Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona wanaokwenda shuhudia kibwengu! Itakapofikia muda wa kupiga Kira watamfanyia ya waliyomfanyia...wajumbe😂🤣😂!Hivi hawa wanaojaa hawaoni kasi ya JPM kweli?
Hakutaka azitumbulie angani kwenda kubembea Cuba na kupiga selfie na PDD, badala yake akaamua kuijenga nchi yake.. wapumbafu ni ngumu kutambua haya...stupid fools!Magu amezijenga na pesa zake au za walipa kodi,acha hizo
Mbona pozi ni kama push up?
Kura zote kwa upinzani,wawape CHADEMAWatumishi wa umma akili ziwakae sawa
CCM mmefanya siasa peke yenu miaka mitano, Lissu keshapindua meza ndani ya wiki mbili tu
Kumsikiliza na kumuona haimaanishi kuwa amekubalika. Hata Yesu nae alifuatwa na wengi lakini sio wote waliomfuata walimkubali.Huyu mwamba anakubalika mpaka raha!
Mataga watataga tu amna namna
Tarime sio mbali na sirari mpakani na Kenya kwenye korona,
Kumbe lisu aliwadanganya wakenya kuwa tuna korona.
Awalize hao wana tarime kama wana korona, tusikie majibu yao
Hajatukana leo?
Tunaupenda sana upinzani. Ila tunajindanganya sana kuhusu haya mafuriko .
Haya mafuriko yanatudanya sana jamani, mafuriko haya yalikuwepo toka enzi na enzi ila hayana tija.
Tumekuwa na mafuriko enzi za mrema nk lakini hayakuwahi kusaidia kushika nchi.
Tujiulize je ilikuwaje uchaguzi wa wenyeviti wa vijiji, ilikuwaje kuhusu vijana kwenda kuboresha daftari la kupiga kura. Kama wenzetu ccm walifanya vizuri kwrnye sekta hiyo tutegemee siku ya kura ukienda kupiga kura kutokuona jina lako halafu udhani umeibiwa,kura kumbe atukutoa kipa umbele kwenye vitu vya msingi.
SGR wana miezi mitatu hawajawalipa wazabuni kuna migomo isiyokwisha ulipaji wao ni wa shida wakati tunaambiwa ni pesa za ndani zinaendesha mradi huo
Katengeneza barabara ipi?Anashangilia kuteleza kwenye barabara zilizojengwa chini ya Jembe Magu! Kwa upumbafu baadae anasema hakuna kilichofanyika! Huyu ni mpuuzi kweli kweli!
Sibishani na vipofu, hata nikikuonyesha utaziona😂🤣😂!Katengeneza barabara ipi?
Barabara zimejengwa na watangulizi wake, mmebaki kusifia tu juhudi zenuSibishani na vipofu, hata nikikuonyesha utaziona[emoji23][emoji1787][emoji23]!
Watu saa hizi presha inapanda presha inashuka!Itabidi aanzishiwe clinic ya afya ya akili mirembe
Una akili za chicken...hata hazitunzi kumbukumbu usinipotezee muda wangu🤔!Barabara zimejengwa na watangulizi wake, mmebaki kusifia tu juhudi zenu
Nakwambia huyu bwana hapa anajiona tayari ameshakuwa rais wa jamhuri ya Afrika mashariki hongera zakeHongera kwake
Hahhahaha we jamaa unafurahisha mwanzo mlisema upinzani umekufa, mara hatuna wafuasi tena, mara cjui mikutano hta ifanyike hamna atakayekuja kisa hatuna mvuto tena. Mara sijui lissu hatorudi, cjui akirudi atakamatwa Airport.Hahhaha.. Makamanda mnapagawa na mafuriko bado?
Hayo hata enzi za Slaa yakikuwepo mara mbili yake