Lissu asiwe kichwa cha zege asome alama tuu

Lisu is right.

CCCM haijawahi kuheshimu makubaliano mfano mzuri ni SUK zenji.

KATIBA mpya na Tume huru ya Uchaguzi kwanza, uchaguzi baadae.
 
Twanga kotekote unawasumbua sana sukuma Gang maana nyie ndiyo mumetupwa kabisa kwenye mfumo mnabaki kupiga mayowe kama vyura
 
Mm napenda ccm wawe uncomfortable! Japo chadema wamepoteza uelekeo somehow lisu anajitahidi. Lissu pamoja sana mwamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…