USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Tundu Lisu amejitangazia kama ndio mgombea wa chadema katika uchaguzi mkuu ujao wakati bado hajakubaliwa na wenzake chamani.
Huko Chadem hakuna mtu aliwahi kugombea kwa vipindi viwili mfululizo,yeye amejitangaza kama nani ?
Je yupo juu ya chama ,juu ya wote ,yeye amekikamata chama
Vipi kuhusu demokrasia
USSR
Huko Chadem hakuna mtu aliwahi kugombea kwa vipindi viwili mfululizo,yeye amejitangaza kama nani ?
Je yupo juu ya chama ,juu ya wote ,yeye amekikamata chama
Vipi kuhusu demokrasia
USSR