Yeye Samia anavyojitangaza ni kama nani huko ccm?Tundu Lisu amejitangazia kama ndio mgombea wa chadema katika uchaguzi mkuu ujao wakati bado hajakubaliwa na wenzake chamani.
Huko Chadem hakuna mtu aliwahi kugombea kwa vipindi viwili mfululizo,yeye amejitangaza kama nani ?
Je yupo juu ya chama ,juu ya wote ,yeye amekikamata chama
Vipi kuhusu demokrasia
USSR
Mbona nami nimejitangaza nitagombea ubunge Geita, kuonesha nia si tatizo tatizo ni uwezo wako kuchanganua mambo.Tundu Lisu amejitangazia kama ndio mgombea wa chadema katika uchaguzi mkuu ujao wakati bado hajakubaliwa na wenzake chamani.
Huko Chadem hakuna mtu aliwahi kugombea kwa vipindi viwili mfululizo,yeye amejitangaza kama nani ?
Je yupo juu ya chama ,juu ya wote ,yeye amekikamata chama
Vipi kuhusu demokrasia
USSR
Kama WEWE ☝🏿amejitangaza kama nani ?
Mkuu mbona alivyohojiwa ni tofauti na hitimisho ulilofikia?Tundu Lisu amejitangazia kama ndio mgombea wa chadema katika uchaguzi mkuu ujao wakati bado hajakubaliwa na wenzake chamani.
Huko Chadem hakuna mtu aliwahi kugombea kwa vipindi viwili mfululizo,yeye amejitangaza kama nani ?
Je yupo juu ya chama ,juu ya wote ,yeye amekikamata chama
Vipi kuhusu demokrasia
USSR
Na ndio hawa hawa wanajitangaza eti ni chama cha demokrasia. Ndio maana hata kiongozi wao hatokii.Tundu Lisu amejitangazia kama ndio mgombea wa chadema katika uchaguzi mkuu ujao wakati bado hajakubaliwa na wenzake chamani.
Huko Chadem hakuna mtu aliwahi kugombea kwa vipindi viwili mfululizo,yeye amejitangaza kama nani ?
Je yupo juu ya chama ,juu ya wote ,yeye amekikamata chama
Vipi kuhusu demokrasia
USSR
Mkuu nenda yutyubu,kaitazame video,mwenzako aliyeleta taarifa hii,ukute analipwa kukupotosha.Na ndio hawa hawa wanajitangaza eti ni chama cha demokrasia. Ndio maana hata kiongozi wao hatokii.
Mkisha kunywa mipombe yenu michafu mnajiropokea tu bila kuwa na taarifa sahihi. Tundu Lissu aliulizwa na waandishi wa habari kuwa jee atagombea urais 2025 naye akajibu kuwa kama chama chake kikimpitisha atagombea sasa hapo ndiyo kujitangazia kuwa atagombea? CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu.Tundu Lisu amejitangazia kama ndio mgombea wa chadema katika uchaguzi mkuu ujao wakati bado hajakubaliwa na wenzake chamani.
Huko Chadem hakuna mtu aliwahi kugombea kwa vipindi viwili mfululizo,yeye amejitangaza kama nani ?
Je yupo juu ya chama ,juu ya wote ,yeye amekikamata chama
Vipi kuhusu demokrasia
USSR
Huna akili umeingizwa chaka na umeingia mzima mzima.Na ndio hawa hawa wanajitangaza eti ni chama cha demokrasia. Ndio maana hata kiongozi wao hatokii.