Uchaguzi 2020 Lissu asifu zoezi la upigaji kura

Uchaguzi 2020 Lissu asifu zoezi la upigaji kura

Hii ndio demokrasia, Namuomba sana akubali matokeo ya ushindi wa kishindo wa JPM, akubali kushindwa, ampongeze mshindi, siku matokeo yanatangazwa rasmi, awepo pale ukumbini, na kumpongeza rasmi mshindi. Baada ya hapo, ajiandae kwa 2025 anaingia straight Ikulu.

P
Kama ataingia Ikulu isiwe kwa hoja za Tanzania inaihitaji dunia kuliko dunia inavyoihitaji Tanzania. Vinginevyo Ikulu ataisikilizia kwenye TV. Tunataka Rais atakayepandikiza mioyo ya kujikubali, kujiamini na kujivunia nchi yetu na watu wetu.
 
Pole,


Mchukulie kama binadamu na yeye. Wajibu wako umetimiza!

Kila mtu kuna kile anachokipenda. Kwako kinaweza kuwa kibaya kwa mwingine chema. Mahaba pia yanaponza.
Sina tatizo na CCM akishinda kwa haki, lakini kwa haya yaliyofanyika kweli imeniudhi mno.
Tutaishi kwa uongo hadi lini?


Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Acha kuwa "BIASED", tumia elimu yako kihaki na weledi.

CCM wameitia "DOA" nchi yetu, doa lisilofichika wala kufutika milele. Nchi hii imeshuhudia "WIZI na UONEVU" katika chaguzi nyingi sana, ila huu wa 2020 ni umevuka mipaka. Tumejenga "MAADUI" wengi sana wa mataifa yenye nguvu tokea 2015 mpaka sasa, na hatujaonesha dalili wala juhudi za kutuliza hii hali, bali tumeongeza uadui wa raia.

1) Mawasiliano kuminywa - Kwa hili tujindae kuwekewa vikwazo na nchi nyingi sana duniani.

2) Watu kuuliwa - Zanzibar tumeshuhudia watu wamepigwa risasi na askari polisi.

3) Watu kutekwa - Tumeshuhudia viongozi wakitumia plate number ya UNITED NATIONS kufanyia uhalifu. Hii ni kuichafua UN na KUIDHIHAKI.

4) Kura za wizi - Tumeshuhudia Kawe/Kigoma/Zanzibar kura za wizi zikikamatwa na raia.

CCM lazima itajitangaza kushinda kwa kishindo (Kama wewe ulivyoandika), na watajiapisha kwa mabavu kuanzia Urais/Ubunge/Udiwani. Ila madhara yake unayajua vizuri sana kwa nchi yetu yatakayotufika.

1) Dunia itatoa tamko la "KUTOKUMTAMBUA RAIS NA SERIKALI YA TANZANIA.

2) Dunia itatoa tamko la "UCHAGUZI HAUKUA WA HAKI" na urudiwe.

3) Dunia itatuwekea "VIKWAZO" vya kiuchumi.

NB Tanzania tunategemea "UTALII" kupata fedha za kigeni na kuchangia kwa asilimia nyingi kwenye budget yetu. Wakitupiga pini kwa kuzuia watalii hapa tu, wametumaliza na nchi inaanguka vibaya.

#CCM mnaiga kwa Zimbabwe, ila mnajifanya mmeshau walichokipata.

Mtu mmoja analiangusha taifa, na nyinyi mmekalia "UONGO NA UNAFIKI" kusifia visivyo sifika, ili mpate kazi/ajira. Njaa mbaya sana.
Povu
 
Hii ndio demokrasia, Namuomba sana akubali matokeo ya ushindi wa kishindo wa JPM, akubali kushindwa, ampongeze mshindi, siku matokeo yanatangazwa rasmi, awepo pale ukumbini, na kumpongeza rasmi mshindi. Baada ya hapo, ajiandae kwa 2025 anaingia straight Ikulu.

P
Matokeo kuna uchakachuaji mkubwa yeye kasifia utulivu tu lakini hajakubaliana na wizi wa kura
 
Kujumuisha[emoji16][emoji16][emoji16]
Nimeshuhudia uovu wenu mwingi inaudhi sana.
Mmepeana mafurushi mengi jana mje kuhongs mawakala bila haya.
Mimi sijali atashinda nani bsli kashinda je?
Mtateseka sana hii miaka 5 ijayo.
Magufuli atawageuza ksma atakavyo kwani hana cha kupoteza tena na safari hii cha moto ni kwa wote si ccm wala cuf au cdm

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Hii ndio demokrasia, Namuomba sana akubali matokeo ya ushindi wa kishindo wa JPM, akubali kushindwa, ampongeze mshindi, siku matokeo yanatangazwa rasmi, awepo pale ukumbini, na kumpongeza rasmi mshindi. Baada ya hapo, ajiandae kwa 2025 anaingia straight Ikulu.

P
ulivyo mkuda we dingi.

kishindo cha kura fake za kwenye mabegi acha upumbavu.

afu unaona watu maboya, hawajuii kinachoendelea kwenye vituo. shwain
 
Hii ndio demokrasia, Namuomba sana akubali matokeo ya ushindi wa kishindo wa JPM, akubali kushindwa, ampongeze mshindi, siku matokeo yanatangazwa rasmi, awepo pale ukumbini, na kumpongeza rasmi mshindi. Baada ya hapo, ajiandae kwa 2025 anaingia straight Ikulu.

P
mzee taratibu tu kama nafasi ya teuzi ipo kakako atakupa usiwe na haraka sana, TL alikuwa anatoa maoni yake kuhusu uchaguzi huu ktk kituo alichopigia kura tuu...tena kwa wakati/muda mfupi aliokuwepo pale kituoni.

Alisema wazi kabisa kwamba bado hajapata taarifa ya hali ikoje ktk vituo vingine jimboni kote Singida Mashariki achilia mbali Tanzania nzima.

Siku hizi mbona unazidi kushuka viwango we mzee, au ndio kutekeleza ile dhana kwamba mtu akiwa ccm anakuwa....!!!.
 
Nimeshuhudia uovu wenu mwingi inaudhi sana.
Mmepeana mafurushi mengi jana mje kuhongs mawakala bila haya.
Mimi sijali atashinda nani bsli kashinda je?
Mtateseka sana hii miaka 5 ijayo.
Magufuli atawageuza ksma atakavyo kwani hana cha kupoteza tena na safari hii cha moto ni kwa wote si ccm wala cuf au cdm

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Yaani wacha tuu... tumenyooshwa miaka5 sasa tunaenda kunyooshwa mitano tena. Na ikiisha hiyo lazima tutaongea lugha moja. Hakutakua na Amstadam, Sultan wala vibaraka wao
 
Hii ndio demokrasia, Namuomba sana akubali matokeo ya ushindi wa kishindo wa JPM, akubali kushindwa, ampongeze mshindi, siku matokeo yanatangazwa rasmi, awepo pale ukumbini, na kumpongeza rasmi mshindi. Baada ya hapo, ajiandae kwa 2025 anaingia straight Ikulu.

P
VIP BWA. NJAA UPO NA HUKU UNATAFUTA KUONEKANA NA WATAWALA ULIO-WATUSI NA KUWADHIHAKI WALIPOKUITA IKULU,,,
 
Yaani wacha tuu... tumenyooshwa miaka5 sasa tunaenda kunyooshwa mitano tena. Na ikiisha hiyo lazima tutaongea lugha moja. Hakutakua na Amstadam, Sultan wala vibaraka wao
Wee jifariji tu ipo siku na haiko mbali utakosa pesa hata ya kununua pedi wala chupi.
Sasa umeshiba virushwa vya uchaguzi kwa hiyo haya niyasemayo unaona ni upuuzi.
Subirini mbinyo toka kwa mabeberu

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Magufuli amembaka mwanamke ambaye alikua too willing kushiriki tendo.

Kutoka Ktalk.
 
Hii ndio demokrasia, Namuomba sana akubali matokeo ya ushindi wa kishindo wa JPM, akubali kushindwa, ampongeze mshindi, siku matokeo yanatangazwa rasmi, awepo pale ukumbini, na kumpongeza rasmi mshindi. Baada ya hapo, ajiandae kwa 2025 anaingia straight Ikulu.

P

Katika wau 2 wa hovyo nchi hii, unaweza kuwa one of them
 
Hii ndio demokrasia, Namuomba sana akubali matokeo ya ushindi wa kishindo wa JPM, akubali kushindwa, ampongeze mshindi, siku matokeo yanatangazwa rasmi, awepo pale ukumbini, na kumpongeza rasmi mshindi. Baada ya hapo, ajiandae kwa 2025 anaingia straight Ikulu.

P
Kwa katiba gani ataingia ikulu?

Nafahamu unajua jinsi siasa ya uchaguzi zinavyoendeshwa nchini ila unakuwa Tomaso au sawa na yule mpanzi aliyedondosha mbegu bora kwenye mwamba, unajua kilichotokea.

Kadhalika yote yaliyotokea kwenye uchaguzi huu umeyaona na moyo wako umeridhika kuwa si haki na sehemu nyingine sawa ila unekuwa sawa na yule jamaa aliyepita akaenda zake akamuacha majeruhi pale chini.

👉Kutamka zoezi limefanyika vizuri siyo kigezo cha kuhalalisha mapungufu yaliyojitokeza.
Naelewa kila mtu ana hisia za kupenda anachoona chamfaa ila tuambiane ukweli si kwa sababu ya nafasi za uteuzi au kusubiri kuwa afisa habari wa ikulu.
 
Hii ndio Demokrasia, Namuomba sana akubali matokeo ya ushindi wa kishindo wa JPM, akubali kushindwa, ampongeze mshindi, siku matokeo yanatangazwa rasmi, awepo pale ukumbini, na kumpongeza rasmi mshindi. Baada ya hapo, ajiandae kwa 2025 anaingia straight Ikulu.
Huwezi kuamini wewe ndiye ulikuwa unaendesha kipindi cha kitimoto wakati ule sasa hivi umegeuka ukawa na akili za kiti moto mnyama
 
Back
Top Bottom