Uchaguzi 2020 Lissu asifu zoezi la upigaji kura

Uchaguzi 2020 Lissu asifu zoezi la upigaji kura

Hii ndio Demokrasia, Namuomba sana akubali matokeo ya ushindi wa kishindo wa JPM, akubali kushindwa, ampongeze mshindi, siku matokeo yanatangazwa rasmi, awepo pale ukumbini, na kumpongeza rasmi mshindi. Baada ya hapo, ajiandae kwa 2025 anaingia straight Ikulu.
Mkuu P, watu wengi tusilolijua ni kwamba Lissu hajawahi, wala hana nia ya kuwa Rais wa nchi hii.

Lissu katika maisha yake yote amekuwa na ataendelea kudharau mamlaka. Kwa maana hiyo, Lissu hajawahi na hatakuwa mwanasiasa wala mwanaharakati.

Kugombea Urais kupitia CHADEMA, alifanya makusudi kukitosa chama kulipiza masahibu aliyoyapata na siyo Serikali, ambavyo alitaka jamii iamini.

Sasa CGADEMA ndiyo mwisho wake kisiasa kama ilivyotokea kwa NCCR-Mageuzi ya Mrema na wanamageuzi wengine km Dr Mvungi et al.
 
Hii ndio Demokrasia, Namuomba sana akubali matokeo ya ushindi wa kishindo wa JPM, akubali kushindwa, ampongeze mshindi, siku matokeo yanatangazwa rasmi, awepo pale ukumbini, na kumpongeza rasmi mshindi. Baada ya hapo, ajiandae kwa 2025 anaingia straight Ikulu.
Kwa usenge mnaoufanya ushindi upi wahuyo muuwaji jiwe.. democracia unaijua au unaiongea tu kwenye kinywa?
 
Hii ndio Demokrasia, Namuomba sana akubali matokeo ya ushindi wa kishindo wa JPM, akubali kushindwa, ampongeze mshindi, siku matokeo yanatangazwa rasmi, awepo pale ukumbini, na kumpongeza rasmi mshindi. Baada ya hapo, ajiandae kwa 2025 anaingia straight Ikulu.
Hawa ndio wasomi wetu Tanzania 😥😥😥😥
 
Acha kuwa "BIASED", tumia elimu yako kihaki na weledi.

CCM wameitia doa nchi yetu, doa lisilofichika wala kufutika milele. Nchi hii imeshuhudia wizi na uonevu katika chaguzi nyingi sana, ila huu wa 2020 ni umevuka mipaka. Tumejenga maadui wengi sana wa mataifa yenye nguvu tokea 2015 mpaka sasa, na hatujaonesha dalili wala juhudi za kutuliza hii hali, bali tumeongeza uadui wa raia.

1) Mawasiliano kuminywa - Kwa hili tujindae kuwekewa vikwazo na nchi nyingi sana duniani.

2) Watu kuuliwa - Zanzibar tumeshuhudia watu wamepigwa risasi na askari polisi.

3) Watu kutekwa - Tumeshuhudia viongozi wakitumia plate number ya United Nations kufanyia uhalifu. Hii ni kuichafua UN na kuidhihaki.

4) Kura za wizi - Tumeshuhudia Kawe/Kigoma/Zanzibar kura za wizi zikikamatwa na raia.

CCM lazima itajitangaza kushinda kwa kishindo (Kama wewe ulivyoandika), na watajiapisha kwa mabavu kuanzia Urais/Ubunge/Udiwani. Ila madhara yake unayajua vizuri sana kwa nchi yetu yatakayotufika.

1) Dunia itatoa tamko la kutomtambua Rais wa Serikali ya Tanzania

2) Dunia itatoa tamko la Uchaguzi haukuwa wa Haki na urudiwe.

3) Dunia itatuwekea vikwazo vya kiuchumi.

NB. Tanzania tunategemea utalii kupata fedha za kigeni na kuchangia kwa asilimia nyingi kwenye budget yetu. Wakitupiga pini kwa kuzuia watalii hapa tu, wametumaliza na nchi inaanguka vibaya.

CCM mnaiga kwa Zimbabwe, ila mnajifanya mmeshau walichokipata.

Mtu mmoja analiangusha taifa, na nyinyi mmekalia uongo na unafiki kusifia visivyo sifika, ili mpate kazi/ajira. Njaa mbaya sana.
Ogopa sana mtu anayepambania ugali wake kwa kufa na kupona
 
Hii ndio Demokrasia, Namuomba sana akubali matokeo ya ushindi wa kishindo wa JPM, akubali kushindwa, ampongeze mshindi, siku matokeo yanatangazwa rasmi, awepo pale ukumbini, na kumpongeza rasmi mshindi. Baada ya hapo, ajiandae kwa 2025 anaingia straight Ikulu.
Si kweli, siamini kama Lissu ataingia straight Ikulu hiyo 2025. Kumbuka, yeye ni Chadema na hiki chama hakieleweki....usikute hata kesho tu wakalumbana na kukisambaratisha chama au wakamfanyia figisufigisu Lissu kisha akaja kujitoa chamani na kuwa ana tangatanga kama Membe, Maalim Seif, Zitto, Lipumba au kwisha kabisa kisiasa au pengine hata kuhamia CCM. Mkuu Pascal Mayalla njaa kali bwana, mi namtabiria Lissu kufa kisiasa kabisa bcs 5 yrs is too long na wananchi watamchoka tu. The guy is so bitter.
 
Jitambue braza, huna hata aibu hivi wanao wanajisifu wana baba kweli?
Huoni aibu miaka yote unajipendekeza kwa mwanaume mwenzako lakini hakuteui? Kwani bila kujipendekeza hauishi?
Njaa mbaya'' sana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 povuuuuuu
 
Acha kuwa "BIASED", tumia elimu yako kihaki na weledi.

CCM wameitia doa nchi yetu, doa lisilofichika wala kufutika milele. Nchi hii imeshuhudia wizi na uonevu katika chaguzi nyingi sana, ila huu wa 2020 ni umevuka mipaka. Tumejenga maadui wengi sana wa mataifa yenye nguvu tokea 2015 mpaka sasa, na hatujaonesha dalili wala juhudi za kutuliza hii hali, bali tumeongeza uadui wa raia.

1) Mawasiliano kuminywa - Kwa hili tujindae kuwekewa vikwazo na nchi nyingi sana duniani.

2) Watu kuuliwa - Zanzibar tumeshuhudia watu wamepigwa risasi na askari polisi.

3) Watu kutekwa - Tumeshuhudia viongozi wakitumia plate number ya United Nations kufanyia uhalifu. Hii ni kuichafua UN na kuidhihaki.

4) Kura za wizi - Tumeshuhudia Kawe/Kigoma/Zanzibar kura za wizi zikikamatwa na raia.

CCM lazima itajitangaza kushinda kwa kishindo (Kama wewe ulivyoandika), na watajiapisha kwa mabavu kuanzia Urais/Ubunge/Udiwani. Ila madhara yake unayajua vizuri sana kwa nchi yetu yatakayotufika.

1) Dunia itatoa tamko la kutomtambua Rais wa Serikali ya Tanzania

2) Dunia itatoa tamko la Uchaguzi haukuwa wa Haki na urudiwe.

3) Dunia itatuwekea vikwazo vya kiuchumi.

NB. Tanzania tunategemea utalii kupata fedha za kigeni na kuchangia kwa asilimia nyingi kwenye budget yetu. Wakitupiga pini kwa kuzuia watalii hapa tu, wametumaliza na nchi inaanguka vibaya.

CCM mnaiga kwa Zimbabwe, ila mnajifanya mmeshau walichokipata.

Mtu mmoja analiangusha taifa, na nyinyi mmekalia uongo na unafiki kusifia visivyo sifika, ili mpate kazi/ajira. Njaa mbaya sana.
Hayo ndo unapenda yatokee, lakini hayatatokea. Tanzania itaendelea kuwepo na haitakuwa kama Zimbabwe
 
Hii ndio Demokrasia, Namuomba sana akubali matokeo ya ushindi wa kishindo wa JPM, akubali kushindwa, ampongeze mshindi, siku matokeo yanatangazwa rasmi, awepo pale ukumbini, na kumpongeza rasmi mshindi. Baada ya hapo, ajiandae kwa 2025 anaingia straight Ikulu.
Nimejaribu kukumbusha huu ujumbe toka maktaba!
 
Hii ndio Demokrasia, Namuomba sana akubali matokeo ya ushindi wa kishindo wa JPM, akubali kushindwa, ampongeze mshindi, siku matokeo yanatangazwa rasmi, awepo pale ukumbini, na kumpongeza rasmi mshindi. Baada ya hapo, ajiandae kwa 2025 anaingia straight Ikulu.
Mayalla uje hapa ndugu Pasco. Kumbe ulishaongea haya mambo? Mbona sasa unabadilika? Lissu ndiyo mabadiliko ya kweli na ni mtu wa amsha amsha kweli kweli.
 
Nimejaribu kukumbusha huu ujumbe toka maktaba!
Mkuu Kipara,@kipara kipya,asante kukumbushia post yangu kwenye uzi huu, kuhusu Lissu kuingia ikulu straight only if Uchaguzi 2020 - Lissu asifu zoezi la upigaji kura

Lissu anayo fursa adhimu na adimu sana uchaguzi wa mwaka huu,kuingia ikulu kwa katiba hiihii bila reforms zozote kama ataingamua hiyo fursa na kuigrab!。 Idadi ya wapiga kura ni milioni 34, CCM tayari ina kura zake milioni 10,hivyo kuna kura milioni 24 for grab!。kati hawa wapiga kura milioni 34,watu milioni 17 ni genZii!. Badala ya kufanya siasa mikakati how to reach out to grab hizo kura milioni 24,we ndio kwanza unaleta utopia wa no election!。

Chadema wakifuata ushauri huu Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...

na huu Uchaguzi 2020 - Lissu asifu zoezi la upigaji kura

Tundu Lissu anatinga ikulu 2025!

P
 
Back
Top Bottom