Mapungufu ya Mbowe ni yapi ambayo unasema yanaikwaza Chadema. CCM wamelikazania sana la kuondoka kwa Mbowe wakiamini kuwa mbowe ndiye kikwazo cha kufa Chadema, ndiye uhai wa chadema, akiondoka tu "wameula"..
They (ccm) do not fear anybody apart from Mbowe