Kamukhm
JF-Expert Member
- Aug 30, 2015
- 2,801
- 4,212
Inshaallah haya yamewekwa mikononi mwetu ili tuyatatue...asante.
..lakini pia siyo lazima tuwe na mfumo wa majimbo 100% kama wanavyouelezea CDM.
..vilevile siyo lazima tuwe na mfumo centralized 100% kama huu waliotuletea CCM.
..mimi kuna details ambazo zisipendi ktk mfumo uliopendekezwa na CDM, lakini nakubaliana na malengo makuu na vision ya mfumo huo.
..kwa upande wa CCM naona huu mfumo umepitwa na wakati, ni very un-democratic, na umelenga kukitumia chama tawala kuliko wananchi.
..actually, sipendi kuwaona CDM wakiingia madarakani na kuutumia mfumo huu dhidi ya CCM na vyama vingine.
..tuchukue mazuri yaliyoko ktk mfumo wa sasa, tuchanganye na mazuri yaliyoko ktk mfumo unaopendekezwa, ndipo tupate mfumo utakaotufaa sisi na vizazi vijavyo.
Kwa hitimisho lako nadhani tuko mahali salama. Tunapaswa kuzungumza zaidi na kwa uwazi.
Ahsante sana Mkuu.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app