Uchaguzi 2020 Lissu aonya juu ya mkakati wa nia ovu ya kumuengua baada ya watawala kupagawa kwa kimbunga chake mikoani, asema hilo halitofanikiwa

Uchaguzi 2020 Lissu aonya juu ya mkakati wa nia ovu ya kumuengua baada ya watawala kupagawa kwa kimbunga chake mikoani, asema hilo halitofanikiwa

Akizungumza mbele ya umati wa wananchi huko Babati, Lissu amesema wamepata taarifa za vikao vya wakubwa na vibaraka wao wanaohofia kimbunga chake huko mikoani.

Lissu anasema mkakati huo wa kumuengua ulijenhwa juu ya hoja mbili.

1. Ya kwanza ni wao kutaka kupitia kichaka cha maadili, kwamba kwa kuwa alifutwa Ubunge na Ndugai kupitia hoja mfu za maadili basi asiruhusiwe kugombea urais. Lissu anasema hoja hiyo wameshaifuta kwa sababu sheria inataka mtu awe amefungwa ndo hilo takwa linakamilika.

2. Pili kuhusu nia yao ovu ya kumuengua kuhusu kuanza kampeni mapema Lissu kasema kuwa kisheria Mtu haanzi kampeni mapema mpaka awe tayari ameshapitishwa na tume huru ya uchaguzi kuwa mgombea na kisha tarehe ya kampeni iwe imetangazwa ndo unaweza kusema kuwa huyu kaanza kampeni mapema! Kama Tume haijapitisha wagombea basi kisheria hakuna cha suala la kuanza kampeni mapema.

Hoja kuntu za Lissu unaweza kuzisikiliza hapa chini:

Yaani Lissu anacheza na maneno tu. Anayageuza geuza as if anaongea na wapumbavu. Sheria gani imesema mtu akikiuka sheria ya maadili mpaka afungwe. Atuambie kilichomfukuzisha ubunge ni nini? Rufaa yake aliyokata mahakamani alishinda? Kama hakushinda ina maana maamuzi yanabaki kama yalivyo. Wanachotaka hawa Chadema ni vurugu tu hiyo ndo ajenda yao. Lakini wanajua fika mgombea wao hana sifa za kuchaguliwa kuwa Rais.
 
Mipango yenye akili ni kushawishi umma ukupe kura kwa ridhaa yake siyo kwa kufanya uhuni wa kuzuia washindani wako asiingie uwanjani kushindana!
Kila kitu kina sheria na utaratibu wake. Kwanini mtu uvunje utaratibu kwa makusudi anatafuta nn? Mbona wengine wanaomba wadhamini kimya kimya hawafanyi mikutano ya hadhara. Sema tu Serikali imeshashtukia mpango wa Lissu aliokuja nao, ndo maana imeamua tu kumkalia kimya.
 
Akizungumza mbele ya umati wa wananchi huko Babati, Lissu amesema wamepata taarifa za vikao vya wakubwa na vibaraka wao wanaohofia kimbunga chake huko mikoani.

Lissu anasema mkakati huo wa kumuengua ulijenhwa juu ya hoja mbili.

1. Ya kwanza ni wao kutaka kupitia kichaka cha maadili, kwamba kwa kuwa alifutwa Ubunge na Ndugai kupitia hoja mfu za maadili basi asiruhusiwe kugombea urais. Lissu anasema hoja hiyo wameshaifuta kwa sababu sheria inataka mtu awe amefungwa ndo hilo takwa linakamilika.

2. Pili kuhusu nia yao ovu ya kumuengua kuhusu kuanza kampeni mapema Lissu kasema kuwa kisheria Mtu haanzi kampeni mapema mpaka awe tayari ameshapitishwa na tume huru ya uchaguzi kuwa mgombea na kisha tarehe ya kampeni iwe imetangazwa ndo unaweza kusema kuwa huyu kaanza kampeni mapema! Kama Tume haijapitisha wagombea basi kisheria hakuna cha suala la kuanza kampeni mapema.

Hoja kuntu za Lissu unaweza kuzisikiliza hapa chini:


Sio busara kumuengua Tundu Antipas Lissu, aachwe tu kwani hajafikia viwango vya kumshinda Jpm
 
Akizungumza mbele ya umati wa wananchi huko Babati, Lissu amesema wamepata taarifa za vikao vya wakubwa na vibaraka wao wanaohofia kimbunga chake huko mikoani.

Lissu anasema mkakati huo wa kumuengua ulijenhwa juu ya hoja mbili.

1. Ya kwanza ni wao kutaka kupitia kichaka cha maadili, kwamba kwa kuwa alifutwa Ubunge na Ndugai kupitia hoja mfu za maadili basi asiruhusiwe kugombea urais. Lissu anasema hoja hiyo wameshaifuta kwa sababu sheria inataka mtu awe amefungwa ndo hilo takwa linakamilika.

2. Pili kuhusu nia yao ovu ya kumuengua kuhusu kuanza kampeni mapema Lissu kasema kuwa kisheria Mtu haanzi kampeni mapema mpaka awe tayari ameshapitishwa na tume huru ya uchaguzi kuwa mgombea na kisha tarehe ya kampeni iwe imetangazwa ndo unaweza kusema kuwa huyu kaanza kampeni mapema! Kama Tume haijapitisha wagombea basi kisheria hakuna cha suala la kuanza kampeni mapema.

Hoja kuntu za Lissu unaweza kuzisikiliza hapa chini:

This time wamekula ya chuya
 
Ha ha jamaa ana akili sana..kweli unaanzaje kampeni wakati hujateuliwa?
Sheria ilimaanisha baada ya kuteuliwa na chama chako usianze kampeni kabla Tume haijakupitisha.Lissu anacheza na akili zenu ambazo siku zote hazitaki kufikiri.
 
Akizungumza mbele ya umati wa wananchi huko Babati, Lissu amesema wamepata taarifa za vikao vya wakubwa na vibaraka wao wanaohofia kimbunga chake huko mikoani.

Lissu anasema mkakati huo wa kumuengua ulijenhwa juu ya hoja mbili.

1. Ya kwanza ni wao kutaka kupitia kichaka cha maadili, kwamba kwa kuwa alifutwa Ubunge na Ndugai kupitia hoja mfu za maadili basi asiruhusiwe kugombea urais. Lissu anasema hoja hiyo wameshaifuta kwa sababu sheria inataka mtu awe amefungwa ndo hilo takwa linakamilika.

2. Pili kuhusu nia yao ovu ya kumuengua kuhusu kuanza kampeni mapema Lissu kasema kuwa kisheria Mtu haanzi kampeni mapema mpaka awe tayari ameshapitishwa na tume huru ya uchaguzi kuwa mgombea na kisha tarehe ya kampeni iwe imetangazwa ndo unaweza kusema kuwa huyu kaanza kampeni mapema! Kama Tume haijapitisha wagombea basi kisheria hakuna cha suala la kuanza kampeni mapema.

Hoja kuntu za Lissu unaweza kuzisikiliza hapa chini:


Magufuli anazidi kujiaibisha.

Aache atashinda tu Jpm atashinda anaogopa nini??
 
Ukitafuta wadhamini unatakiwa kuhutubia Mkutano wa hadhara na kutoa ahadi
Ndio maana anahutubia kwenye ofsi za chama tu. Na analifahamu hilo. Sasa kupata wadhamini miambili wenye kadi kila mkoa unadhani hao unakutana nao wapi?? Kuna wenye kadi na wasio na kadi wote watakufata.

Nyie si mmefanya mambo mazuri kwa watanzania?? Sasa woga wa nini?
 
CCM watakaa kumjadili Lissu badala ya kujadili watia nia wao watakuja kushtuka muda wa kuchukuwa fomu NEC ushapita!
Yaani mwaka huu kuna kuna Bundi huko CCM. Wagombea wao hadi sasa hawajui hatima yao. Na muda unazidi kuyoyoma. Hii hali ilikuwa ikiwakuta wapinzani miaka ya nyuma. This time kibao kimebadilika.
 
Back
Top Bottom