Uchaguzi 2020 Lissu aonya juu ya mkakati wa nia ovu ya kumuengua baada ya watawala kupagawa kwa kimbunga chake mikoani, asema hilo halitofanikiwa

Uchaguzi 2020 Lissu aonya juu ya mkakati wa nia ovu ya kumuengua baada ya watawala kupagawa kwa kimbunga chake mikoani, asema hilo halitofanikiwa

Hao watu wako wamekariri sheria!!
Subiri uone!

Kipindi kile tunapiga kelele humu kwamba kwanini Lisu ameshindwa kujaza form ya maadili ya viongizi mkasema hoo alikuwa anatibiwa! Tukawaambia mbona anazunguka huko ulaya tunamuona? Mkasema hoo hatuna la kumfanya Lisu!

Sasa nec ndio hao sasa watamfanya na Lisu kashagundua wapi wenzie watamchinjia ndio maana ameanza kujihami mapema.

Safari hij kapatikana.
 
Subiri uone!

Kipindi kile tunapiga kelele humu kwamba kwanini Lisu ameshindwa kujaza form ya maadili ya viongizi mkasema hoo alikuwa anatibiwa! Tukawaambia mbona anazunguka huko ulaya tunamuona? Mkasema hoo hatuna la kumfanya Lisu!

Sasa nec ndio hao sasa watamfanya na Lisu kashagundua wapi wenzie watamchinjia ndio maana ameanza kujihami mapema.

Safari hij kapatikana.
Wenzio hicho kifungu wamekiondoa, wanahangaika na mengine, ccm hawalali.msajili anaandikiwa mabarua mengi sana na ccm.Ccm hawamuwezi lissu kwenye jukwaa
 
Huyu jamaa anashida kichwani maana alituambia Magu ameanza kutoa rushwa mapema leo anasemaje
Kuna tofauti ya kutoa rushwa ili uchaguliwe na kuanzia kampeni mapema. Ni sheria mbili tofauti. Ni jambo la kisheria hivyo mtu ambaye hana legal knowledge aweza changanya
 
Lissu anajitahidi kufanya mtihani wa NECTA huku akijiandaa na mtihani wa mwisho wa "MOCK TEST"
 
Lissu aachwe tu, asijepata kisingizio, hata akisema akiwa rais wa tff atamrejesha yanga morrison sawa tu, safari hii hachomozi baada ya october atabaki kuwa mgombea mstaafu,
 
Wajaribu, wathubutu, tutawafundisha adabu, watajuta!
Mkuu, tusidanganyane! Kama, walitaka kumuua, hatukuonyesha chochote kupinga unyama huo! kisha Lema, Mbowe, Sugu, Mdee nk kutupwa ndani, bila sababu za msingi, napo hatukuonyesha kupinga uovu huo, itakuwa huko KUENGULIWA? Nina imani hayo maovu angefanyiwa kiongozi mwingine tofauti na Lissu, na huyo Lissu angekuwepo, sidhani kama angetulia tuli, na kusema TUNAMUACHIA MUNGU!
 
Hivi wadhamini utawapataje na ili wakuelewe bila kuwambia malengo yako yakuutaka uraisi? Msipotoshe Sheria ya tume imemtaka akatafute wadhamini,naanawajibu wakusema anachotaka akakifanye akipewa ridhaa na anaesababu zakusema mapungufu ya mtawala aliyepo ili kuwaaminisha wadhamini ndio sababu yayeye kuomba lidhaa,, hakuna hoja ya msingi yakumuengua TL.
 
Back
Top Bottom