Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Kujadili sawa lakini si kuwapangia, ww kama hata hujui kodi kiasi gani unachangia serikalini , unawezaje kuwapangia cha kufanya? Tuliza komwe broCHADEMA wanapokea Ruzuku kwa hiyo kila mtanzania ana haki na uhuru wa kujadili mambo ya kisiasa ya vyama vyote vyenye usajili na vinavyotambulika na kuendeshwa kwa mujibu wa sheria
Ndugu zangu Watanzania,
Ukiangalia aina ya watu wanaomuunga mkono lissu unabakia unasikitika,kushangaa na kucheka sana.ni watu wababaishaji,wasiojitambua ,wasio na ushawishi ndani ya chama na nje ya chama. Ni watu wenye taswira Mbaya sana kwa jamii na wasiokubalika wala kuungwa mkono kwa matendo na kauli zao.
Ni watu ambao hawawezi kukaa na mwenye akili Timamu na anayejitambua wakafanya majadiliano au mashauriano ya jambo fulani. Ni watu ambao hawaeleweki wala kuelewa kitu chochote kile .hawana adabu wala staha wala hekima ya midomo yao.ni watu ambao wakifungua vinywa vyao unapata aibu ya kuendelea kusikiliza wanachozungumza.
Waswahili wanasema ya kuwa ukitaka kumjua mtu vizuri basi angalia watu waliomzunguka au watu wanaomuunga mkono au watu anaoshinda nao na kushirikiana nao. Kwa sababu ndege wafananao huruka pamoja. Mtu mwenye hekima ,busara ,staha na mwenye ushawishi kwa watu ni lazima utaona akizungukwa na watu wenye akili ,hekima,busara ,maarifa,ushawishi ,makini na wenye utulivu.
Lakini kinyume chake ni kuwa ni rahisi sana kukuta mtu aliyekosa hekima,adabu,ushawishi ,biashara ,akili,kujitambua akizungukwa na watu wa Hovyo hovyo wababaishaji,wenye mihemuko ,watukana matusi utafikiri vichaa au wendawazimu au wagonjwa wa akili.
Ni ngumu kukuta Mchungaji na Mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu akiwa amezungukwa na kuambatana muda wote na walevi,wavuta bangi ,watumiaji wa madawa ya kulevya ,wahuni wahuni na watu wa Hovyo hovyo.kwa sababu hata hao walevi na wahuni wahuni na wavuta bangi ni lazima waogope hata kumsogelea kwa sababu ya tabia zao mbaya na mienendo yao mibaya ambayo wanajua ni aibu kwa jamii na mbele za watu waliostaarabika.hata Nnzi hawakai pasafi bali hufuata penye uvundo na uchafu.
Kwa hiyo Lissu alitakiwa kujitathmini na kujiuliza hata kabla ya kuingia kwenye sanduku la kura kwamba ni kwanini hauungwi mkono na viongozi wenzake wenye ushawishi ndani ya chama? Kwanini wote wanamkimbia na kuogopa hata kujinajibisha au kujihusisha naye au kuonekana naye hadharani?
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Labda Wewe ndiye hujuwi kiasi cha kodi unacholipa.Kujadili sawa lakini si kuwapangia, ww kama hata hujui kodi kiasi gani unachangia serikalini , unawezaje kuwapangia cha kufanya? Tuliza komwe bro
Kazi yetu ni kuzungumza ukweli tu bila kujali uchungu wa ukweli huo kwenu.Ni ajabu sana chawa waandamizi wa ccm Lucas Mwashambwa , Tlaatlaah na chiembe wamekuwa vocalists wa Mbowe, wanamtetea Mbowe utadhani anawalipa.
Kila uchwao wanapandisha nyuzi za kumpinga Lissu, huko ccm hamtosheki nako?
Hujajibu swali kijana, umeulizwa huna jibu una mbwela mbwela.Labda Wewe ndiye hujuwi kiasi cha kodi unacholipa.
Lisu anakukojoza Sana ndio maana haipiti muda bila kumuanzishia mada, shida ni kwamba yeye Hana time na bwabwa kama weweNdugu zangu Watanzania,
Ukiangalia aina ya watu wanaomuunga mkono lissu unabakia unasikitika,kushangaa na kucheka sana.ni watu wababaishaji,wasiojitambua ,wasio na ushawishi ndani ya chama na nje ya chama. Ni watu wenye taswira Mbaya sana kwa jamii na wasiokubalika wala kuungwa mkono kwa matendo na kauli zao.
Ni watu ambao hawawezi kukaa na mwenye akili Timamu na anayejitambua wakafanya majadiliano au mashauriano ya jambo fulani. Ni watu ambao hawaeleweki wala kuelewa kitu chochote kile .hawana adabu wala staha wala hekima ya midomo yao.ni watu ambao wakifungua vinywa vyao unapata aibu ya kuendelea kusikiliza wanachozungumza.
Waswahili wanasema ya kuwa ukitaka kumjua mtu vizuri basi angalia watu waliomzunguka au watu wanaomuunga mkono au watu anaoshinda nao na kushirikiana nao. Kwa sababu ndege wafananao huruka pamoja. Mtu mwenye hekima ,busara ,staha na mwenye ushawishi kwa watu ni lazima utaona akizungukwa na watu wenye akili ,hekima,busara ,maarifa,ushawishi ,makini na wenye utulivu.
Lakini kinyume chake ni kuwa ni rahisi sana kukuta mtu aliyekosa hekima,adabu,ushawishi ,biashara ,akili,kujitambua akizungukwa na watu wa Hovyo hovyo wababaishaji,wenye mihemuko ,watukana matusi utafikiri vichaa au wendawazimu au wagonjwa wa akili.
Ni ngumu kukuta Mchungaji na Mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu akiwa amezungukwa na kuambatana muda wote na walevi,wavuta bangi ,watumiaji wa madawa ya kulevya ,wahuni wahuni na watu wa Hovyo hovyo.kwa sababu hata hao walevi na wahuni wahuni na wavuta bangi ni lazima waogope hata kumsogelea kwa sababu ya tabia zao mbaya na mienendo yao mibaya ambayo wanajua ni aibu kwa jamii na mbele za watu waliostaarabika.hata Nnzi hawakai pasafi bali hufuata penye uvundo na uchafu.
Kwa hiyo Lissu alitakiwa kujitathmini na kujiuliza hata kabla ya kuingia kwenye sanduku la kura kwamba ni kwanini hauungwi mkono na viongozi wenzake wenye ushawishi ndani ya chama? Kwanini wote wanamkimbia na kuogopa hata kujinajibisha au kujihusisha naye au kuonekana naye hadharani?
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwani wakati huu wameambulia vingapi hivyo vitiAlafu aliposhindwa urais na kuambulia mbunge mmoja ulilalamika ameibiwa kura.
Lissu kama anajiona yeye ndiye anaibeba CHADEMA basi ajaribu kuondoka leo CHADEMA aone kama kuna mtu hata mmoja atakaye mfuata nyuma.Kuna watu wanafanya Maria space na kumyweshwa sumu miaka na miaka wanasema chadema akiondoka lissu kunabaki hamna kitu wtf bro .Chama kinaonekana umekikuta mikononi mwa watu unadunda unavaaa tshirt unaonekana mjanja town alafu hawa watu unawaona ni wajinga waliojenga chama kisa kauli za mtu mmoja.Unatukana Viongozi Ambao wanye dhamana mpaka kikafika hapo.
Naona umepaniki mpaka umechanganyikiwa.lakini mimi naendelea kutwanga na kushusha NONDO nzito nzito tu mpaka uchanganyikiwe kabisa.Lisu anakukojoza Sana ndio maana haipiti muda bila kumuanzishia mada, shida ni kwamba yeye Hana time na bwabwa kama wewe
Amekurupuka sana tena sana kutaka kugombea nafasi ambayo hana uwezo nayo.Lissu ni adui wa demokrasia na kirusi ndani ya chama rafiki CHADEMA
Machawa ni watu wa hovyo sana, namlaumu sana Magufuli kwa kuasisi huu upumbavu...Kazi yetu ni kuzungumza ukweli tu bila kujali uchungu wa ukweli huo kwenu.
Siyo kila mtu ni chawa.sisi ni wasema kweli na wazalendo kwa Taifa letu.Machawa ni watu wa hovyo sana, namlaumu sana Magufuli kwa kuasisi huu upumbavu...
Gentleman you are wrong,Ni ajabu sana chawa waandamizi wa ccm Lucas Mwashambwa , Tlaatlaah na chiembe wamekuwa vocalists wa Mbowe, wanamtetea Mbowe utadhani anawalipa.
Kila uchwao wanapandisha nyuzi za kumpinga Lissu, huko ccm hamtosheki nako?
Leo ni chama rafiki na sio saccos kama mnavyosema hapo lumumba? Leo ccm ndio wanakuwa na huruma na chadema.Lissu ni adui wa demokrasia na kirusi ndani ya chama rafiki CHADEMA
Wewe ni mjinga. PeriodNaona umepaniki mpaka umechanganyikiwa.lakini mimi naendelea kutwanga na kushusha NONDO nzito nzito tu mpaka uchanganyikiwe kabisa.
Inafikirisha sanaLeo ni chama rafiki na sio saccos kama mnavyosema hapo lumumba? Leo ccm ndio wanakuwa na huruma na chadema.
Wala hujakosea mwashambwa CCM DaimaNdugu zangu Watanzania,
Ukiangalia aina ya watu wanaomuunga mkono lissu unabakia unasikitika,kushangaa na kucheka sana.ni watu wababaishaji,wasiojitambua ,wasio na ushawishi ndani ya chama na nje ya chama. Ni watu wenye taswira Mbaya sana kwa jamii na wasiokubalika wala kuungwa mkono kwa matendo na kauli zao.
Ni watu ambao hawawezi kukaa na mwenye akili Timamu na anayejitambua wakafanya majadiliano au mashauriano ya jambo fulani. Ni watu ambao hawaeleweki wala kuelewa kitu chochote kile .hawana adabu wala staha wala hekima ya midomo yao.ni watu ambao wakifungua vinywa vyao unapata aibu ya kuendelea kusikiliza wanachozungumza.
Waswahili wanasema ya kuwa ukitaka kumjua mtu vizuri basi angalia watu waliomzunguka au watu wanaomuunga mkono au watu anaoshinda nao na kushirikiana nao. Kwa sababu ndege wafananao huruka pamoja. Mtu mwenye hekima ,busara ,staha na mwenye ushawishi kwa watu ni lazima utaona akizungukwa na watu wenye akili ,hekima,busara ,maarifa,ushawishi ,makini na wenye utulivu.
Lakini kinyume chake ni kuwa ni rahisi sana kukuta mtu aliyekosa hekima,adabu,ushawishi ,biashara ,akili,kujitambua akizungukwa na watu wa Hovyo hovyo wababaishaji,wenye mihemuko ,watukana matusi utafikiri vichaa au wendawazimu au wagonjwa wa akili.
Ni ngumu kukuta Mchungaji na Mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu akiwa amezungukwa na kuambatana muda wote na walevi,wavuta bangi ,watumiaji wa madawa ya kulevya ,wahuni wahuni na watu wa Hovyo hovyo.kwa sababu hata hao walevi na wahuni wahuni na wavuta bangi ni lazima waogope hata kumsogelea kwa sababu ya tabia zao mbaya na mienendo yao mibaya ambayo wanajua ni aibu kwa jamii na mbele za watu waliostaarabika.hata Nnzi hawakai pasafi bali hufuata penye uvundo na uchafu.
Kwa hiyo Lissu alitakiwa kujitathmini na kujiuliza hata kabla ya kuingia kwenye sanduku la kura kwamba ni kwanini hauungwi mkono na viongozi wenzake wenye ushawishi ndani ya chama? Kwanini wote wanamkimbia na kuogopa hata kujinajibisha au kujihusisha naye au kuonekana naye hadharani?
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.