Ujamaa ni mhimu
JF-Expert Member
- Sep 30, 2022
- 1,203
- 1,011
Kwani lisu huwa anagombea kupitia chama chenu baada ya kuchuana na nanii. Au yeye ndio mwenye sifa hiyo kupita wengineeHuna akili umeingizwa chaka na umeingia mzima mzima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani lisu huwa anagombea kupitia chama chenu baada ya kuchuana na nanii. Au yeye ndio mwenye sifa hiyo kupita wengineeHuna akili umeingizwa chaka na umeingia mzima mzima.
Ndiyo hapo nakuambia huna akili, wewe umemsikia akisema atagombea ?Kwani lisu huwa anagombea kupitia chama chenu baada ya kuchuana na nanii. Au yeye ndio mwenye sifa hiyo kupita wenginee
Hukumsikiliza vizuri, ni if wananchi wakitaka. Hajasema atagombea tu bila ridhaaTundu Lisu amejitangazia kama ndio mgombea wa chadema katika uchaguzi mkuu ujao wakati bado hajakubaliwa na wenzake chamani.
Huko Chadem hakuna mtu aliwahi kugombea kwa vipindi viwili mfululizo,yeye amejitangaza kama nani ?
Je yupo juu ya chama ,juu ya wote ,yeye amekikamata chama
Vipi kuhusu demokrasia
USSR