Lissu atasema chochote malengo yake yatimie.

Lissu atasema chochote malengo yake yatimie.

Mke, shemeji. Ukute hata hilo tumbo la kuhara lissu ilikuwa sumu aliyokuwa kaonjeshwa na madalali hao hao, kwa ulimi.

Wenje VS Lissu?

Ni mpumbafu tu anayeweza kuwa upande wa Wenje!

Cc: Mpwayungu Village
Ngoja safu iwe hivi:

1. Mbowe ( mwenyekiti tspeli la siasa)
2. Wenje ( makamu mwenyekiti..dalali la siasa)

3. Mnyika ( katibu mtia saini wa tapeli la siasa)
 
Embu twende taratibu,
1. Mzee Kibao anaweza kuwa implicated kwenye Rushwa anayosema Lissu ili afanyeje, alikuwa hajulikani, sasa yeye angehusishwa ili asifanye kitu gani?

2.Mzee Kibao ameuwawa hadharani, je TL alimwambia nani kwamba mzee Kihao ndio kamwambia kuhusu hiyo rushwa.
3. Hiyo Rushwa ni fedha kias gani ambazo mtu anaweza tembea nazo kwa wakati mmoja akagawa kwa kila mjumbe wa KK

4.Mzee Kibao akamwambia TL hapo hapo na yeye TL akafuatwa kuhongwa, na wakati huo huo Wenje akamwambia wengine wengi wamepewa na wameshachukua ni wewe tu umebaki..... Kama ilikuwa open kias hicho Mzee Kibao anahusikaje na kumueleza yote hayo .. how can you tell me the obvious na bado iitwe siri.

5.Ukimya wa FAM na team yake ni ili kukinusuru Chama, TL anaongea mengi ya kuchafua wengine ili apate uenyekiti na nini cha zaidi

6.Hao CDM wangekuwa na mahusiano ya kirafiki namna hiyo na utawala huu kama TL anavyo potray, kulikuwa na haja kubwa kias gani kwenye uvhaguzi wa SM watu wauwawe, na watu wao waenguliwe na kunyimwa nafasi kwa nguvu na mtutu wa bunduki.

7. Baada ya yote haya, aim ya TL ni nini? Avurugr wakose wote alafu akimbilie Belgium?

8.TL anatumia weakness ya CDM kuwa complicancy kwenye mambo mengi yabayowaumiza kama excuse kwamba wamekula rushwa?

9.Rushwa anayosema TL ina gapes nyingi na time... Kwanin ilimchukua muda mrefu sana kuja kusema hayo na kusingizia kwamba alikiwa anakusanya ushahidi... Ushahidi gani na weww ndio victim namba 1?

10.Kuna hatua yeyote alichukua baada ya yote hayo? Zaid ya kusema kwenye majukwaa na kuleta mambo hayo wakati huu wa uchaguzi?

11.Wengine anaowajua waliohongwa mbona hawasemi?

Mwanasiasa mkweli na mmiliki wa ukweli wa kizazi chetu...

Muda utasema.
Rushwa sio posho kuwa inatolewa hadharani, Hata kama ingekuwa kweli Lissu hawezi kujua nani kala rushwa na ni kiasi gani kwa sababu rushwa ni one by one na ni siri.

Tuhuma za rushwa huwa mara nyingi ni hisia na uzushi. Huyo mtu aliyemwambia Lissu kuhusu hizo rushwa yeye alipata wapi hizo taarifa ? alikuwepo anashuhudia au naye alihadithiwa?

Niliwahi kusema humu katika moja ya nyuzi zangu jf kabla ya hata huu mtafaruku haujaanza kuwa kwa kauli ya Lissu alinukuliwa akisema kuwa: ' CHADEMA siyo mama yangu" nilisema kuwa Lissu kuhama CHADEMA ni suala la muda tu.

Kwa haya ni wazi Lissu anajua hashindi uchaguzi na atahama ila anataka kuibomoa CHADEMA pengine kwa sababu naye alishiriki kuijenga hivyo wote (Lissu na Mbowe) wakaanze upya kujenga vyama.
 
Embu twende taratibu,
1. Mzee Kibao anaweza kuwa implicated kwenye Rushwa anayosema Lissu ili afanyeje, alikuwa hajulikani, sasa yeye angehusishwa ili asifanye kitu gani?

2.Mzee Kibao ameuwawa hadharani, je TL alimwambia nani kwamba mzee Kihao ndio kamwambia kuhusu hiyo rushwa.
3. Hiyo Rushwa ni fedha kias gani ambazo mtu anaweza tembea nazo kwa wakati mmoja akagawa kwa kila mjumbe wa KK

4.Mzee Kibao akamwambia TL hapo hapo na yeye TL akafuatwa kuhongwa, na wakati huo huo Wenje akamwambia wengine wengi wamepewa na wameshachukua ni wewe tu umebaki..... Kama ilikuwa open kias hicho Mzee Kibao anahusikaje na kumueleza yote hayo .. how can you tell me the obvious na bado iitwe siri.

5.Ukimya wa FAM na team yake ni ili kukinusuru Chama, TL anaongea mengi ya kuchafua wengine ili apate uenyekiti na nini cha zaidi

6.Hao CDM wangekuwa na mahusiano ya kirafiki namna hiyo na utawala huu kama TL anavyo potray, kulikuwa na haja kubwa kias gani kwenye uvhaguzi wa SM watu wauwawe, na watu wao waenguliwe na kunyimwa nafasi kwa nguvu na mtutu wa bunduki.

7. Baada ya yote haya, aim ya TL ni nini? Avurugr wakose wote alafu akimbilie Belgium?

8.TL anatumia weakness ya CDM kuwa complicancy kwenye mambo mengi yabayowaumiza kama excuse kwamba wamekula rushwa?

9.Rushwa anayosema TL ina gapes nyingi na time... Kwanin ilimchukua muda mrefu sana kuja kusema hayo na kusingizia kwamba alikiwa anakusanya ushahidi... Ushahidi gani na weww ndio victim namba 1?

10.Kuna hatua yeyote alichukua baada ya yote hayo? Zaid ya kusema kwenye majukwaa na kuleta mambo hayo wakati huu wa uchaguzi?

11.Wengine anaowajua waliohongwa mbona hawasemi?

Mwanasiasa mkweli na mmiliki wa ukweli wa kizazi chetu...

Muda utasema.
Hata wewe pia upo kwenye kampeni dhidi ya TL, ni aibu na mshangao aima ya minyukano inayotokea CDM kwenye hizi chaguzi.

Tumemsikia Yericho Nyerere akitoa tuhuma kwa TL, tumemsikia ex mayor Boniface or boniyai akitoa tuhuma kwa TL, tumemsikia Ezekiel Wenje akitoa shutuma na tuhuma kwa TL kwa nini wewe uone anazotoa TL tu?

Hapa inaonyesha kuna utawala wa kiimla maana kama hakuna maslahi binafsi kwa nini mtu na timu yake ya wapambe wapambane kwa mbinu zote hata kuachana uchi kila upande ukijitahidi kurarua upande mwingine?

Nionavyo hii ni dalili za immaturity lakini hii ikitumika kama shule wakipita hapa itakuwa lesson
 
Rushwa sio posho kuwa inatolewa hadharani, Hata kama ingekuwa kweli Lissu hawezi kujua nani kala rushwa na ni kiasi gani kwa sababu rushwa ni one by one na ni siri.

Tuhuma za rushwa huwa mara nyingi ni hisia na uzushi. Huyo mtu aliyemwambia Lissu kuhusu hizo rushwa yeye alipata wapi hizo taarifa ? alikuwepo anashuhudia au naye alihadithiwa?

Niliwahi kusema humu katika moja ya nyuzi zangu jf kabla ya hata huu mtafaruku haujaanza kuwa kwa kauli ya Lissu alinukuliwa akisema kuwa: ' CHADEMA siyo mama yangu" nilisema kuwa Lissu kuhama CHADEMA ni suala la muda tu.

Kwa haya ni wazi Lissu anajua hashindi uchaguzi na atahama ila anataka kuibomoa CHADEMA pengine kwa sababu naye alishiriki kuijenga hivyo wote (Lissu na Mbowe) wakaanze upya kujenga vyama.
TL aisee . Ni bonge moja la mbangaizaji... Tulichelewa kumjua.

Kwa hiyo Kauli ya CDM sio mama yake nilijua tayari amejipanga kuondoka..

Kimwili yupo CDM ila kiakili ameshaandaa Chama cha kwenda kukivuruga tena, bahati mbaya si muda mrefu sana rangi zake asili zitawekwa hadharani.

Anadhani ataish kwa Michango na Fadhila za Diaspora kila mara...

Mtu mzima kuish kwa kuomba omba ni tabia chafu sana... Wakishindwa kumbeba watambwaga, na wasipotimiza malengo yao watamchafua kwa njia hii hii anayotumia kuchafua wengine
 
Nimekuwa nikifiatilia kauli za Lissu mara kadhaa na kujikuta nabaki na mshangao mkubwa.

Lissu mara kadha amekuwa akiwashambulia viongozi wenzake ndani ya chama bila ushahidi wenye mashiko.

Kelele za fedha za Abdul na Mama Abdul zimekuwa silaha kubwa ya Lissu kupigania nafasi ya Mwenyekiti taifa.
Mwanzoni mtuhumiwa mkuu alikuwa Wenje lakini baadae akapanua uwigo wa kuwaingiza viongozi au wanachama wote wasiokuwa upande wake.

Kabla habari za fedha za Abdul na Mama yake hazijapoa kaja na taarifa za aliyempatia habari kuhongwa viongozi wa Chadema ni Mjumbe wa Kamati Kuu lakini sasa ni Marehemu !.Hapo hapo hataki kumtaja jina kawaachia kitendawili chepesi mashabiki wake.

Lissu ni mwanasheria anajua kumtaja jina mhuhusika (Marehemu) kungemlazimisha kisheria kuitwa kutoa ushahidi.Alichokifanya ni kutoa maelezo ambayo wafuatiliaji au mashabiki wataelewa mhusika ni nani bila kuumiza akili lakini hapo hapo bila kulazimika kuingia katika mitego ya kisheria.

Pengine hii naweza kusema hapa ndipo ilipo tofauti kubwa baina ya Lissu na Lyatonga Mrema.Huwezi kumshtaki kwasababu hajataja jina wala sababu za kifo lakini hapo hapo anaendelea kumchafua mpinzani wake ndani ya chama pengine mpinzani wake mwingine nje ya chama (anatengeneza mtaji wa mashabiki)

Week moja iliyopita alikuja na suala la yeye kuumizwa na serekali halafu zigo adondoshewe Mbowe.Karejesha fomu za kugombea uenyekiti huku kavaa nguo za kujikinga na risasi.Hiyo ni sehemu ya kampeni ndani ya chama na nje ya chama.

Mpaka tarehe 25 Jan 2025 nategemea washindani wake wengi ndani ya chama (FAM) na nje ya chama (Mama Abdul) watakuwa wamevurumishiwa zigo la tuhuma za kutosha.

Ngongo kwasasa Kogatende.

Ingekua busara sana ungejibu hoja zake badala ya haya marudio, washayaleta sana chawa waliotangulia
 
Hata wewe pia upo kwenye kampeni dhidi ya TL, ni aibu na mshangao aima ya minyukano inayotokea CDM kwenye hizi chaguzi.

Tumemsikia Yericho Nyerere akitoa tuhuma kwa TL, tumemsikia ex mayor Boniface or boniyai akitoa tuhuma kwa TL, tumemsikia Ezekiel Wenje akitoa shutuma na tuhuma kwa TL kwa nini wewe uone anazotoa TL tu?

Hapa inaonyesha kuna utawala wa kiimla maana kama hakuna maslahi binafsi kwa nini mtu na timu yake ya wapambe wapambane kwa mbinu zote hata kuachana uchi kila upande ukijitahidi kurarua upande mwingine?

Nionavyo hii ni dalili za immaturity lakini hii ikitumika kama shule wakipita hapa itakuwa lesson
Mimi sipo kwenye Kampeni na silipwi pesa mbuzi, im just speaking my mind...

Mtu mzima na akili zake kuwadanganya watu wazima kwa njia ya kuwachafua wenzake sio sawa hata kidogo ..

Akiwa Mwenyekiti nini kitatokea cha ziada ambacho kwa sasa akiwa Makamu anashindwa kufanya?

Mpaka uondoe Credibility ya wenzako walioijenga kwa Miongo na Mikaka...

Hapo ni Kampeni au kukataa kufikiri kama mbuzi
 
TL aisee . Ni bonge moja la mbangaizaji... Tulichelewa kumjua.

Kwa hiyo Kauli ya CDM sio mama yake nilijua tayari amejipanga kuondoka..

Kimwili yupo CDM ila kiakili ameshaandaa Chama cha kwenda kukivuruga tena, bahati mbaya si muda mrefu sana rangi zake asili zitawekwa hadharani.

Anadhani ataish kwa Michango na Fadhila za Diaspora kila mara...

Mtu mzima kuish kwa kuomba omba ni tabia chafu sana... Wakishindwa kumbeba watambwaga, na wasipotimiza malengo yao watamchafua kwa njia hii hii anayotumia kuchafua wengine
Maneno mazito sana.
 
Mimi sipo kwenye Kampeni na silipwi pesa mbuzi, im just speaking my mind...

Mtu mzima na akili zake kuwadanganya watu wazima kwa njia ya kuwachafua wenzake sio sawa hata kidogo ..

Akiwa Mwenyekiti nini kitatokea cha ziada ambacho kwa sasa akiwa Makamu anashindwa kufanya?

Mpaka uondoe Credibility ya wenzako walioijenga kwa Miongo na Mikaka...

Hapo ni Kampeni au kukataa kufikiri kama mbuzi
Kinachofikirisha ni kwamba nimekupa orodha ya hao ambao nao wanatoa kampeni chafu dhidi ya TL, mbona huwazungumzii au hao wana haki tofauti sababu wanafurahisha moyo wako?

You might be speaking your mind but very biased, kemea pande zote zinazotumia mbinu ya kuharibiana credibility. Uongozi siyo ufalme kama kweli CDM wanahubiri demokrasia, ukiwakemea akina Yericho Nyerere na akina Wenje utaonekana una kitu, otherwise na wewe umekataa kufikiri kama mbuzi
 
Nimekuwa nikifiatilia kauli za Lissu mara kadhaa na kujikuta nabaki na mshangao mkubwa.

Lissu mara kadha amekuwa akiwashambulia viongozi wenzake ndani ya chama bila ushahidi wenye mashiko.

Kelele za fedha za Abdul na Mama Abdul zimekuwa silaha kubwa ya Lissu kupigania nafasi ya Mwenyekiti taifa.
Mwanzoni mtuhumiwa mkuu alikuwa Wenje lakini baadae akapanua uwigo wa kuwaingiza viongozi au wanachama wote wasiokuwa upande wake.

Kabla habari za fedha za Abdul na Mama yake hazijapoa kaja na taarifa za aliyempatia habari kuhongwa viongozi wa Chadema ni Mjumbe wa Kamati Kuu lakini sasa ni Marehemu !.Hapo hapo hataki kumtaja jina kawaachia kitendawili chepesi mashabiki wake.

Lissu ni mwanasheria anajua kumtaja jina mhuhusika (Marehemu) kungemlazimisha kisheria kuitwa kutoa ushahidi.Alichokifanya ni kutoa maelezo ambayo wafuatiliaji au mashabiki wataelewa mhusika ni nani bila kuumiza akili lakini hapo hapo bila kulazimika kuingia katika mitego ya kisheria.

Pengine hii naweza kusema hapa ndipo ilipo tofauti kubwa baina ya Lissu na Lyatonga Mrema.Huwezi kumshtaki kwasababu hajataja jina wala sababu za kifo lakini hapo hapo anaendelea kumchafua mpinzani wake ndani ya chama pengine mpinzani wake mwingine nje ya chama (anatengeneza mtaji wa mashabiki)

Week moja iliyopita alikuja na suala la yeye kuumizwa na serekali halafu zigo adondoshewe Mbowe.Karejesha fomu za kugombea uenyekiti huku kavaa nguo za kujikinga na risasi.Hiyo ni sehemu ya kampeni ndani ya chama na nje ya chama.

Mpaka tarehe 25 Jan 2025 nategemea washindani wake wengi ndani ya chama (FAM) na nje ya chama (Mama Abdul) watakuwa wamevurumishiwa zigo la tuhuma za kutosha.

Ngongo kwasasa Kogatende.
Toka siku ya mwanzo alipoeleza kuwa Wenje alimleta Abdul kwake kwa nia ya kumhonga asimseme vibaya mama Abdul, Lisu alieleza kuwa alikuwa ameambiwa kuwa kuna viongozi wenzake waliolikubali hilo ombi, na kwamba sasa mambo yao ya kifedha yapo vizuri. Akatajiwa orodha ya viongozi wenzake ambao tayari walikuwa wamekwishachukua pesa.
 
Nimekuwa nikifiatilia kauli za Lissu mara kadhaa na kujikuta nabaki na mshangao mkubwa.

Lissu mara kadha amekuwa akiwashambulia viongozi wenzake ndani ya chama bila ushahidi wenye mashiko.

Kelele za fedha za Abdul na Mama Abdul zimekuwa silaha kubwa ya Lissu kupigania nafasi ya Mwenyekiti taifa.
Mwanzoni mtuhumiwa mkuu alikuwa Wenje lakini baadae akapanua uwigo wa kuwaingiza viongozi au wanachama wote wasiokuwa upande wake.

Kabla habari za fedha za Abdul na Mama yake hazijapoa kaja na taarifa za aliyempatia habari kuhongwa viongozi wa Chadema ni Mjumbe wa Kamati Kuu lakini sasa ni Marehemu !.Hapo hapo hataki kumtaja jina kawaachia kitendawili chepesi mashabiki wake.

Lissu ni mwanasheria anajua kumtaja jina mhuhusika (Marehemu) kungemlazimisha kisheria kuitwa kutoa ushahidi.Alichokifanya ni kutoa maelezo ambayo wafuatiliaji au mashabiki wataelewa mhusika ni nani bila kuumiza akili lakini hapo hapo bila kulazimika kuingia katika mitego ya kisheria.

Pengine hii naweza kusema hapa ndipo ilipo tofauti kubwa baina ya Lissu na Lyatonga Mrema.Huwezi kumshtaki kwasababu hajataja jina wala sababu za kifo lakini hapo hapo anaendelea kumchafua mpinzani wake ndani ya chama pengine mpinzani wake mwingine nje ya chama (anatengeneza mtaji wa mashabiki)

Week moja iliyopita alikuja na suala la yeye kuumizwa na serekali halafu zigo adondoshewe Mbowe.Karejesha fomu za kugombea uenyekiti huku kavaa nguo za kujikinga na risasi.Hiyo ni sehemu ya kampeni ndani ya chama na nje ya chama.

Mpaka tarehe 25 Jan 2025 nategemea washindani wake wengi ndani ya chama (FAM) na nje ya chama (Mama Abdul) watakuwa wamevurumishiwa zigo la tuhuma za kutosha.

Ngongo kwasasa Kogatende.
🫵🥲🥲🥲
 
Kinachofikirisha ni kwamba nimekupa orodha ya hao ambao nao wanatoa kampeni chafu dhidi ya TL, mbona huwazungumzii au hao wana haki tofauti sababu wanafurahisha moyo wako?

You might be speaking your mind but very biased, kemea pande zote zinazotumia mbinu ya kuharibiana credibility. Uongozi siyo ufalme kama kweli CDM wanahubiri demokrasia, ukiwakemea akina Yericho Nyerere na akina Wenje utaonekana una kitu, otherwise na wewe umekataa kufikiri kama mbuzi
Sasa Yerico, Sijui yule bwana wa Shinyanga ni watu wa kuchukua attention yako kweli?
Wenje ni rafiki wa TL na alikuwa akijibu tuhuma, sijaona tusi au credibility aliyompunguzia.... Labda unioneshe wewe.
 
Sasa Yerico, Sijui yule bwana wa Shinyanga ni watu wa kuchukua attention yako kweli?
Wenje ni rafiki wa TL na alikuwa akijibu tuhuma, sijaona tusi au credibility aliyompunguzia....
Kama Wenje ni rafiki yake kwa nini atoe tuhuma na TL akazijibu?
 
Naamini yale mauaji yalikuwa na malengo ya kisiasa.

Watekelezaji walikuwa watu wa mifumo rasmi lakini waliokosa akili na busara.

Ikiwa ni hivyo unafikiri wanaochunguza watakuwa na malengo gani !.Jibu ni rahisi watatafuta sababu za kufukia na kulizika suala lote.

Tatizo kubwa upande wangu ni kwanini aliuwawa ?.
a. Kwanini sasa ?
b. Kwasababu gani ?
c. Nani walihusika ?
Tukiweza kupata majibu sahihi ambayo kwa hakika Chalamila na genge lake wana majibu yote ingawa hawawezi kutuambia kamwe.

Tatizo lingine mauaji ya Mzee Kibao yanaweza kutumiwa na kundi lolote kwa maslahi ya kisisasa huku ukweli ukiendelea kutiwa kapuni.

Majibu ya swali hili huwezi kuyapata kutoka kwa RC wa Dar labda kama akili zako hazina akili.
Great !!
 
Kama Wenje ni rafiki yake kwa nini atoe tuhuma na TL akazijibu?
Watajuana na mambo yao ya kutafuta ugali mkuu...

Hakuna mtu makini anaweza kuwa rafiki na mtu anaeropoka muda wowote chochote.

Usiamini wanasiasa kirahisi, hoji..
 
Kampeni ni kuchafuana tu namwenye kujuwa ya mwenzie ndiyo wakati wa kuyamwaga. Makamu mwenyekiti na mwenyekiti naona kama wote niwamoja tu inakuwaje mmoja alenamwingine asile. Wote walewale tuheshimu chama tu.
 
Back
Top Bottom