Lissu asherehekea 'Birthday' ya Maalim Seif kisiwani Pemba

Lissu asherehekea 'Birthday' ya Maalim Seif kisiwani Pemba

Lissu nae Tagombea Mpka Afikishe Umri Wa Seif Hahaha kila hatapata
22 October 2020
Pemba, Zanzibar

Lissu asherehekea 'Birthday' ya Maalim Seif kisiwani Pemba​


Maaliim Seif afanyiwa sherehe kubwa ya siku ya kuzaliwa kwake na maelfu ya Wazanzibari na waTanganyika walionesha upendo mkubwa na furaha isiyo na kifani kwa kiongozi wao mtarajiwa wa taifa la Zanzibar ndani ya Muungano wa usawa.

Sherehe hizo za birthday ya Seif Sharrif Hamad almarufu kama Maalim baadaye zilifuatiwa na fete ya kufunga rasmi kampeni za kuwania sehemu hii ya Pemba Zanzibar . Kesho kampeni zitahamia upande wa Unguja Zanzibar kukamilisha miezi miwili ya kampeni za uchaguzi mkuu wa Zanzibar 2020

Shamrashamra za Ufungaji Kampeni ACT Pemba​

 
Wataishia tu kusherehekea Birthday, lakini siyo ushindi wa Urais.
Amini nawaambieni, huku Bara kila siku zinapozidi kusogea kuelekea Uchaguzi mkuu 2020, watu wengi kwa mamia wanazidi kumkimbia Mwakilishi wa MABEBERU.
Wengi kwa sasa wanamuunga mkono JPM. Hata wale wanaotembea wakiwa wamevaa Bendera za kibeberu, wananong'ona wakisema kuwa wanaomba kura za Diwani isipokuwa Mbunge na Rais ni CCM.
UDINI, MATUSI na kutoongea kwa STAHA kumemshusha hadhi mgombea Mwakilishi wa MABEBERU. Haaminiki tena na hakuna mtanzania atakayeingia barabarani kwa ajili yake.
Leo nimemuona anahojiwa dira ya dunia anaulizwa kwa Nini wanapitiliza mida was kampeni ambao NI saa 12jion?
Anasema Kama magufuli anafanya na wao wanafanya hvyo
Hivi mzima kweli huyo!!!!
 
"HAPPY BIRTHDAY MAALIM WAPELEKENI MCHAKAMCHAKA"
 
Haisaidii kitu, huyu msaliti wa Nchi Lissu lazima tumfundisha adabu
 
22 October 2020
Pemba, Zanzibar

Lissu asherehekea 'Birthday' ya Maalim Seif kisiwani Pemba​


Maaliim Seif afanyiwa sherehe kubwa ya siku ya kuzaliwa kwake na maelfu ya Wazanzibari na waTanganyika walionesha upendo mkubwa na furaha isiyo na kifani kwa kiongozi wao mtarajiwa wa taifa la Zanzibar ndani ya Muungano wa usawa.

Sherehe hizo za birthday ya Seif Sharrif Hamad almarufu kama Maalim baadaye zilifuatiwa na fete ya kufunga rasmi kampeni za kuwania sehemu hii ya Pemba Zanzibar . Kesho kampeni zitahamia upande wa Unguja Zanzibar kukamilisha miezi miwili ya kampeni za uchaguzi mkuu wa Zanzibar 2020

Shamrashamra za Ufungaji Kampeni ACT Pemba​


Nashauri Maalifu baada ya kushindwa uchaguzi kwa mara ya sita mdululizo uku visiwani, akajaribu kugombea Urais wa Tanzania labda ataweza kushinda.
 
Hukua hatua
Screenshot_20201023-075055.jpg
Screenshot_20201023-075143.jpg
Screenshot_20201023-075118.jpg
 
Endelea kujifariji ni wiki ijayo tu tunabadili history ya Tanzania, pipozii pawaa ni yeye 2020
Wataishia tu kusherehekea Birthday, lakini siyo ushindi wa Urais.
Amini nawaambieni, huku Bara kila siku zinapozidi kusogea kuelekea Uchaguzi mkuu 2020, watu wengi kwa mamia wanazidi kumkimbia Mwakilishi wa MABEBERU.
Wengi kwa sasa wanamuunga mkono JPM. Hata wale wanaotembea wakiwa wamevaa Bendera za kibeberu, wananong'ona wakisema kuwa wanaomba kura za Diwani isipokuwa Mbunge na Rais ni CCM.
UDINI, MATUSI na kutoongea kwa STAHA kumemshusha hadhi mgombea Mwakilishi wa MABEBERU. Haaminiki tena na hakuna mtanzania atakayeingia barabarani kwa ajili yake.
 
Ila wamemuaminisha sn kwamba atashinda....na yeye anaamin sana hapo kampeni zimemtia hofu
Jinsi alivopatwa na hofu na wasiwasi akawaambie watu wakampigie kura tarehe 27 yey kwa wingi ameungana na Maalim seif kama kawaida.
 
Back
Top Bottom