Uchaguzi 2020 Lissu asifu zoezi la upigaji kura

Uchaguzi 2020 Lissu asifu zoezi la upigaji kura

Papaa Muu

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2018
Posts
243
Reaction score
292
Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ndugu Tundu Antiphas Lissu amesifu zoezi zima la upigaji kura lilivyoenda muda mfupi baada ya kupiga kura majira ya Saa 8 na nusu mchana kwenye Kituo cha Kijiji cha Mtewa Kilichopo kata ya Ntutu Wilayani Ikungi, Singida.

Tundu Lissu amesema "Nimetoka Dar es Salaam ili kuja kupiga kura mahali ambapo nilikuwa Mbunge kwa vipindi viwili, mahali ambapo nina marafiki wengi na hawa ni watu wangu kwahiyo nilitaka nije niwe pamoja na watu wangu kwenye zoezi hili muhimu katika nchi yetu. Zoezi limekwenda vizuri, nafikiri kwa jinsi nilivyoona utaratibu umekwenda vyema sana."

20201017_230557.jpg
 
Hii ndio Demokrasia, Namuomba sana akubali matokeo ya ushindi wa kishindo wa JPM, akubali kushindwa, ampongeze mshindi, siku matokeo yanatangazwa rasmi, awepo pale ukumbini, na kumpongeza rasmi mshindi. Baada ya hapo, ajiandae kwa 2025 anaingia straight Ikulu.
 
Hii ndio demokrasia, Namuomba sana akubali matokeo ya ushindi wa kishindo wa JPM, akubali kushindwa, ampongeze mshindi, siku matokeo yanatangazwa rasmi, awepo pale ukumbini, na kumpongeza rasmi mshindi. Baada ya hapo, ajiandae kwa 2025 anaingia straight Ikulu.

P
Yaani unajitahidi sana kucheza na udhaifu wa nduguyo lakini uteuzi hupati ng'o

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Hii ndio demokrasia, Namuomba sana akubali matokeo ya ushindi wa kishindo wa JPM, akubali kushindwa, ampongeze mshindi, siku matokeo yanatangazwa rasmi, awepo pale ukumbini, na kumpongeza rasmi mshindi. Baada ya hapo, ajiandae kwa 2025 anaingia straight Ikulu.

P
Acha kuwa "BIASED", tumia elimu yako kihaki na weledi.

CCM wameitia doa nchi yetu, doa lisilofichika wala kufutika milele. Nchi hii imeshuhudia wizi na uonevu katika chaguzi nyingi sana, ila huu wa 2020 ni umevuka mipaka. Tumejenga maadui wengi sana wa mataifa yenye nguvu tokea 2015 mpaka sasa, na hatujaonesha dalili wala juhudi za kutuliza hii hali, bali tumeongeza uadui wa raia.

1) Mawasiliano kuminywa - Kwa hili tujindae kuwekewa vikwazo na nchi nyingi sana duniani.

2) Watu kuuliwa - Zanzibar tumeshuhudia watu wamepigwa risasi na askari polisi.

3) Watu kutekwa - Tumeshuhudia viongozi wakitumia plate number ya United Nations kufanyia uhalifu. Hii ni kuichafua UN na kuidhihaki.

4) Kura za wizi - Tumeshuhudia Kawe/Kigoma/Zanzibar kura za wizi zikikamatwa na raia.

CCM lazima itajitangaza kushinda kwa kishindo (Kama wewe ulivyoandika), na watajiapisha kwa mabavu kuanzia Urais/Ubunge/Udiwani. Ila madhara yake unayajua vizuri sana kwa nchi yetu yatakayotufika.

1) Dunia itatoa tamko la kutomtambua Rais wa Serikali ya Tanzania

2) Dunia itatoa tamko la Uchaguzi haukuwa wa Haki na urudiwe.

3) Dunia itatuwekea vikwazo vya kiuchumi.

NB. Tanzania tunategemea utalii kupata fedha za kigeni na kuchangia kwa asilimia nyingi kwenye budget yetu. Wakitupiga pini kwa kuzuia watalii hapa tu, wametumaliza na nchi inaanguka vibaya.

CCM mnaiga kwa Zimbabwe, ila mnajifanya mmeshau walichokipata.

Mtu mmoja analiangusha taifa, na nyinyi mmekalia uongo na unafiki kusifia visivyo sifika, ili mpate kazi/ajira. Njaa mbaya sana.
 
Yaani unajitahidi sana kucheza na udhaifu wa nduguyo lakini uteuzi hupati ng'o

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Akili za wapinzani bwana, wabinafsi. Chochote wanachofanya lazima kiwape chochote kitu bila hivyo hakina maana kwao. Sasa wanawaza kila mtu ana mitazamo yao maskini kumbe wengine wana uzalendo yaani mahaba tuu na nchi yao Kwani lini Pascal Mayalla alisema anafanya anayofanya ili apate teuzi?
 
Kwamba una bifu nae?
Inaudhi sana, uwezo na akili ya Pascal Mayalla nani asiyeijua?
Leo hii amegeuka kituko kwa njaa, nani alisaidie taifa hili?
Nani aseme kweli na kukemea maovu kama sio mwandishi nguli kama yeye?
Leo hii tunasifu na kuabudu uovu wa Magufuli na CCM ilihali nchi inateketea, chuki inazidi.



Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Akili za wapinzani buana, wabinafsiiii. Chochote wanachofanya lazima kiwape chochote kitu bila hivyo hakina maana kwao. Sasa wanawaza kila mtu ana mitazamo yao maskini kumbe wengine wana uzalendo yaani mahaba tuu na nchi yao Kwani lini Pascal Mayalla alisema anafanya anayofanya ili apate teuzi?
Panda kitandani umuhudumie mmeo.
Mnatetea upumbavu huu?
Mnazima mitandao na mnachekelea.
Mnaiba kura hata aibu hakuna.
Mnazuia mawakala mnaona swa tu?

Mnajenga chuki kila kukicha hamjali.
Pumbaffu zenu...ipo siku mtajutia haya sana

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Inaudhi sana, uwezo na akili ya Pascal Mayalla nani asiyeijua?
Leo hii amegeuka kituko kwa njaa, nani alisaidie taifa hili?
Nani aseme kweli na kukemea maovu kama sio mwandishi nguli kama yeye?
Leo hii tunasifu na kuabudu uovu wa Magufuli na ccm ilihali nchi inateketea, chuki inazidi.



Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Pole,


Mchukulie kama binadamu na yeye. Wajibu wako umetimiza!

Kila mtu kuna kile anachokipenda. Kwako kinaweza kuwa kibaya kwa mwingine chema. Mahaba pia yanaponza.
 
Panda kitandali uhudumie mmeo.
Mnatetea upumbavu huu?
Mnazuma mitandao na mnachekelea.
Mnaiba kura hata aibu hakuna.
Mnazuia mawakala mnaona swa tu?

Mnajenga chuki kila kukicha hamjali.
Pumbaffu zenu...ipo siku mtsjutia haya sana

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Nitapanda kitandani kesho nikimaliza kazi uzuri wote tuko kazini
 
Back
Top Bottom