Kiongozi asiyeheshimu viongozi wenzake huyo ni wa hivyo tu.Mbowe haogopi mtu ila anaheshimu demokrasia, na ana respect mamlaka ya viongozi wenzake kama katiba ya Chadema inavyotaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiongozi asiyeheshimu viongozi wenzake huyo ni wa hivyo tu.Mbowe haogopi mtu ila anaheshimu demokrasia, na ana respect mamlaka ya viongozi wenzake kama katiba ya Chadema inavyotaka
Haahaa Hilo ajibu wenje na NtobiKwahiyo wanamuachaga aongoze kikao cha kamati kuu mtu mropokaji mwenye mihemko??
Inashangaza sana. Ujue , sawa Lissu anaweza akashindwa ila kiukwel wapinzani wa Lissu hawajajipanga sawa sawa kumkabil kwa hoja ambazo mtu mwenye akili akisikiliza anaqeza akaelewa. This includes Mbowe, bado hajawa na hoja zenye mashiko kumkabil Lissu.Haahaa Hilo ajibu wenje na Ntobi
Mbowe atakuwa kamwachia makusudi akione cha moto ndani ya hicho kikaoKama anaweza kuendesha kikao bila mwenyekiti, basi apewe wenyekiti maana ana uzoefu.
Sana namkubali sana jamaa very maturedMbowe akiwa Clouds fm leo amesema kuna kikao cha kamati kuu CDM kinachoongozwa na makamu m/kiti Tundu Lissu muda huu pale makao makuu CDM, Mbowe ni mwanademokrasia sana sana, anaheshimu katiba ya chama na mamlaka ya viongozi wenzake, hata kama Lissu anamsema hovyo, lakini Mbowe anaonyesha political tolerance and maturity kubwa sana
Kategeshewa ili akaangwe na wajumbe wa kamati kuu na yeye kaingia kichwa kichwa atawakomaKwahiyo wanamuachaga aongoze kikao cha kamati kuu mtu mropokaji mwenye mihemko??
Mbona unaweweseka?Japo siipendi CDM ila hakuna wa kumshinda mbowe pale CDM... Lissu anaenda kufa kisiasa na kiroho very soon... Anyways endeleeni kugombana sisi tunaangalia mwisho wenu mbaya...
Mbona unaweweseka?Kategeshewa ili akaangwe na wajumbe wa kamati kuu na yeye kaingia kichwa kichwa atawakoma
Lisu hazimo kichwani
Kuropoka ndio msamiati mpya kwa mtu anayesema ukweli hivyo mwacheni lisu aendelee kuropokaLisu sifa yake kuu ni mihemuko na kuropoka
KIla kikao kina mwongozo, muhtasari na agenda za kikao. Na haya yoote sio ya mwenyekiti au makam, yeye ana moderate tu. So kinachojadiliwa kwenye kikao cha sasa (kama sio cha dharura) kinatoka kwenye "yatokanayo" na kikao kilichopita , hivyo agenda za leo nyingi zinakua waz. Halaf kuna mengineyo ,hapa ndio kuna hoja mpya mpya.Kategeshewa ili akaangwe na wajumbe wa kamati kuu na yeye kaingia kichwa kichwa atawakoma
Lisu hazimo kichwani
Hapana mkuu. Historia ya siasa za Tanzania haiwezi kumwondoa mbowe katika mapambano ya kupambania wanachokipambania. Na wanaosema kwamba mbowe amefanya kazi kubwa kweli wapo sahihi. Isipokuwa mbowe aliyeenda jela na aliyetoka jena na kujisalimisha kwa mama ni watu wawili tofauti. Hapo ndipo mbowe angesoma nyakati na alama zake na kuwaachia wengine. Sasa amekataa, hapo ndipo majina kibao ya dhihaka yakazuka. Mara wamwite Ayatola, mara museveni mara...FAM anatapa tapa na watu wa ndani wa chama wanamsifia kwa kumng'ong'a tu ila hawamkubali.
Wewe mbwiga kwani wakati Mbowe yuko gerezani nani alikuwa mwenyekiti? Wachumba wa mbowe mna ujinga mwingi sana.Mbowe atakuwa kamwachia makusudi akione cha moto ndani ya hicho kikao
Atakuwa kasema makamu mwenyekiti ndie ataongoza ili wamkaange barabsra bila yeye Mbowe kuwepo
Ili wamkaange barabara
Tutarqjie Lisu kutoka kwenye kikao kanywea kama piriton
Mbowe ni mwanasiasa anajua kucheza michezo ya kisiasa
Kwanza umeziona sera za mbowe?Inashangaza sana. Ujue , sawa Lissu anaweza akashindwa ila kiukwel wapinzani wa Lissu hawajajipanga sawa sawa kumkabil kwa hoja ambazo mtu mwenye akili akisikiliza anaqeza akaelewa. This includes Mbowe, bado hajawa na hoja zenye mashiko kumkabil Lissu.
Mfano ,kusema kuwa Lissu anaongoza kikao muda huu, ina sound kama amefanya hivyo kwa kuonewa huruma wakat huu ni wajibu wa kikatiba endapo mwenyekit hayupo, sasa why wanataka aichukulie advantage hii kitu??
Lisu asubiri kwenye mengineyo kwenye hicho kikao wajumbe wamuwasheMbona unaweweseka?
Tatizo nini? Sultani lazima apigwe chini
Nimecheka sana leo eti muongozaji wa wanaomhoji Mbowe ni Fatma aka DJ Fetty!!!Ndio mjue jamaa hawana mgogoro ila wametengeneza stori na wamefanikiwa kuteka media. Yaani sasa hivi ni Chadema kila kona hadi kichefuchefu. Ukifingua gazeti ni chadema, tv na redio chadema, social media chadema khaaa.
Mbowe is not democtatic as such; but very intelligent. Mbowe ni mtu mmoja ana hekima ambayo iko above average; kila siku huwa nasemaMbowe akiwa Clouds fm leo amesema kuna kikao cha kamati kuu CDM kinachoongozwa na makamu m/kiti Tundu Lissu muda huu pale makao makuu CDM, Mbowe ni mwanademokrasia sana sana, anaheshimu katiba ya chama na mamlaka ya viongozi wenzake, hata kama Lissu anamsema hovyo, lakini Mbowe anaonyesha political tolerance and maturity kubwa sana
2030 Nicole 😂Lissu bado ana mengi ya kujifunza toka kwa Mwamba.
Aanze tu kufikiri namna ya kuishi baada ya uchaguzi mkuu, maana tumeshasema anayechwapwa hakuna kuondoka.
Si amechagua kwenda kufanya kipindi, au alitaka iweje?Mbowe akiwa Clouds fm leo amesema kuna kikao cha kamati kuu CDM kinachoongozwa na makamu m/kiti Tundu Lissu muda huu pale makao makuu CDM, Mbowe ni mwanademokrasia sana sana, anaheshimu katiba ya chama na mamlaka ya viongozi wenzake, hata kama Lissu anamsema hovyo, lakini Mbowe anaonyesha political tolerance and maturity kubwa sana