Lissu anataka kugombea Urais na Mbowe inasemekana anataka kugombea Uenyekiti na Urais. Hawa watu dola iingilie kati

Lissu anataka kugombea Urais na Mbowe inasemekana anataka kugombea Uenyekiti na Urais. Hawa watu dola iingilie kati

Ndugu waheshimiwa mabibi na bwana Mimi Kama Kikwava nimeona yafuatayo kwenye siasa za chadema

1. Kuna mazingira ya kimgogolo Kati ya mwenyekiti wa chadema na makam wake ambapo wao wenyewe hawataki kuyaweka wazi.

Tunaiomba serikali iwasuluhishe hawa watu wanakoenda siyo kwenyewe

Mfano ifuatayo ni ishara ya migogo ndani ya chadema

(a) Uongoz wa CDM ulitangaza kuwa kwenye oparation ya Mbowe Lissu ataambatana na mwenyekiti wake kwenye mikutano yake mpaka mwsho lakini haikuwa hivyo Lissu alikacha mikutano ya Mbowe na kwenda ughaibun akimuacha Mbowe pekee yake (Disunity)

(b) Mmoja akiwa anafanya mikutano mwingine huwa kimya mfano kipindi Lissu yupo Singida mbowe alikuwa Kama hayupo na Mbowe alipoanza mikutano Lissu nae akatimuka Hawa watu wanakimbiana. (Conflict)

(c) Lissu ni kiongozi mkubwa wa CDM lakini bado anataka Chadema wajibu hoja za msigwa hii inamaana Lissu anajiondoa kwenye lawama (No teamwork)

(d) Lissu ametangaza kugombea Urais na Mbowe nae inasemekana anataka kugombea Urais pamoja na ukwenyekiti ( Uchu wa madaraka).

(e) mmoja anaikataa Rushwa mwingine haraka kuweka wazi msimamo wake kwenye rushwa (no anti corruption)

Ushauri wangu; Tundu A lissu hama chadema kabla hujapata Aibu ya Kufukuzwa, Kuna kila ishara hutakiwi huko
Hivi Mbowe kasoma wapi?
 
Tangaza nia ya kugombea uenyekiti uone kama sumu inaonjwa kwa ulimi.
Unamkumbuka Chacha Wangwe (rip)?
Hawa vijana wa juzi tu ,hawana historia ya mzee mbowe na chadema kwa ujumla ,sidhani kama hata wanajua kuwa mzee mbowe alishagombeaga Urais wa JMT na kupata kura laki saba tu .Hizo kura laki saba alipata pale kilimanjaro na Arusha.
 
Ndugu waheshimiwa mabibi na bwana Mimi Kama Kikwava nimeona yafuatayo kwenye siasa za chadema

1. Kuna mazingira ya kimgogolo Kati ya mwenyekiti wa chadema na makam wake ambapo wao wenyewe hawataki kuyaweka wazi.

Tunaiomba serikali iwasuluhishe hawa watu wanakoenda siyo kwenyewe

Mfano ifuatayo ni ishara ya migogo ndani ya chadema

(a) Uongoz wa CDM ulitangaza kuwa kwenye oparation ya Mbowe Lissu ataambatana na mwenyekiti wake kwenye mikutano yake mpaka mwsho lakini haikuwa hivyo Lissu alikacha mikutano ya Mbowe na kwenda ughaibun akimuacha Mbowe pekee yake (Disunity)

(b) Mmoja akiwa anafanya mikutano mwingine huwa kimya mfano kipindi Lissu yupo Singida mbowe alikuwa Kama hayupo na Mbowe alipoanza mikutano Lissu nae akatimuka Hawa watu wanakimbiana. (Conflict)

(c) Lissu ni kiongozi mkubwa wa CDM lakini bado anataka Chadema wajibu hoja za msigwa hii inamaana Lissu anajiondoa kwenye lawama (No teamwork)

(d) Lissu ametangaza kugombea Urais na Mbowe nae inasemekana anataka kugombea Urais pamoja na ukwenyekiti ( Uchu wa madaraka).

(e) mmoja anaikataa Rushwa mwingine haraka kuweka wazi msimamo wake kwenye rushwa (no anti corruption)

Ushauri wangu; Tundu A lissu hama chadema kabla hujapata Aibu ya Kufukuzwa, Kuna kila ishara hutakiwi huko
Napingana na wewe mf mmoja tu wao kuonesha nia ya kugombea urais sio uchu wa madaraka ni uhuru na demokrasia ndani ya chana tofauti na chama chako ambapo uhuru huo haupo au unabinywa
 
Nawe si unaropoka tu kama kichaaa Lissu

..umesema Lissu ni wakala wa mabeberu.

..nimeuliza kama Mama Abduli ni wakala wa Waarabu.

..Nimeuliza. Sijasema kama alivyofanya wewe.
 
Hilo liko wazi kabisa. Pesa za mikutano yake hapewi na chadema, anatoa kwa wazungu, akina rob amster.

..fedha za kununua pikipiki Mama Abduli ametoa wapi? Au kuna mali za Watanganyika ameuza, au kuweka rehani?
 
Ndugu waheshimiwa mabibi na bwana Mimi Kama Kikwava nimeona yafuatayo kwenye siasa za chadema

1. Kuna mazingira ya kimgogolo Kati ya mwenyekiti wa chadema na makam wake ambapo wao wenyewe hawataki kuyaweka wazi.

Tunaiomba serikali iwasuluhishe hawa watu wanakoenda siyo kwenyewe

Mfano ifuatayo ni ishara ya migogo ndani ya chadema

(a) Uongoz wa CDM ulitangaza kuwa kwenye oparation ya Mbowe Lissu ataambatana na mwenyekiti wake kwenye mikutano yake mpaka mwsho lakini haikuwa hivyo Lissu alikacha mikutano ya Mbowe na kwenda ughaibun akimuacha Mbowe pekee yake (Disunity)

(b) Mmoja akiwa anafanya mikutano mwingine huwa kimya mfano kipindi Lissu yupo Singida mbowe alikuwa Kama hayupo na Mbowe alipoanza mikutano Lissu nae akatimuka Hawa watu wanakimbiana. (Conflict)

(c) Lissu ni kiongozi mkubwa wa CDM lakini bado anataka Chadema wajibu hoja za msigwa hii inamaana Lissu anajiondoa kwenye lawama (No teamwork)

(d) Lissu ametangaza kugombea Urais na Mbowe nae inasemekana anataka kugombea Urais pamoja na ukwenyekiti ( Uchu wa madaraka).

(e) mmoja anaikataa Rushwa mwingine haraka kuweka wazi msimamo wake kwenye rushwa (no anti corruption)

Ushauri wangu; Tundu A lissu hama chadema kabla hujapata Aibu ya Kufukuzwa, Kuna kila ishara hutakiwi huko
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu
 
Back
Top Bottom