Nawe si unaropoka tu kama kichaaa Lissu..Je, ni kweli kwamba Mama Abduli ni wakala wa Waarabu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawe si unaropoka tu kama kichaaa Lissu..Je, ni kweli kwamba Mama Abduli ni wakala wa Waarabu?
Natoa FactsNaona anamchokoza mbowe
Ulikuwa hujui aisee?Kumbe lissu ni pandikizi la mabeberu duh
Tangaza nia ya kugombea uenyekiti uone kama sumu inaonjwa kwa ulimi.Nipe clip ambayo Mbowe alisema ana mpango wa kugombea uraisi, ndipo upate muda wa kuwagombanisha!
Kweli. Mtu mpya kama Madude Nyagali 😅😅Mgombea urais wa chadema ni vyema ikawa sura mpya.
Hivi Mbowe kasoma wapi?Ndugu waheshimiwa mabibi na bwana Mimi Kama Kikwava nimeona yafuatayo kwenye siasa za chadema
1. Kuna mazingira ya kimgogolo Kati ya mwenyekiti wa chadema na makam wake ambapo wao wenyewe hawataki kuyaweka wazi.
Tunaiomba serikali iwasuluhishe hawa watu wanakoenda siyo kwenyewe
Mfano ifuatayo ni ishara ya migogo ndani ya chadema
(a) Uongoz wa CDM ulitangaza kuwa kwenye oparation ya Mbowe Lissu ataambatana na mwenyekiti wake kwenye mikutano yake mpaka mwsho lakini haikuwa hivyo Lissu alikacha mikutano ya Mbowe na kwenda ughaibun akimuacha Mbowe pekee yake (Disunity)
(b) Mmoja akiwa anafanya mikutano mwingine huwa kimya mfano kipindi Lissu yupo Singida mbowe alikuwa Kama hayupo na Mbowe alipoanza mikutano Lissu nae akatimuka Hawa watu wanakimbiana. (Conflict)
(c) Lissu ni kiongozi mkubwa wa CDM lakini bado anataka Chadema wajibu hoja za msigwa hii inamaana Lissu anajiondoa kwenye lawama (No teamwork)
(d) Lissu ametangaza kugombea Urais na Mbowe nae inasemekana anataka kugombea Urais pamoja na ukwenyekiti ( Uchu wa madaraka).
(e) mmoja anaikataa Rushwa mwingine haraka kuweka wazi msimamo wake kwenye rushwa (no anti corruption)
Ushauri wangu; Tundu A lissu hama chadema kabla hujapata Aibu ya Kufukuzwa, Kuna kila ishara hutakiwi huko
Hawa vijana wa juzi tu ,hawana historia ya mzee mbowe na chadema kwa ujumla ,sidhani kama hata wanajua kuwa mzee mbowe alishagombeaga Urais wa JMT na kupata kura laki saba tu .Hizo kura laki saba alipata pale kilimanjaro na Arusha.Tangaza nia ya kugombea uenyekiti uone kama sumu inaonjwa kwa ulimi.
Unamkumbuka Chacha Wangwe (rip)?
kimgogolo
Napingana na wewe mf mmoja tu wao kuonesha nia ya kugombea urais sio uchu wa madaraka ni uhuru na demokrasia ndani ya chana tofauti na chama chako ambapo uhuru huo haupo au unabinywaNdugu waheshimiwa mabibi na bwana Mimi Kama Kikwava nimeona yafuatayo kwenye siasa za chadema
1. Kuna mazingira ya kimgogolo Kati ya mwenyekiti wa chadema na makam wake ambapo wao wenyewe hawataki kuyaweka wazi.
Tunaiomba serikali iwasuluhishe hawa watu wanakoenda siyo kwenyewe
Mfano ifuatayo ni ishara ya migogo ndani ya chadema
(a) Uongoz wa CDM ulitangaza kuwa kwenye oparation ya Mbowe Lissu ataambatana na mwenyekiti wake kwenye mikutano yake mpaka mwsho lakini haikuwa hivyo Lissu alikacha mikutano ya Mbowe na kwenda ughaibun akimuacha Mbowe pekee yake (Disunity)
(b) Mmoja akiwa anafanya mikutano mwingine huwa kimya mfano kipindi Lissu yupo Singida mbowe alikuwa Kama hayupo na Mbowe alipoanza mikutano Lissu nae akatimuka Hawa watu wanakimbiana. (Conflict)
(c) Lissu ni kiongozi mkubwa wa CDM lakini bado anataka Chadema wajibu hoja za msigwa hii inamaana Lissu anajiondoa kwenye lawama (No teamwork)
(d) Lissu ametangaza kugombea Urais na Mbowe nae inasemekana anataka kugombea Urais pamoja na ukwenyekiti ( Uchu wa madaraka).
(e) mmoja anaikataa Rushwa mwingine haraka kuweka wazi msimamo wake kwenye rushwa (no anti corruption)
Ushauri wangu; Tundu A lissu hama chadema kabla hujapata Aibu ya Kufukuzwa, Kuna kila ishara hutakiwi huko
Nawe si unaropoka tu kama kichaaa Lissu
Hilo liko wazi kabisa. Pesa za mikutano yake hapewi na chadema, anatoa kwa wazungu, akina rob amster.Kumbe lissu ni pandikizi la mabeberu duh
Hilo liko wazi kabisa. Pesa za mikutano yake hapewi na chadema, anatoa kwa wazungu, akina rob amster.
Unaniuliza mimi tena? Wewe unatejua si ndiye utuambie...fedha za kununua pikipiki Mama Abduli ametoa wapi? Au kuna mali za Watanganyika ameuza, au kuweka rehani?
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavuNdugu waheshimiwa mabibi na bwana Mimi Kama Kikwava nimeona yafuatayo kwenye siasa za chadema
1. Kuna mazingira ya kimgogolo Kati ya mwenyekiti wa chadema na makam wake ambapo wao wenyewe hawataki kuyaweka wazi.
Tunaiomba serikali iwasuluhishe hawa watu wanakoenda siyo kwenyewe
Mfano ifuatayo ni ishara ya migogo ndani ya chadema
(a) Uongoz wa CDM ulitangaza kuwa kwenye oparation ya Mbowe Lissu ataambatana na mwenyekiti wake kwenye mikutano yake mpaka mwsho lakini haikuwa hivyo Lissu alikacha mikutano ya Mbowe na kwenda ughaibun akimuacha Mbowe pekee yake (Disunity)
(b) Mmoja akiwa anafanya mikutano mwingine huwa kimya mfano kipindi Lissu yupo Singida mbowe alikuwa Kama hayupo na Mbowe alipoanza mikutano Lissu nae akatimuka Hawa watu wanakimbiana. (Conflict)
(c) Lissu ni kiongozi mkubwa wa CDM lakini bado anataka Chadema wajibu hoja za msigwa hii inamaana Lissu anajiondoa kwenye lawama (No teamwork)
(d) Lissu ametangaza kugombea Urais na Mbowe nae inasemekana anataka kugombea Urais pamoja na ukwenyekiti ( Uchu wa madaraka).
(e) mmoja anaikataa Rushwa mwingine haraka kuweka wazi msimamo wake kwenye rushwa (no anti corruption)
Ushauri wangu; Tundu A lissu hama chadema kabla hujapata Aibu ya Kufukuzwa, Kuna kila ishara hutakiwi huko