Lissu anashinda Kwa kishindo, Wajumbe wamteua Mwakajoka kuwa Mwenyekiti kwa kishindo dhidi ya Dickson Matata

Lissu anashinda Kwa kishindo, Wajumbe wamteua Mwakajoka kuwa Mwenyekiti kwa kishindo dhidi ya Dickson Matata

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Oyaaa oyaaa ni aibu kwa Timu Mbowe...

Katibu Mkuu siakataka Wajumbe wapendekeze nani anakuwa mwenyekiti.

Timu Mbowe wakapendekeza DICKSON MATATA.

TIMU LISSU Wakapendekeza FRANK MWAKAJOKA.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?

Baada ya hapo, Si ikabidi Kura zipigwe ili Mwenyekiti wa Uchaguzi ajulikane.

Oyaaa oyaaaa Timu LISSU a.k.a MWAKAJOKA KASHINDA KWA KISHINDO CHA TRUMP.

Timu Mbowe matumbo joto, Kuna Mjumbe Mmoja wa Timu Mbowe akaanzisha Fujo, ikabidi KM MKUU MNYIKA aingilie Kati.
 
Oyaaa oyaaa ni aibukwa Timu Mbowe...

Katibu Mkuu siakataka Wajumbe wapendekeze nani anakua mwenyekiti.

Timu Mbowe wakapendekeza DICKSON MATATA.

TIMU LISSU Wakapendekeza FRANK MWAKAJOKA.

Baada ya hapo, Si ikabidi Kura zipigwe ili Mwenyekiti wa Uchaguzi ajulikane.

Oyaaa oyaaaa Timu LISSU a.k.a MWAKAJOKA KASHINDA KWA KISHINDO CHA TRUMP.

Timu Mbowe matumbo joto, Kuna Mjumbe Mmoja wa Timu Mbowe akaanzisha Fujo, ikabidi KM MKUU MNYIKA aingilie Kati.
Tumbo la moto la nini? Huu si uchaguzi? Kuna kushinda na kushindwa?

Amandla...
 
Oyaaa oyaaa ni aibukwa Timu Mbowe...

Katibu Mkuu siakataka Wajumbe wapendekeze nani anakua mwenyekiti.

Timu Mbowe wakapendekeza DICKSON MATATA.

TIMU LISSU Wakapendekeza FRANK MWAKAJOKA.

Baada ya hapo, Si ikabidi Kura zipigwe ili Mwenyekiti wa Uchaguzi ajulikane.

Oyaaa oyaaaa Timu LISSU a.k.a MWAKAJOKA KASHINDA KWA KISHINDO CHA TRUMP.

Timu Mbowe matumbo joto, Kuna Mjumbe Mmoja wa Timu Mbowe akaanzisha Fujo, ikabidi KM MKUU MNYIKA aingilie Kati.
Dickson Matata sitamlaum sana ameteulkwa kama Wakili kwa sifa yake.
 
1000228167.jpg
 
Back
Top Bottom