima ilipanda alipofungwa, alipaswa kuwa na msimano thabiti, kuipigania nchi na kuilinda misimano yake.

5. Ni aibu kusimama majukwaani kumsifia adui ni uchuro, uhayawni na usaliti.

6. Tuombe uzima 2025 upinzani ukiwa na sura hii ya Kimbowe tutapotezewa sana.
 
Unatumia nguvu nyingi na matusi.

1. Magufuli na Samia wote lao moja...kusalia madarakani tu na wote walihusika kumuweka ndani.

2. Samia kamtoa Mbowe ndani kwa shiniko na sio kwa kupenda

3. Kuna haja gani kumwabudu aliyekutesa?

4. Mbowe heshima ilipanda alipofungwa, alipaswa kuwa na msimano thabiti, kuipigania nchi na kuilinda misimano yake.

5. Ni aibu kusimama majukwaani kumsifia adui ni uchuro, uhayawni na usaliti.

6. Tuombe uzima 2025 upinzani ukiwa na sura hii ya Kimbowe tutapotezewa sana.

..Samia ana majeshi, usalama, mahakama, na bunge, nyuma yake.

..Chadema wanapaswa kuwa waangalifu ktk namna ya kuishi na kufanya siasa ktk utawala wa Samia.

..Mbowe kumsifia Samia kunatoa fursa kwa milango ya kufanya siasa na harakati kuwa wazi.

..Uzuri ni kwamba Mbowe hajawazuia wenzake kuukosoa na kueleza mapungufu ya utawala wa CCM na Samia Suluhu.

..Kitakachoiangusha Ccm ni ubovu wa uongozi na sera za chama hicho. Ccm haina majibu kwa matatizo yanayoikabili nchi yetu.
 
-Mbowe ameuza chama,(?)
-Mbowe amelamba asali,(?)
-Umefanya nao kazi muda mrefu,(?)
-Maridhiano ni kati ya Mbowe,CCM na Samia,(?)
-Una uhakika Mbowe ameuza chama,(?)
-Lakini,haujui,very emphatical way,HAUJUI,wamezungumza nini!
Mpaka hapo,unaonesha unaongozwa kwa hisia zako tu.Unaonesha ungependelea uone mambo kadiri ya mapenzi ya moyo wako.Acha unafiki.
Safari hii mpaka wafe na kisukari, kama hujui katika generation hii ya wanasiasa wa Tz hakuna mwanasiasa anayefikia upeo wa Mbowe. Huyu bwana anajua kuzichanga karata zake.
 
..Samia ana majeshi, usalama, mahakama, na bunge, nyuma yake.

..Chadema wanapaswa kuwa waangalifu ktk namna ya kuishi na kufanya siasa ktk utawala wa Samia.

..Mbowe kumsifia Samia kunatoa fursa kwa milango ya kufanya siasa na harakati kuwa wazi.

..Uzuri ni kwamba Mbowe hajawazuia wenzake kuukosoa na kueleza mapungufu ya utawala wa CCM na Samia Suluhu.

..Kitakachoiangusha Ccm ni ubovu wa uongozi na sera za chama hicho. Ccm haina majibu kwa matatizo yanayoikabili nchi yetu.
Ni wapi siasa za unafiki ziliwahi kushinda? Hata mkoloni alikuwa na jeshi na silaha lkn aliondolewa

Kitendo cha Mbowe kuwasifia watu wabovu kuna watu mioyo yao inamuelekea Samia wakati naye ni wale wale.

Bora asimtaje Samia.
Kitendo cha kumsifia kina madhara makubwa kuliko faida.
Naufahamu uwezo wako, huwa unajenga hoja bora lakini katika hili sikuungi mkono.
Mbowe kateleza
 
Nikiwa kama mwandishi wa Habari, nimefanya kazi kwa ukaribu na Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA. Nimefanya kazi na viongozi wake wakuu, Lissu, Mnyika, Mbowe, Lema na wengine wengi. Tangu Mbowe atoke gerezani, nimefanya naye kazi kwa ukaribu sana. Mbowe wa leo sio Mbowe wa 2020, ni mfanya biashara.

Ninachoweza kuwataarifu ni kwamba, kuna mnyukano mkubwa sana ndani ya CHADEMA. Bila kumung’unya maneno, nasema wazi pasipo shaka kwamba, Mbowe amelambishwa asali na kuna mengi nyuma ya pazia ambayo sisi hatuyajui kwa sababu maridhiano ni kati ya Mbowe, CCM na Samia. Ila Mbowe amekuwa “compromised”. Kama alivyofanya miaka yote, 2015 aliuza chama kwa Lowassa. 2025 Mimi na wewe hatujui yeye na Samia wamepanga nini!

Ila kwa waliomsikia leo akiwa Kigoma, Mbowe ameongea mengi sana, na kwa wajuzi wa mambo, watakubaliana na mimi kwamba, amemsifia Rais Samia kwa mabadiliko makubwa aliyoyafanya kuruhusu mikutano ya hadhara, kumwachia huru, na mengine mengi tu.

Kwa kifupi, Mbowe hataki kabisa mashambulizi ya moja kwa moja kwa Rais Samia. Kitendo ambacho kinazua maswali mengi yasiyokuwa na majibu ukizingatia Mbowe ni Mpinzani na hii inaleta ile dhana ya kulambishwa asali.

Kwa wanaofuatilia mitandao ya kijamii, nadhani mmeona Mwenyekiti wa CHADEMA akitumia Helicopter kwenye mikutano ya hadhara. Hii ni kitu kizuri kwenye jitihada zao za kukutana na wananchi.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Bw. Tundu Lissu kwa upande mwingine, hana gari ya kutumia (anakodi gari kila siku kwa laki 2) kwenye ziara yake. Analipa kutoka mfukoni mwake, chama hakimlipii. Hata mafuta chama hakimpi.

Gari aliyopewa na ndugu yake imeharibika na inahitaji kiasi cha Tsh. 7million kuifanyia matengenezo. Kwa maana hiyo, Lissu Pamoja na wasaidizi wake wanajitegemea kwenye kila kitu. Kuanzia malazi, chakula, magari, mafuta na ulinzi. Na hii ndio sababu kubwa inayo mlazimisha Lissu kuomba michango kwa wananchi.

Jiulizeni kwa nini Mwenyekiti Mbowe anaruka na chopa wakati Makamu wake Lissu anaomba michango kwenye mikutano ya hadhara? Huu mgawanyiko ni hatari kwa hiki chama kikubwa kinapojiandaa kushiriki uchaguzi wa 2025. Kitendo ambacho kinatulazimu kufikiria kuwa Mbowe na Samia wameweka mkakati mahususi kwa mwaka 2025.

Itakuwa vyema Zaidi kama CHADEMA inayopokea ruzuku kutoka serikalini, kumpa makamu wake uwezo wa kuzunguka kukutana na wananchi. Ujumbe wa Lissu kwa wananchi ni ujumbe unaoeleweka.

Hotuba za Lissu zinagusa sana watu wa matabaka yote na kama inawezekana CHADEMA wamuwezeshe Lissu kifedha. Na hata hiyo helicopter, ingekuwa Mwenyekiti siku mbili, na siku mbili zingine apewe Lissu.

Fatilieni mikutano ya mwenyekiti Mbowe na Lissu. Kuanzia maandalizi hadi “Coverage.” Timu ya Lissu haina “Advance Team” kutokea alipo anza Morogoro wala haina watu wa media. Kwa upande mwingine Team ya Mbowe ina advance Team kubwa, watu wa media zaidi ya sita na walinzi zaidi ya watano. Lissu ana mlinzi moja ambaye amepewa na Chama chake.

Kama ni hujuma dhidi ya Lissu ambayo inawezekana ndio lengo, wananchi kwa mamillioni tuungane kumsaidia Lissu. Chochote kitakachotokea dhidi ya Lissu, Mbowe na team yake, wawe tayari kutoa maelezo, kwani mwenendo wao dhidi ya Lissu hauridhishi. Sina chama, ila Lissu ndiye kiongozi wa kitaifa aliyebakia anayefikisha ujumbe unaostahili kwa wananchi.

Ni dhahiri Lissu kama wengine (Heche, Wenje, Msigwa, Lema, Mnyika) ameshayakataa maridhiano ukisikiliza hotuba zake. Akiwa Morogoro alieleza wazi kuwa maridhiano hayaeleweki na CCM wamekataa kuweka makubaliano yoyote kwenye maandishi.

Ombi langu kwenu wadau: Msaidieni Lissu kifedha, hali na mali ili aweze kuendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu ufisadi unaoendelea, umuhimu wa katiba Mpya, Pamoja na Tume huru ya uchaguzi kwa wananchi.

Fuatilieni hotuba za Lissu na Mbowe. Tofauti ipo wazi na ni kubwa sana: wakati Mbowe anapoelezea mabadiliko aliyoyaleta Samia kama vile kumuachia huru na kuruhusu mikutano ya hadhara, Lissu anazungumzia ufisadi Pamoja na matatizo yanayo wakabili Watanzania.

Kwa kifupi Lissu anatoa elimu ya katiba Mpya na namna ya kuipata Tume huru ya uchaguzi. Wakati Mbowe anafanya siasa na kumsifia Rais Samia, bila kusahau Samia huyo huyo aliitangazia dunia kwamba Mbowe ni gaidi na kumuweka ndani takribani mwaka mzima.
Unawasemea CHADEMA au ni mwanachadema? Kuna malalamiko ya CHADEMA au ni maoni yako?

Wewe ni sukumagang
Wewe ni mpumbavu
Hufurahishwi na hali ya maridhiano kati ya serikali ya CCM na chama kikuu cha upinzani nchini hali iliyochagizwa zaidi na dikteta Magufuli.

Hufurahishwi na mafanikio ya Mbowe maana sasa katiba mpya ambalo ni hitaji la watanzania mchakato wake utaendelea. Siasa za amani siyo za shari zimepatikana.

NYIE WAPUMBAVU MTASUBIRI SANA
 
Nikiwa kama mwandishi wa Habari, nimefanya kazi kwa ukaribu na Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA. Nimefanya kazi na viongozi wake wakuu, Lissu, Mnyika, Mbowe, Lema na wengine wengi. Tangu Mbowe atoke gerezani, nimefanya naye kazi kwa ukaribu sana. Mbowe wa leo sio Mbowe wa 2020, ni mfanya biashara.

Ninachoweza kuwataarifu ni kwamba, kuna mnyukano mkubwa sana ndani ya CHADEMA. Bila kumung’unya maneno, nasema wazi pasipo shaka kwamba, Mbowe amelambishwa asali na kuna mengi nyuma ya pazia ambayo sisi hatuyajui kwa sababu maridhiano ni kati ya Mbowe, CCM na Samia. Ila Mbowe amekuwa “compromised”. Kama alivyofanya miaka yote, 2015 aliuza chama kwa Lowassa. 2025 Mimi na wewe hatujui yeye na Samia wamepanga nini!

Ila kwa waliomsikia leo akiwa Kigoma, Mbowe ameongea mengi sana, na kwa wajuzi wa mambo, watakubaliana na mimi kwamba, amemsifia Rais Samia kwa mabadiliko makubwa aliyoyafanya kuruhusu mikutano ya hadhara, kumwachia huru, na mengine mengi tu.

Kwa kifupi, Mbowe hataki kabisa mashambulizi ya moja kwa moja kwa Rais Samia. Kitendo ambacho kinazua maswali mengi yasiyokuwa na majibu ukizingatia Mbowe ni Mpinzani na hii inaleta ile dhana ya kulambishwa asali.

Kwa wanaofuatilia mitandao ya kijamii, nadhani mmeona Mwenyekiti wa CHADEMA akitumia Helicopter kwenye mikutano ya hadhara. Hii ni kitu kizuri kwenye jitihada zao za kukutana na wananchi.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Bw. Tundu Lissu kwa upande mwingine, hana gari ya kutumia (anakodi gari kila siku kwa laki 2) kwenye ziara yake. Analipa kutoka mfukoni mwake, chama hakimlipii. Hata mafuta chama hakimpi.

Gari aliyopewa na ndugu yake imeharibika na inahitaji kiasi cha Tsh. 7million kuifanyia matengenezo. Kwa maana hiyo, Lissu Pamoja na wasaidizi wake wanajitegemea kwenye kila kitu. Kuanzia malazi, chakula, magari, mafuta na ulinzi. Na hii ndio sababu kubwa inayo mlazimisha Lissu kuomba michango kwa wananchi.

Jiulizeni kwa nini Mwenyekiti Mbowe anaruka na chopa wakati Makamu wake Lissu anaomba michango kwenye mikutano ya hadhara? Huu mgawanyiko ni hatari kwa hiki chama kikubwa kinapojiandaa kushiriki uchaguzi wa 2025. Kitendo ambacho kinatulazimu kufikiria kuwa Mbowe na Samia wameweka mkakati mahususi kwa mwaka 2025.

Itakuwa vyema Zaidi kama CHADEMA inayopokea ruzuku kutoka serikalini, kumpa makamu wake uwezo wa kuzunguka kukutana na wananchi. Ujumbe wa Lissu kwa wananchi ni ujumbe unaoeleweka.

Hotuba za Lissu zinagusa sana watu wa matabaka yote na kama inawezekana CHADEMA wamuwezeshe Lissu kifedha. Na hata hiyo helicopter, ingekuwa Mwenyekiti siku mbili, na siku mbili zingine apewe Lissu.

Fatilieni mikutano ya mwenyekiti Mbowe na Lissu. Kuanzia maandalizi hadi “Coverage.” Timu ya Lissu haina “Advance Team” kutokea alipo anza Morogoro wala haina watu wa media. Kwa upande mwingine Team ya Mbowe ina advance Team kubwa, watu wa media zaidi ya sita na walinzi zaidi ya watano. Lissu ana mlinzi moja ambaye amepewa na Chama chake.

Kama ni hujuma dhidi ya Lissu ambayo inawezekana ndio lengo, wananchi kwa mamillioni tuungane kumsaidia Lissu. Chochote kitakachotokea dhidi ya Lissu, Mbowe na team yake, wawe tayari kutoa maelezo, kwani mwenendo wao dhidi ya Lissu hauridhishi. Sina chama, ila Lissu ndiye kiongozi wa kitaifa aliyebakia anayefikisha ujumbe unaostahili kwa wananchi.

Ni dhahiri Lissu kama wengine (Heche, Wenje, Msigwa, Lema, Mnyika) ameshayakataa maridhiano ukisikiliza hotuba zake. Akiwa Morogoro alieleza wazi kuwa maridhiano hayaeleweki na CCM wamekataa kuweka makubaliano yoyote kwenye maandishi.

Ombi langu kwenu wadau: Msaidieni Lissu kifedha, hali na mali ili aweze kuendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu ufisadi unaoendelea, umuhimu wa katiba Mpya, Pamoja na Tume huru ya uchaguzi kwa wananchi.

Fuatilieni hotuba za Lissu na Mbowe. Tofauti ipo wazi na ni kubwa sana: wakati Mbowe anapoelezea mabadiliko aliyoyaleta Samia kama vile kumuachia huru na kuruhusu mikutano ya hadhara, Lissu anazungumzia ufisadi Pamoja na matatizo yanayo wakabili Watanzania.

Kwa kifupi Lissu anatoa elimu ya katiba Mpya na namna ya kuipata Tume huru ya uchaguzi. Wakati Mbowe anafanya siasa na kumsifia Rais Samia, bila kusahau Samia huyo huyo aliitangazia dunia kwamba Mbowe ni gaidi na kumuweka ndani takribani mwaka mzima.
Kama kwa sasa hakuna Wasiojulikana na Mbowe na Lissu wanafanya siasa zao kwa amani na utulivu basi wewe ni Mwongo sana na umetumwa na Shetani
 
Akili za Wana CCM ni za kipumbavu mno, wanasikiliza na kusapoti chochote anachoongea Mwenyekiti wao, leo hii ule upumbavu wa kujiita Wazalendo huuusikii Tena, Leo ule ujinga wa kuita Vibaraka wa mabeberu umeisha, ule upumbavu wa kuwaita Chadema Agents wa Ushoga umeisha, WHY? Kwasababu mwenyekiti hajatamka.

Huwa najiuliza, wale wapumbavu wa CCM waliosema hakuna mikutano ya siasa Hadi Uchaguzi mkuu tena ndio Hawa Hawa wanaoshangilia na kupost mabango ya kumsifia mwenyekiti wao kama mpenda suluhu.

Yaani watu wale wale waliosema Tanzania haihitaji Katiba mpya Wala tume huru ya Uchaguzi ndio Hawa Hawa wanashangilia na kupost kuhusu ujio wa katiba mpya na tume ya uchaguzi.

Watu wa namna hii ni watu WAPUMBAVU sana, wanaoweza kutumia Bunge kumsifia Rais. Pathetic
View attachment 2628270
Miccm baada ya kuzomeana kwenye misiba yao sasa leo ikawa inazomeana kuhusu ikulu nao a imechanganyikiwa🤣🤣
 
Unatumia nguvu nyingi na matusi.

1. Magufuli na Samia wote lao moja...kusalia madarakani tu na wote walihusika kumuweka ndani.

2. Samia kamtoa Mbowe ndani kwa shiniko na sio kwa kupenda

3. Kuna haja gani kumwabudu aliyekutesa?

4. Mbowe heshima ilipanda alipofungwa, alipaswa kuwa na msimano thabiti, kuipigania nchi na kuilinda misimano yake.

5. Ni aibu kusimama majukwaani kumsifia adui ni uchuro, uhayawni na usaliti.

6. Tuombe uzima 2025 upinzani ukiwa na sura hii ya Kimbowe tutapotezewa sana.
1. kwenye kusalia na kukaa madarakani ni kwa kila mwanasiasa siyo Samia na Magufuli pekee.
Siasa wakati wa Magufuli na jinsi muelekeo wa siasa chini ya Samia ni tofauti, haki ya kufanya siasa kwa upinzani wakati wa Magufuli na Samia ni sawa?

2. Frederick deni klerk aliyekuwa rais wa South Africa na kuhusika na kuachiwa kwa Nelson Mandela na uhuru wa weusi hakuwa kaburu kutoka chama tawala kilichokuwa kinapractice racism? Ilikuwa ni majira ikabidi amuachie Mandela, hata Samia kwa kusoma alama za nyakati akamuachia Mbowe na kutaka maridhiano. Ulitaka aendeleze uhasama wa Magufuli?

3. Hekima aliyonayo Mbowe siyo ujinga unaowatawala wahafidhina, Mbowe amefanya kwa maslahi ya siasa za Tanzania. Kwani kwa Mandela kuachiwa na Frederick der klerk hawakufanya kazi pamoja hadi kwenye uchaguzi ulioupa ushindi ANC? Alikuwa anamuabudu? Na kama asingefanya kazi pamoja uhuru wa SA ungepatikana?

4. Ingemsaidia nini kutotaka maridhiano? Kwa muafaka na sasa upinzani unafanya siasa tofauti na Magufuli, na mchakato wa katiba mpya umerudishwa, marekebisho ya tume ya uchaguzi na utendaji kazi wa polisi umebadilika je siyo maslahi ya taifa? Maslahi ya taifa ni kukimbizana na risasi za polisi na kuwekwa jela?

5. Huna ufahamu wa siasa fanya au zungumzia habari nyingine, kwenye siasa hakuna adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu.

6. Wewe siyo mpinzani 2025 kama katiba mpya na tume ya uchaguzi huru upinzani utakuwa vizuri, akili ya kimbowe ni ya wenye hekima siyo za kichawi. CCM mnajulikana kwa matendo yenu hampendi amani kazi mnayo
 
Sio siri Freeman amekuwa mamluki! After all he is a businessman, kwake yeye Chadema ni kitega uchumi!! He has been compromised and he's treating Chadema as his Kikoba!
Chadema should back up Tundu for prosperity!
Sukumagang na wapuuzi wa CCM itakuwa ni vigumu kumpenda Mbowe.

Walifanikiwa kuivuruga NCCR mageuzi kwa kumrubuni Mrema.

Wakafanikiwa kumtumia Ibrahim Lipumba kuivuruga CUF hadi wakahamia kwenye chama cha Zitto

Kwa Mbowe mmeshindwa sasa mnalalama
 
kuna siku humu humu wakati mbowe anaachiwa nilisema HAKUNA MSAMAHA WA BURE.niishie hapa
Bora uishie maana huna hoja zaidi ya conspiracy theories za kichawi, kama hakuna ushahidi bali wa kubuma na samia akapata njia ya kwenda mbele kwa kumuachia ili taifa lisonge mbele kuna tatizo gani? Mlikuwa wanufaika wa siasa za chuki?
 
Inaelekea wewe huijui chadema, na kwa hiyo huujui utofauti uliopo kati ya lisu na mbowe.
Kwa taarifa yako ni kwamba hiyo tofauti haikuanza leo, imekuwepo kwa muda mrefu sana, na sababu ni lisu kutaka kutumia influence yake kumpiku mwenyekiti wake, na mbowe kutaka kuonyesha who he is.
Btw, umewahi kuisikia ile hypothesis kuwa lisu alipigwa alipigwa risasi na wenzie ndani ya chadema, kama ilivyokuwa kwa Chacha Wangwe?
Lakini wewe pia umependelea upande mmoja, wa lisu, kwa hiyo tunajua upande gani umesimamia!
Kuna kitu unatumia siyo bure, lissu ashambuliwe na CHADEMA? Punguza hiyo kit itakutia kichaa
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Bw. Tundu Lissu kwa upande mwingine, hana gari ya kutumia (anakodi gari kila siku kwa laki 2) kwenye ziara yake. Analipa kutoka mfukoni mwake, chama hakimlipii. Hata mafuta chama hakimpi.
Wacha Bhwanaah! Unasema kweli?

Hayo mengine ya Mbowe kuwa 'compromised', sote tunajuwa, ila hili ulilotaja hapa..., sijui wewe kama ni mwandishi wa habari kweli, kama ulivyosema, sijui hili utaliweka hapa ukijua halina ukweli ndani yake, kwa sababu zipi hasa?

Labda uwe umetumwa kuleta mtafaruku ndani ya chama hicho!

Mkuu 'Mwingereza', sidhani kuwa nilishawahi kukusoma popote humu JF, ila leo ndio mwanzo..., na ninakusoma sana.

Ngoja nikamalizie ile sehemu niliyobakisha kwenye andiko lako.
 
Nikiwa kama mwandishi wa Habari, nimefanya kazi kwa ukaribu na Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA. Nimefanya kazi na viongozi wake wakuu, Lissu, Mnyika, Mbowe, Lema na wengine wengi. Tangu Mbowe atoke gerezani, nimefanya naye kazi kwa ukaribu sana. Mbowe wa leo sio Mbowe wa 2020, ni mfanya biashara.

Ninachoweza kuwataarifu ni kwamba, kuna mnyukano mkubwa sana ndani ya CHADEMA. Bila kumung’unya maneno, nasema wazi pasipo shaka kwamba, Mbowe amelambishwa asali na kuna mengi nyuma ya pazia ambayo sisi hatuyajui kwa sababu maridhiano ni kati ya Mbowe, CCM na Samia. Ila Mbowe amekuwa “compromised”. Kama alivyofanya miaka yote, 2015 aliuza chama kwa Lowassa. 2025 Mimi na wewe hatujui yeye na Samia wamepanga nini!

Ila kwa waliomsikia leo akiwa Kigoma, Mbowe ameongea mengi sana, na kwa wajuzi wa mambo, watakubaliana na mimi kwamba, amemsifia Rais Samia kwa mabadiliko makubwa aliyoyafanya kuruhusu mikutano ya hadhara, kumwachia huru, na mengine mengi tu.

Kwa kifupi, Mbowe hataki kabisa mashambulizi ya moja kwa moja kwa Rais Samia. Kitendo ambacho kinazua maswali mengi yasiyokuwa na majibu ukizingatia Mbowe ni Mpinzani na hii inaleta ile dhana ya kulambishwa asali.

Kwa wanaofuatilia mitandao ya kijamii, nadhani mmeona Mwenyekiti wa CHADEMA akitumia Helicopter kwenye mikutano ya hadhara. Hii ni kitu kizuri kwenye jitihada zao za kukutana na wananchi.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Bw. Tundu Lissu kwa upande mwingine, hana gari ya kutumia (anakodi gari kila siku kwa laki 2) kwenye ziara yake. Analipa kutoka mfukoni mwake, chama hakimlipii. Hata mafuta chama hakimpi.

Gari aliyopewa na ndugu yake imeharibika na inahitaji kiasi cha Tsh. 7million kuifanyia matengenezo. Kwa maana hiyo, Lissu Pamoja na wasaidizi wake wanajitegemea kwenye kila kitu. Kuanzia malazi, chakula, magari, mafuta na ulinzi. Na hii ndio sababu kubwa inayo mlazimisha Lissu kuomba michango kwa wananchi.

Jiulizeni kwa nini Mwenyekiti Mbowe anaruka na chopa wakati Makamu wake Lissu anaomba michango kwenye mikutano ya hadhara? Huu mgawanyiko ni hatari kwa hiki chama kikubwa kinapojiandaa kushiriki uchaguzi wa 2025. Kitendo ambacho kinatulazimu kufikiria kuwa Mbowe na Samia wameweka mkakati mahususi kwa mwaka 2025.

Itakuwa vyema Zaidi kama CHADEMA inayopokea ruzuku kutoka serikalini, kumpa makamu wake uwezo wa kuzunguka kukutana na wananchi. Ujumbe wa Lissu kwa wananchi ni ujumbe unaoeleweka.

Hotuba za Lissu zinagusa sana watu wa matabaka yote na kama inawezekana CHADEMA wamuwezeshe Lissu kifedha. Na hata hiyo helicopter, ingekuwa Mwenyekiti siku mbili, na siku mbili zingine apewe Lissu.

Fatilieni mikutano ya mwenyekiti Mbowe na Lissu. Kuanzia maandalizi hadi “Coverage.” Timu ya Lissu haina “Advance Team” kutokea alipo anza Morogoro wala haina watu wa media. Kwa upande mwingine Team ya Mbowe ina advance Team kubwa, watu wa media zaidi ya sita na walinzi zaidi ya watano. Lissu ana mlinzi moja ambaye amepewa na Chama chake.

Kama ni hujuma dhidi ya Lissu ambayo inawezekana ndio lengo, wananchi kwa mamillioni tuungane kumsaidia Lissu. Chochote kitakachotokea dhidi ya Lissu, Mbowe na team yake, wawe tayari kutoa maelezo, kwani mwenendo wao dhidi ya Lissu hauridhishi. Sina chama, ila Lissu ndiye kiongozi wa kitaifa aliyebakia anayefikisha ujumbe unaostahili kwa wananchi.

Ni dhahiri Lissu kama wengine (Heche, Wenje, Msigwa, Lema, Mnyika) ameshayakataa maridhiano ukisikiliza hotuba zake. Akiwa Morogoro alieleza wazi kuwa maridhiano hayaeleweki na CCM wamekataa kuweka makubaliano yoyote kwenye maandishi.

Ombi langu kwenu wadau: Msaidieni Lissu kifedha, hali na mali ili aweze kuendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu ufisadi unaoendelea, umuhimu wa katiba Mpya, Pamoja na Tume huru ya uchaguzi kwa wananchi.

Fuatilieni hotuba za Lissu na Mbowe. Tofauti ipo wazi na ni kubwa sana: wakati Mbowe anapoelezea mabadiliko aliyoyaleta Samia kama vile kumuachia huru na kuruhusu mikutano ya hadhara, Lissu anazungumzia ufisadi Pamoja na matatizo yanayo wakabili Watanzania.

Kwa kifupi Lissu anatoa elimu ya katiba Mpya na namna ya kuipata Tume huru ya uchaguzi. Wakati Mbowe anafanya siasa na kumsifia Rais Samia, bila kusahau Samia huyo huyo aliitangazia dunia kwamba Mbowe ni gaidi na kumuweka ndani takribani mwaka mzima.
Mtajuana wenyewe kwa wenyewe na nyumbu wenu!
 
Back
Top Bottom