Leonardo Harold
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 1,088
- 2,122
Kuliko mwenyekiti wenu akashindane na kivuli chake ni afya ashindane na wengine ili na hoja zao zisikike maana mwaka wa tano huu upinzani hauna jukwaa LA kueleza maono yao kwa uwazi.
Kwani tukiachana tu na sijui Yeye kuwekewa hilo Zengwe ila Kiuhalisia kabisa unadhani hata kama akigombea kwa hali ilivyo sasa nchini atashinda?