Lissu atasema chochote malengo yake yatimie.

Hivi karibuni tuvute subra
Kuna kitu kinanikwamisha mimi nisiwe milionea,kitu hicho ni kuweka ela bank alafu naweza kutoa hata kupitia simu na ndio hicho wanachokifanya serikali, wananchi asilimia kubwa tuna amini serikali ndio wauwaji na ndio haohao wajichunguze na waje na majibu ya kuridhisha na kututoa machozi ya furaha
Cc Lucas Mwashambwa.
 
:

Dalali lazima kuitwa jina lake:



Kwa CV ipi Sasa?
 
Usiwe mjinga Saed Kubenea akiwa Chadema alishasema anakutanaga na Ben Saanane Mahali Fulani anasoma Magazeti " maktaba"

Haya family ya Wangwe ilieleza Chacha alilazimishwa kusafiri ilhali alikuwa anaumwa Malaria na amemeza tembe za tiba

Sasa RC Chalamila ni muhehe yule nyekundu kwake siyo nyeupe

Merry Christmas πŸŒΉπŸ˜€πŸ˜€
 
Wewe Unadhani aliyepiga Risasi miguuni alishindwa kupiga kichwani? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Merry Christmas 🌹
Suala la Lissu kupigwa risasi 16 bado yuko mpaka leo ulikuwa uamuzi wa Mungu si Mwanadamu.

Magufuli alipanga kuitawala Tanganyika labda miaka 20 au zaidi,aliiba kura alitengeneza mipango mingi labda miaka 30 mbele leo Mama Abdul ni Rais yeye yuko chini.

Naamini Mungu ni kila kitu,unaweza kupanga yako Mungu asipokuwa upande wako unajisumbua bure.
 
Naona umeelezea Wasifu wa Mbowe na utawala wake wa hiyo miaka 20 πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Merry Christmas 🌹
 
Story za vijiwe nongwa TL anaongea kwenye serious discussion na Interviews
TL ni mtu hatari kumuamini asilimia 100
 
Mkuu, uko na ushahidi wowote kuhusu hii ripoti? Je, umeshaiona tayari au wewe ni miongoni mwa waandaji?

Maana hapo juu umetoka kumtuhumu TAL kwamba anazua mambo bila ushahidi.
Mkuu,

Hivi unategemea nini cha maana katika hiyo report.

Sana sana wanaweza kuangushiwa zigo Jasmoni Tegga wa Tandale na Ngongo wa Vingunguti mchezo ukamalizwa kibabe.
 
Kwanini Mbowe asimwache Lisu awe mwenyekiti? Ili mbivu na mbichi zijulikane? Mwenye namba za Mbowe amwambie Lisu pengine nia yake siyo nzuri sasa amwachie tuone atafika wapi. Mtoto akililia wembe apewe.
 
Story za vijiwe nongwa TL anaongea kwenye serious discussion na Interviews
TL ni mtu hatari kumuamini asilimia 100
Wewe Lisu umemjua Juzi tu

Mimi nimemjua Tundu Lisu wakati wa maandalizi ya kumpokea Papa Yohanne Paul II yaliyohusisha team ya Serikali na ya Kanisa Moja Takatifu La Mitume iliyoongozwa na Padre Dr Slaa πŸ˜‚πŸ˜‚

Nakuhakikishia Mbowe atashinda 21 January lakini Chadema inaenda kuwa CUF ya Wagalatia 🐼
 
Kwenye kiapo chake alisema hatatoa SIRI za Serikali. Njia aliyopitia Mgimwa sio nyepesi kuikubali kizembe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…