NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Msitutishe na kiwete wenu.anafichwa na hamfanyi lolote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sema wewe ndo humuwaziMnalazimisha watu wamuongelee kwa kumuanzishia nyuzi kila muda.Watu hata hatumuwazi mnamuwaza nyie tu ila mnalazimisha WaTz wote waanze kumuongelea;Uzoba!
Kuna tetesi za chini kwa chini kwamba Mh. Tundu Lissu anaweza kuzuiliwa kugombea Urais. Zengwe linapikwa na watu waleeee, ili Lissu akose sifa za kugombea kama ilivyokuwa uchaguzi wa serikali za mitaa.
Kuna wasiwasi mkubwa sana, kule ndani kwamba Mh. Lissu akiruhusiwa kugombea urais, atampa wakati mgumu bwana yule na huenda akashinda kitu ambacho wengi wenye maslahi binafsi kwenye utawala huu hawakubaliani nacho.
Habari ndio hiyo
Karibia 50% yaWabunge wengi wa ccm hushinda kwa kwa rushwa na figisu, lissu akiwa raisi na wabunge wachache majimbo mengi itabidi yarudie uchaguzi, baada ya kuweka pingamizi yakuapishwaTuseme basi Lisu ashinde uRais 2020.
Kwa hiyo CDM ina uhakika pia wa kushinda viti vingi bungeni kuliko CCM 2020.
Maana kwa siasa zetu za uchama sioni serikali ya aina hiyo ikiwezekana!!
When is it going to happen?where is UKUTA?Hamjawahi kuiona nguvu ya umma mnaisikia na kuiona kwenye mitandao tu! 'there is what we call 'peopleees! poweeeer!!' this will happen when people are tired of being oppressed
Mlimfanya kiwete lakini mtaangamia wote stupid!Msitutishe na kiwete wenu.anafichwa na hamfanyi lolote.
Yule ni shetani kiduku.Mlimfanya kiwete lakini mtaangamia wote stupid!
Every body is mad and that the degree of madness is measured when angry, You have to wait till they become angry, you will get the answerWhen is it going to happen?where is UKUTA?
Unamaana ya yule wa chato siyo!? Shetani anayetumbukiza watu baharini, shetani aliyewaua akina Mawazo, Ben saa8, azory Huyu ndiye shetani. Tafadhali mlaani asikuvagae na wee!Yule ni shetani kiduku.
Kwa afrika pekee labda,Siasa bila propaganda ni sawa na Simba bila mtani wake wa jadi Yanga....
Wewe huwezi kumuwazia kwa vile mawazo yako yako hapa tuuMnalazimisha watu wamuongelee kwa kumuanzishia nyuzi kila muda.Watu hata hatumuwazi mnamuwaza nyie tu ila mnalazimisha WaTz wote waanze kumuongelea;Uzoba!
Yuko nchini, mbinguni na kwenye mioyo ya watanzania.
Kumtukana Mwalimu Nyerere ni disqualification tosha.Kuna tetesi za chini kwa chini kwamba Mh. Tundu Lissu anaweza kuzuiliwa kugombea Urais. Zengwe linapikwa na watu waleeee, ili Lissu akose sifa za kugombea kama ilivyokuwa uchaguzi wa serikali za mitaa.
Kuna wasiwasi mkubwa sana, kule ndani kwamba Mh. Lissu akiruhusiwa kugombea urais, atampa wakati mgumu bwana yule na huenda akashinda kitu ambacho wengi wenye maslahi binafsi kwenye utawala huu hawakubaliani nacho.
Habari ndio hiyo
Hivi unajisikiaje timu hii itakapo tawanyika nchi nzima kuwazindua watu kuhusu utawala huu wa kimangungu?Tuseme basi Lisu ashinde uRais 2020.
Kwa hiyo CDM ina uhakika pia wa kushinda viti vingi bungeni kuliko CCM 2020.
Maana kwa siasa zetu za uchama sioni serikali ya aina hiyo ikiwezekana!!
Lissu hivi yupo nchini au ni kivuli chake ndo kinaongea? chadema kama wendawazimu vile! wengine tunaboreka mnajaza uzi za mtu asiekuwepo nchini na ambae Allah anisamehe nikisema he is physically crippled and mentally unfit for presidency!!