Tetesi: Lissu atawekewa zengwe asigombee Urais

Tetesi: Lissu atawekewa zengwe asigombee Urais

Mwingereza

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2014
Posts
1,115
Reaction score
2,771
Kuna tetesi za chini kwa chini kwamba Mh. Tundu Lissu anaweza kuzuiliwa kugombea Urais. Zengwe linapikwa na watu waleeee, ili Lissu akose sifa za kugombea kama ilivyokuwa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Kuna wasiwasi mkubwa sana, kule ndani kwamba Mh. Lissu akiruhusiwa kugombea urais, atampa wakati mgumu bwana yule na huenda akashinda kitu ambacho wengi wenye maslahi binafsi kwenye utawala huu hawakubaliani nacho.

Habari ndio hiyo
 
Lissu hivi yupo nchini au ni kivuli chake ndo kinaongea? chadema kama wendawazimu vile! wengine tunaboreka mnajaza uzi za mtu asiekuwepo nchini na ambae Allah anisamehe nikisema he is physically crippled and mentally unfit for presidency!!
 
Lissu alitakiwa awe tayari yuko Tanzania. Sioni sababu kwanini ana chelewa hivyo kurudi..
 
Kwani tukiachana tu na sijui Yeye kuwekewa hilo Zengwe ila Kiuhalisia kabisa unadhani hata kama akigombea kwa hali ilivyo sasa nchini atashinda?
 
Mnalazimisha watu wamuongelee kwa kumuanzishia nyuzi kila muda.Watu hata hatumuwazi mnamuwaza nyie tu ila mnalazimisha WaTz wote waanze kumuongelea;Uzoba!
 
Tuseme basi Lisu ashinde uRais 2020.

Kwa hiyo CDM ina uhakika pia wa kushinda viti vingi bungeni kuliko CCM 2020.

Maana kwa siasa zetu za uchama sioni serikali ya aina hiyo ikiwezekana!!
 
Kwanza afike nchi, ndio hayo maswala mengine yaendelee. Je, atafika kweli?
 
Tuseme basi Lisu ashinde uRais 2020.

Kwa hiyo CDM ina uhakika pia wa kushinda viti vingi bungeni kuliko CCM 2020.

Maana kwa siasa zetu za uchama sioni serikali ya aina hiyo ikiwezekana!!
Huwa ikiwa hivyo aliyeshinda urais anavunja bunge na kuitisha uchaguzi wa wabunge ndani ya siku 90 na utashangaa wabunge wote wanahamia kwa mkuu aliyeshinda.
 
Tuseme basi Lisu ashinde uRais 2020.

Kwa hiyo CDM ina uhakika pia wa kushinda viti vingi bungeni kuliko CCM 2020.

Maana kwa siasa zetu za uchama sioni serikali ya aina hiyo ikiwezekana!!
Jinga wewe Lisu Akishinda. Ikatokea hana viti vingi bungeni, kuwashinda ccm, itabidi awanunue wabunge wa ccm ili waunge juhudi
 
Back
Top Bottom