Lissu anataka kugombea Urais na Mbowe inasemekana anataka kugombea Uenyekiti na Urais. Hawa watu dola iingilie kati

Lissu anataka kugombea Urais na Mbowe inasemekana anataka kugombea Uenyekiti na Urais. Hawa watu dola iingilie kati

Kila chama kina utaratibu wake watayamalizana wenyewe ndani ya chama


Kama ilivyo kwa ccm wanadai wakati wa kupitisha mgombea watatumia staili ya demokrati kumshawishi Biden wao asigombee tena

Sisi wananchi hatuna tunasubiri yoyote
Watayemleta
Cdm ili apambee na hariss kamara wa ccm tutampigia kura
Hawa sidhan Kama wataweza kuyamaliza maana naona mafahar wawili na wote Wana uchu wa madaraka
 
kazi yako ni kumreport ili achukuliwe hatua sio kumtisha.

Humu yanaandikwa mengi kuhusu Serikali,CCM na watu binafsi je yote huwa yana ushahidi.
Mm nawashauri wasuluhishwe hawa watu Sasa ananireport kivipi kwani haoni migogolo ipo wazi kabisa, huyu Erythrocyte anadharau Sana amekazania mm ni maskini Kwan ameniomba hela ya matumizi nikamnyima after all umaskini wangu unamhusu nini, NARUDIA aache upumbavu wake
 

Attachments

  • 20240506_091732.jpg
    20240506_091732.jpg
    88.9 KB · Views: 2
  • qa7zpp.jpg
    qa7zpp.jpg
    66.1 KB · Views: 2
Ndugu waheshimiwa mabibi na bwana Mimi Kama Kikwava nimeona yafuatayo kwenye siasa za chadema

1. Kuna mazingira ya kimgogolo Kati ya mwenyekiti wa chadema na makam wake ambapo wao wenyewe hawataki kuyaweka wazi.

Tunaiomba serikali iwasuluhishe hawa watu wanakoenda siyo kwenyewe

Mfano ifuatayo ni ishara ya migogo ndani ya chadema

(a) Uongoz wa CDM ulitangaza kuwa kwenye oparation ya Mbowe Lissu ataambatana na mwenyekiti wake kwenye mikutano yake mpaka mwsho lakini haikuwa hivyo Lissu alikacha mikutano ya Mbowe na kwenda ughaibun akimuacha Mbowe pekee yake (Disunity)

(b) Mmoja akiwa anafanya mikutano mwingine huwa kimya mfano kipindi Lissu yupo Singida mbowe alikuwa Kama hayupo na Mbowe alipoanza mikutano Lissu nae akatimuka Hawa watu wanakimbiana. (Conflict)

(c) Lissu ni kiongozi mkubwa wa CDM lakini bado anataka Chadema wajibu hoja za msigwa hii inamaana Lissu anajiondoa kwenye lawama (No teamwork)

(d) Lissu ametangaza kugombea Urais na Mbowe nae inasemekana anataka kugombea Urais pamoja na ukwenyekiti ( Uchu wa madaraka).

(e) mmoja anaikataa Rushwa mwingine hataki kuweka wazi msimamo wake kwenye rushwa (no anti corruption)

Hawa watu dola iingilie kati wasije wakagombaniana madaraka​

Ushauri wangu; Tundu A lissu hama chadema kabla hujapata Aibu ya Kufukuzwa, Kuna kila ishara hutakiwi huko
AMEKUSIKIA ATAHAMIA CCM
 
(d) Lissu ametangaza kugombea Urais na Mbowe nae inasemekana anataka kugombea Urais pamoja na ukwenyekiti ( Uchu wa madaraka).

(e) mmoja anaikataa Rushwa mwingine hataki kuweka wazi msimamo wake kwenye rushwa (no anti corruption)

Hawa watu dola iingilie kati wasije wakagombaniana madaraka​

Ushauri wangu; Tundu A lissu hama chadema kabla hujapata Aibu ya Kufukuzwa, Kuna kila ishara hutakiwi huko
Walishakubalia kuwa: Mbowe agombee Nafasi ya M/kiti Taifa na Lissu atagombea U-Rais Tz. Ndio maana Lissu kawa wazi kabisa kuwa hatagombea nafasi ya Uenyekiti Taifa, lakini kaweka wazi kabisa kuwa atagombea U-Rais TZ- 2025.
 
Walishakubalia kuwa: Mbowe agombee Nafasi ya M/kiti Taifa na Lissu atagombea U-Rais Tz. Ndio maana Lissu kawa wazi kabisa kuwa hatagombea nafasi ya Uenyekiti Taifa, lakini kaweka wazi kabisa kuwa atagombea U-Rais TZ- 2025.
Walikubaliana wapi na lini, je! Kamati kuu inalijua hilo Jambo?
 
Back
Top Bottom