Lissu atasema chochote malengo yake yatimie.

Ngoja safu iwe hivi:

1. Mbowe ( mwenyekiti tspeli la siasa)
2. Wenje ( makamu mwenyekiti..dalali la siasa)

3. Mnyika ( katibu mtia saini wa tapeli la siasa)
Mnangojewa mtoe matusi bado hamjamaliza matusi yote.

Siasa ni sayansi

Mnamjaza mwenzenu anakurupuka na kuropoka huku na huko
 
Mnangojewa mtoe matusi bado hamjamaliza matusi yote.

Siasa ni sayansi

Mnamjaza mwenzenu anakurupuka na kuropoka huku na huko
Bado sijaona wa kumfikia Lissu kwa kuropoka.
 
Lissu hafai CDM.
 
Watajuana na mambo yao ya kutafuta ugali mkuu...

Hakuna mtu makini anaweza kuwa rafiki na mtu anaeropoka muda wowote chochote.

Usiamini wanasiasa kirahisi, hoji..
Kwa kampeni chafu watasema TL anaropoka lakini ukiambiwa hapa ni kitu gani ameropoka hupati jibu. Ni fulani kamwambia huyu na huyu kalibeba pengine kwa maslahibinafsi.

Ila TL hana kosa na yuko sahih
 
Tusubiri baada kugaragazwa kwenye uchaguzi na Mbowe atakavyoanza kulialia kaibiwa kura
 
Mpaka tarehe 25 Jan 2025 nategemea washindani wake wengi ndani ya chama (FAM) na nje ya chama (Mama Abdul) watakuwa wamevurumishiwa zigo la tuhuma za kutosha.

Ngongo kwasasa Kogatende.
Waachie hao wanao zisikia tuhuma hizo watumie akili zao kuamua kama zina mashiko au hazina mashiko.
Cha kushangaza ni kwa vipi wewe usiye amini chochote juu ya shutuma hizo iwe nongwa kwa Tundu Lissu kuzitoa nje!
 
Rushwa anapinga na kupambana na rushwa tu,na ni sawa kabisa.Utagundua Lisu hana mwendelezo mwingine,ni kama kuingia uwanjani na goli kipa peke yake.Lisu hana mtu aliyefanya mema kwenye chama chake ila yeye na wanaomshabikia tu.Hakuna kitu kibaya kama kutukana Sufuria iliyokupikia chakula.Ukala na ukapata nguvu za kuitukana.
 
Mzee kibao sio mtu wa mambo ya mitandaoni, sio msemaji wala mtukanaji , nini kilipelekea kutekwa ?
Kuna mtu baada ya kukosa cheo akaondoka CDM kwa simanzi- ndiyo mchoma utambi - akamchoma mzee wa watu na baadhi ya vijana ambao hawajukikani walipo.
 
Lissu anajua sana kuwa wanaomuunga mkono ni wajinga ndio maana anawajaza ujinga nao kama nyumbu wanakubali kila kitu. Mbowe, Boni Yai, Sugu, Mnyika wako kimya kwasababu wanamjua Lissu ni mwehu na dawa ya mwehu ni kumkalia kimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…